Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasafirishaji wa abiria Tunduma - Mbeya wagoma

Wasafiri wanaotumia barabara ya kutoka Mbeya Mjini kuelekea Tunduma, jana walikumbana na adha ya aina yake baada ya wamiliki wa mabasi yanayofanya safari katika eneo hilo kusitisha huduma hiyo kwa madai ya kuwa na kikao cha kujadili kero wanazozipata barabarani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

madereva wa daladala jijini Mbeya wagoma kusafirisha abiria leo

Wakazi wa Jiji la Mbeya leo wamejikuta wakiwa katika mazingira magumu baada ya mgomo wa mabasi madogo wa kutopakia abiria kutoka stendi kuu jijini humo,wakitaka wabadilishiwe ruti au kuongezewa nauli kwa sababu ya ruti hiyo inawapa mzungunguko mkubwa sana kulinganisha na nauli wanayoichaji kwa abiria hao.hali hiyo imepelekea abiria mbali mbali wa jiji hilo kupanga kwenye pikup na kulipa nauli ile ile wanayolipa kwenye daladala kama ionekanavyo katika picha mbali mbali zilizopigwa na Mpiga...

 

10 years ago

Vijimambo

WAKAZI WA TUNDUMA - MBEYA WAAZIMIA KWA PAMOJA KUVAA SARE ZA CHADEMA

Hapa ni mkoani mbeya wilaya ya Momba jimbo la Mbozi mashagharibi mji wa Tunduma almaarufu kama Chadema Town mji huu upo border ya Zambia na Tanzania.Wanachadema wa mji huu wameazimia kwa pamoja kuwa kuanzia tarehe 1-11-2014 kila mwanachadema aanze kuvaa skafu, kofia, shati ama nguo yoyote ya chadema kila anapokuwa kwenye majukumu yake,Azimio hilo limeanza kazi leo hii na kama unavyoona kwenye picha hapa ni moja ya sehemu ya mji huo watu wakiendelea na majukumu yao ya kila siku huku wakiwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Madereva wagoma Mbeya, wasafiri wahaha kituoni

Wasafiri wanaotoka na kuingia katika wilaya za Mbarali, Rungwe na Kyela mkoani hapa, juzi walishindwa kusafiri kwa muda wa saa saba baada ya madereva wa mabasi kugoma kufanya kazi kwa madai kwamba wamechoshwa kunyanyaswa na maofisa wa Mamlaka ya Usafirishaji wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra).

 

10 years ago

GPL

ABIRIA 50 WANUSURIKA KIFO KATIKA AJALI MLIMA NYOKA, MBEYA

Basi la Mbukio Missio muda mfupi baada ya kupata ajali eneo la Mlima Nyoka mkoani Mbeya leo. Lori la mafuta lenye namba za usajili T 332 AGA ambalo dereva wake Godfrey Lyimo (33) alijeruhiwa vibaya na kukimbizwa hospitali kwa matibabu zaidi. Pichani lori hilo la mafuta liliwa…

 

5 years ago

Michuzi

NAIBU SPIKA DKT. TULIA ACKSON AWAFUTA MACHOZI MAMA LISHE NA ABIRIA JIJINI MBEYA

March 2, 2020 Naibu Spika Dkt. Tulia Ackson ametimiza ahadi yake kwa kuwakabidhi Mama lishe wa Stendi kuu ya mabasi Mbeya jiji vitendea kazi maalum vya kutumia wakati wa kuhudumia wateja wao (Aprons) ambapo jumla ya vitendea kazi vimetolewa, pamoja na hilo Dkt. Tulia ametimiza pia ahadi ya kutoa TV ambayo itakuwa inawawezesha abiria wa kituo hicho kufuatilia matukio mbalimbali pamoja na habari wakati wakisubiri kusafiri.

“Siku ya leo hatujaja kutekeleza kila ahadi kwasababu hapa tuna machinga...

 

10 years ago

Dewji Blog

Ajali ya Hiace huko Tukuyu Mbeya: Abiria zaidi ya 20 wapoteza maisha, Utingo pekee anusurika

10922724_829508153786790_3340266182117985523_n

 

Baadhi ya miili ya walipoteza maisha kwenye ajali ya gari aina ya Hiace iliyopinduka Mtoni, ikiwa imefunikwa baada ya kuopolewa na wasamaria wema huko,  eneo la Uwanja wa Ndege, Kiwira Kyela.

Na Andrew Chale wa Modewji blog

“Tuamke na Mungu, tutembee na Mungu. Hivi ndivyo tunavyoweza kusema kwa sasa kufuatia hali ya ajali za mara kwa mara zinazotokea ndani ya nchi yetu”.

Asubuhi ya leo huko Tukuyu Mkoani Mbeya imeripotiwa ajali mbaya ya Hiace iliyoua takribani watu zaidi ya 20, eneo la...

 

10 years ago

Habarileo

Wasafirishaji kemikali wakumbushwa kujisajili

Profesa Samwel ManyeleWAKALA wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA) umeagiza wasafirishaji wa kemikali wote nchini ambao hawajasajiliwa kufanya usajili kabla ya Desemba 31, mwaka huu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ethiopia yawasaka wasafirishaji haramu

Huku Ulaya ikiendelea kukabiliwa na idadi kubwa ya wahamiaji, Ethiopia inaendelea na msako mkali wa wasafirishaji haramu wanaowahadaa maelfu ya raia wanaotafuta maisha bora Ulaya.

 

10 years ago

StarTV

Serikali yaunda kamati itakayoshughulikia wa wasafirishaji.

Na Lilian Mtono/ Edward Mbaga.

Dar es salaam.

 

Waziri mkuu Mizengo Pinda ameunda kamati ya kudumu itakayokuwa ikishughulikia matatizo yote yanayohusiana na usafirishaji, ikiwa ni sehemu ya kumaliza migogoro ya mara kwa mara ya usafiri, huku serikali ikionya magenge yanayojihusisha na kuzuia watu kutumia usafiri wa jumuiya.

 

Serikali inaunda kamati hii, wakati ambapo madereva wa mabasi wanagoma, ikiwa ni sehemu ya kushinikiza waajiri wao kuboresha maslahi, hali inayosababisha adha kubwa kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani