Wasafirishaji wa abiria Tunduma - Mbeya wagoma
Wasafiri wanaotumia barabara ya kutoka Mbeya Mjini kuelekea Tunduma, jana walikumbana na adha ya aina yake baada ya wamiliki wa mabasi yanayofanya safari katika eneo hilo kusitisha huduma hiyo kwa madai ya kuwa na kikao cha kujadili kero wanazozipata barabarani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzimadereva wa daladala jijini Mbeya wagoma kusafirisha abiria leo
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-QEFSp1ZXjcE/VFVe-JxmAfI/AAAAAAAARaE/YEKI-MDc3Og/s72-c/tunduma.jpg)
WAKAZI WA TUNDUMA - MBEYA WAAZIMIA KWA PAMOJA KUVAA SARE ZA CHADEMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-QEFSp1ZXjcE/VFVe-JxmAfI/AAAAAAAARaE/YEKI-MDc3Og/s1600/tunduma.jpg)
10 years ago
Mwananchi17 Apr
Madereva wagoma Mbeya, wasafiri wahaha kituoni
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/u-nuBgwJg3zFsJV0XWKWVFlZlYZnQvXorfPlH8Ly-3wiAsDHhFgT*I*03W29TZcqvLAsgWdB8NccL3dqaSryIA-8pDZ74H7b/ajali4.jpg?width=650)
ABIRIA 50 WANUSURIKA KIFO KATIKA AJALI MLIMA NYOKA, MBEYA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9Iz7KpuvLGk/Xl58SWOLxTI/AAAAAAALgxQ/cDuGSHDP0YkQWSnWLMd6kYlmzBYHOe5RACLcBGAsYHQ/s72-c/345f0555-69d9-44e4-ba79-f1742f1727f4.jpg)
NAIBU SPIKA DKT. TULIA ACKSON AWAFUTA MACHOZI MAMA LISHE NA ABIRIA JIJINI MBEYA
“Siku ya leo hatujaja kutekeleza kila ahadi kwasababu hapa tuna machinga...
10 years ago
Dewji Blog17 Apr
Ajali ya Hiace huko Tukuyu Mbeya: Abiria zaidi ya 20 wapoteza maisha, Utingo pekee anusurika
Baadhi ya miili ya walipoteza maisha kwenye ajali ya gari aina ya Hiace iliyopinduka Mtoni, ikiwa imefunikwa baada ya kuopolewa na wasamaria wema huko, eneo la Uwanja wa Ndege, Kiwira Kyela.
Na Andrew Chale wa Modewji blog
“Tuamke na Mungu, tutembee na Mungu. Hivi ndivyo tunavyoweza kusema kwa sasa kufuatia hali ya ajali za mara kwa mara zinazotokea ndani ya nchi yetu”.
Asubuhi ya leo huko Tukuyu Mkoani Mbeya imeripotiwa ajali mbaya ya Hiace iliyoua takribani watu zaidi ya 20, eneo la...
10 years ago
Habarileo09 Dec
Wasafirishaji kemikali wakumbushwa kujisajili
WAKALA wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA) umeagiza wasafirishaji wa kemikali wote nchini ambao hawajasajiliwa kufanya usajili kabla ya Desemba 31, mwaka huu.
9 years ago
BBCSwahili01 Oct
Ethiopia yawasaka wasafirishaji haramu
10 years ago
StarTV05 May
Serikali yaunda kamati itakayoshughulikia wa wasafirishaji.
Na Lilian Mtono/ Edward Mbaga.
Dar es salaam.
Waziri mkuu Mizengo Pinda ameunda kamati ya kudumu itakayokuwa ikishughulikia matatizo yote yanayohusiana na usafirishaji, ikiwa ni sehemu ya kumaliza migogoro ya mara kwa mara ya usafiri, huku serikali ikionya magenge yanayojihusisha na kuzuia watu kutumia usafiri wa jumuiya.
Serikali inaunda kamati hii, wakati ambapo madereva wa mabasi wanagoma, ikiwa ni sehemu ya kushinikiza waajiri wao kuboresha maslahi, hali inayosababisha adha kubwa kwa...