Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasafirishaji kemikali wakumbushwa kujisajili

Profesa Samwel ManyeleWAKALA wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA) umeagiza wasafirishaji wa kemikali wote nchini ambao hawajasajiliwa kufanya usajili kabla ya Desemba 31, mwaka huu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Wauzaji wa kemikali waamriwa kujisajili

OFISI ya Mkemia Mkuu wa Serikali imewataka wadau wote wanaojihusisha na usafirishaji na uuzaji wa kemikali kujisajili kabla ya hatua za kisheria hazijachukuliwa dhidi yao.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ethiopia yawasaka wasafirishaji haramu

Huku Ulaya ikiendelea kukabiliwa na idadi kubwa ya wahamiaji, Ethiopia inaendelea na msako mkali wa wasafirishaji haramu wanaowahadaa maelfu ya raia wanaotafuta maisha bora Ulaya.

 

10 years ago

StarTV

Serikali yaunda kamati itakayoshughulikia wa wasafirishaji.

Na Lilian Mtono/ Edward Mbaga.

Dar es salaam.

 

Waziri mkuu Mizengo Pinda ameunda kamati ya kudumu itakayokuwa ikishughulikia matatizo yote yanayohusiana na usafirishaji, ikiwa ni sehemu ya kumaliza migogoro ya mara kwa mara ya usafiri, huku serikali ikionya magenge yanayojihusisha na kuzuia watu kutumia usafiri wa jumuiya.

 

Serikali inaunda kamati hii, wakati ambapo madereva wa mabasi wanagoma, ikiwa ni sehemu ya kushinikiza waajiri wao kuboresha maslahi, hali inayosababisha adha kubwa kwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Wasafirishaji wa abiria Tunduma - Mbeya wagoma

Wasafiri wanaotumia barabara ya kutoka Mbeya Mjini kuelekea Tunduma, jana walikumbana na adha ya aina yake baada ya wamiliki wa mabasi yanayofanya safari katika eneo hilo kusitisha huduma hiyo kwa madai ya kuwa na kikao cha kujadili kero wanazozipata barabarani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

DHL yajipanga kupambana na wasafirishaji ‘unga’

KAMPUNI ya kusafirisha vifurishi (DHL) imesema imejizatiti kupambana na wasafirishaji wa dawa za kulevya nchini. Meneja wa DHL Tanzania, Ahmed Abdi,  alibainisha hayo jijini Dar es Salaam jana wakati wa...

 

9 years ago

Habarileo

OUT wakumbushwa dhana ya uwajibikaji

WANAFUNZI wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT), tawi la Manyara wanaosoma huku wakifanya kazi wamehimizwa kukabili changamoto za uwajibikaji kazini na kwenye masomo ili kufikia malengo ya maendeleo kwa kujipatia elimu kwa wote.

 

9 years ago

Habarileo

Wakumbushwa sheria za uchaguzi

WAANDISHI wa habari nchini wametakiwa kuzingatia maadili ya kazi zao na kuzijua Sheria za Tume ya Uchaguzi (ZEC) ikiwemo kufahamu kwamba chombo chenye uwezo wa kutangaza matokeo ya urais wa Zanzibar ni Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC).

 

10 years ago

Tanzania Daima

Shahidi: Wasafirishaji wa Twiga hawana hadhi ya kidiplomasia

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi, Moshi imeelezwa kuwa waliosafirisha wanyama hai 130 wa aina 14 tofauti wakiwemo Twiga wanne kwenda nchi za falme za kiarabu, hawakuwa na hadhi ya kidiplomasia licha...

 

10 years ago

Mwananchi

Mbinu hizi hutumiwa na wasafirishaji dawa za kulevya

Dar es Salaam. Usafirishaji na utumuaji dawa za kulevya unapigwa vita kila kona ya dunia. Lakini magenge ya watu wanaozalisha na kusafirisha dawa hizo wamekuwa wakitumia mbinu mbalimbali kufanikisha biashara hiyo haramu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani