WAKAZI WA TUNDUMA - MBEYA WAAZIMIA KWA PAMOJA KUVAA SARE ZA CHADEMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-QEFSp1ZXjcE/VFVe-JxmAfI/AAAAAAAARaE/YEKI-MDc3Og/s72-c/tunduma.jpg)
Hapa ni mkoani mbeya wilaya ya Momba jimbo la Mbozi mashagharibi mji wa Tunduma almaarufu kama Chadema Town mji huu upo border ya Zambia na Tanzania.Wanachadema wa mji huu wameazimia kwa pamoja kuwa kuanzia tarehe 1-11-2014 kila mwanachadema aanze kuvaa skafu, kofia, shati ama nguo yoyote ya chadema kila anapokuwa kwenye majukumu yake,Azimio hilo limeanza kazi leo hii na kama unavyoona kwenye picha hapa ni moja ya sehemu ya mji huo watu wakiendelea na majukumu yao ya kila siku huku wakiwa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-uta6qQr4MK0/VEyt5DGvkyI/AAAAAAABLrg/Qb_mu2Cp6wc/s72-c/IMG-20141025-WA0001.jpg)
UTT YATOA ELIMU YA UWEKEZAJI WA PAMOJA KWA WAKAZI WA MBEYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-uta6qQr4MK0/VEyt5DGvkyI/AAAAAAABLrg/Qb_mu2Cp6wc/s1600/IMG-20141025-WA0001.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-xubLu3E8OAM/VEyt8wwOerI/AAAAAAABLrs/_vAkJ0X3z-c/s1600/IMG-20141025-WA0002.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-oPjTFq8am_A/VEyt835OzbI/AAAAAAABLrw/WSmYh7OM99k/s1600/IMG-20141025-WA0003-1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_xFZAwsgd68/VEyuoys3hDI/AAAAAAABLsA/e2zlvSE7R48/s1600/IMG-20141025-WA0006-1.jpg)
10 years ago
BBCSwahili03 Sep
Wadai kuteswa kwa kukataa kuvaa sare
9 years ago
Bongo527 Oct
Picha: KCee alipogeuka mhudumu wa ndege kwa kuvaa sare na kuhudumia abiria!
11 years ago
Mwananchi25 Apr
Wafugaji Mbeya waazimia kujikita zaidi katika elimu
11 years ago
Tanzania Daima22 Apr
Wakazi Tunduma watakiwa kutathmini nyumba zao
DIWANI wa Tunduma, Frank Mwakajoka, amewataka wakazi wa kata hiyo ambao nyumba zao zipo kandokando mwa barabara kuu ya Tunduma -Sumbawanga kuzifanyia tathmini kama zipo ndani ya hifadhi ya barabara...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-h5p2bHM8mNM/XlKk9X6q7nI/AAAAAAALe7g/1I8O22076GQAUq2J0hIfMcbPDSzZckgIwCLcBGAsYHQ/s72-c/tariq%252Bpic.jpg)
MATOKEO YA SARE NNE MFULULIZO KWA TIMU YA YANGA YAPOTEZA MATUMAINI YA MBIO ZA UBINGWA...YATOA TENA SARE KWA COASTAL UNION ...
Yassir Simba, Michuzi Tv
MATUMAINIA ya timu ya soka ya Yanga ya jijini Dar es Salaam kuwamo kwenye mbio za kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu yamezidi kuyeyuka baada ya mchezo wake wa leo dhidi ya Coastal Union a.k.a Wagosi Wakaya kumaliza kwa sare ya bila kufungana.
Mchezo wa Yanga dhidi ya Coastal Union umefanyika leo Februari 23 mwaka huu wa 2020 ambapo kila timu ilionekana kuhitaji kuibuka na ushindi wa alama tatu lakini hadi dakika 90 zimalizika wamemaliza kwa kupata...
5 years ago
BBCSwahili26 Feb
Katika harusi ya pamoja nchini Ufilipino wanadoa walazimika kuvaa barakoa
10 years ago
Mwananchi26 Feb
Wasafirishaji wa abiria Tunduma - Mbeya wagoma
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-r7HunoaZLwo/U-i0l-fl8fI/AAAAAAAF-a8/vKZO8sYhn_I/s72-c/Police1.jpg)
USAILI WA JESHI LA POLISI TANZANIA KWA WAKAZI WA MBEYA
![](http://2.bp.blogspot.com/-r7HunoaZLwo/U-i0l-fl8fI/AAAAAAAF-a8/vKZO8sYhn_I/s1600/Police1.jpg)
Muhimu:
• Mwombaji anaruhusiwa kufanya usaili kwenye kituo chochote cha...