Wadai kuteswa kwa kukataa kuvaa sare
Washukiwa 4 wa shambulizi la Westgate wanaozuiliwa mjini Nairobi, wanadai wameteswa gerezani kwa kukataa kuvaa sare zao
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-QEFSp1ZXjcE/VFVe-JxmAfI/AAAAAAAARaE/YEKI-MDc3Og/s72-c/tunduma.jpg)
WAKAZI WA TUNDUMA - MBEYA WAAZIMIA KWA PAMOJA KUVAA SARE ZA CHADEMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-QEFSp1ZXjcE/VFVe-JxmAfI/AAAAAAAARaE/YEKI-MDc3Og/s1600/tunduma.jpg)
9 years ago
Bongo527 Oct
Picha: KCee alipogeuka mhudumu wa ndege kwa kuvaa sare na kuhudumia abiria!
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-h5p2bHM8mNM/XlKk9X6q7nI/AAAAAAALe7g/1I8O22076GQAUq2J0hIfMcbPDSzZckgIwCLcBGAsYHQ/s72-c/tariq%252Bpic.jpg)
MATOKEO YA SARE NNE MFULULIZO KWA TIMU YA YANGA YAPOTEZA MATUMAINI YA MBIO ZA UBINGWA...YATOA TENA SARE KWA COASTAL UNION ...
Yassir Simba, Michuzi Tv
MATUMAINIA ya timu ya soka ya Yanga ya jijini Dar es Salaam kuwamo kwenye mbio za kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu yamezidi kuyeyuka baada ya mchezo wake wa leo dhidi ya Coastal Union a.k.a Wagosi Wakaya kumaliza kwa sare ya bila kufungana.
Mchezo wa Yanga dhidi ya Coastal Union umefanyika leo Februari 23 mwaka huu wa 2020 ambapo kila timu ilionekana kuhitaji kuibuka na ushindi wa alama tatu lakini hadi dakika 90 zimalizika wamemaliza kwa kupata...
11 years ago
Mwananchi10 Jun
Anayedaiwa kuteswa kwa pasi akabidhiwa kwa wanaharakati
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3I-9LvQkoOS-Y9fATq6J2xcjhneL2XUTHIywOd9BV3dBgy6e84ObZIAHeqOq*9evWkoc38w2qvysWBJMG6K3zsY489vNyIo8/kutekwa.jpg?width=650)
A - Z KUTEKWA, KUTESWA KWA MWENYEKITI CHADEMA
10 years ago
Dewji Blog23 Feb
Mtandao wa Haki za Binadamu watoa tamko juu ya kutekwa na kuteswa kwa kiongozi wa wahitimu JKT
Mwenyekiti wa JKT Tanzania, Bw. George Mgoba akiwa wodini.
TAMKO KWA VYOMBO VYA HABARI.docx by moblog
10 years ago
Habarileo13 May
Anusurika kuuawa kwa kukataa kuidhinisha fedha
KATIBU wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Endiamtu mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro mkoani Manyara, amenusurika kufa kwa kushambuliwa kwa kupigwa ngumi na Mwenyekiti wake baada ya kutoidhinisha matumizi ya Sh milioni moja.
10 years ago
Habarileo19 Jul
Aliyechana fomu kwa kukataa kuvua hijab mbaroni
WATU wawili wamekamatwa katika vituo viwili tofauti vya uandikishwaji wa daftari la mpigakura kwa kosa la kuchana karatasi ya maelezo ya mpiga kura (Fomu namba moja) na mwingine kwa kosa la kujiandikisha mara mbili.
9 years ago
StarTV24 Nov
Daktari wa Hospitali ya Bukombe afukuzwa kazi kwa kukataa kutoa huduma
Mkuu wa Wilaya ya Bukombe Amani Mwenegoha amemfukuza kazi daktari wa Hospitali ya Wilaya ya Bukombe Johanne Mkobwe kwa madai ya kukataa kutoa huduma kwa mtoto wa miezi sita aliyefikishwa Hospitalini hapo akiwa na hali mbaya kiafya.
Mtoto huyo Johson Manyama alifikishwa majira ya saa kumi asubuhi novemba 22 na wazazi wake na kumkuta daktari wa zamu amelala na alipoamshwa aliwafukuza na kuwaambia wasubiri hadi saa mbili yeye anapumzika.
Inadaiwa mtoto Johson alizidiwa mahira ya saa kumi...