Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shahidi: Wasafirishaji wa Twiga hawana hadhi ya kidiplomasia

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi, Moshi imeelezwa kuwa waliosafirisha wanyama hai 130 wa aina 14 tofauti wakiwemo Twiga wanne kwenda nchi za falme za kiarabu, hawakuwa na hadhi ya kidiplomasia licha...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Shahidi aeleza mshitakiwa alivyosaidiwa kutorosha twiga

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Moshi, Kilimanjaro imeelezwa namna mshitakiwa namba moja katika kesi ya utoroshaji wa wanyama hai 130 wakiwamo twiga wanne kwenda nchi za Falme za Kiarabu, Kamran Ahmed,...

 

9 years ago

BBCSwahili

Ethiopia yawasaka wasafirishaji haramu

Huku Ulaya ikiendelea kukabiliwa na idadi kubwa ya wahamiaji, Ethiopia inaendelea na msako mkali wa wasafirishaji haramu wanaowahadaa maelfu ya raia wanaotafuta maisha bora Ulaya.

 

10 years ago

Habarileo

Wasafirishaji kemikali wakumbushwa kujisajili

Profesa Samwel ManyeleWAKALA wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA) umeagiza wasafirishaji wa kemikali wote nchini ambao hawajasajiliwa kufanya usajili kabla ya Desemba 31, mwaka huu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Juhudi za kidiplomasia kuokoa Ukraine

Wanasiasa wakuu wa kigeni, watakutana mjini Kiev siku ya Alhamisi kujaribu kusuluhisha mgogoro unaotokota nchini Ukraine.

 

11 years ago

BBCSwahili

Rwanda na Afrika.K zatokota kidiplomasia

Afrika Kusini imetoa onyo kali kwa Rwanda huku mzozo wa kidiplomasia kati ya nchi hizo mbili ukiendelea kutokota kuhusu njama ya mauaji.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mzozo wa kidiplomasia watokota Indonesia

Serikali ya Indonesia itatekeleza adhabu ya kifo kwa washukiwa kadhaa wa ulanguzi wa dawa za kulevya nchini humo.

 

10 years ago

Mwananchi

Wasafirishaji wa abiria Tunduma - Mbeya wagoma

Wasafiri wanaotumia barabara ya kutoka Mbeya Mjini kuelekea Tunduma, jana walikumbana na adha ya aina yake baada ya wamiliki wa mabasi yanayofanya safari katika eneo hilo kusitisha huduma hiyo kwa madai ya kuwa na kikao cha kujadili kero wanazozipata barabarani.

 

10 years ago

StarTV

Serikali yaunda kamati itakayoshughulikia wa wasafirishaji.

Na Lilian Mtono/ Edward Mbaga.

Dar es salaam.

 

Waziri mkuu Mizengo Pinda ameunda kamati ya kudumu itakayokuwa ikishughulikia matatizo yote yanayohusiana na usafirishaji, ikiwa ni sehemu ya kumaliza migogoro ya mara kwa mara ya usafiri, huku serikali ikionya magenge yanayojihusisha na kuzuia watu kutumia usafiri wa jumuiya.

 

Serikali inaunda kamati hii, wakati ambapo madereva wa mabasi wanagoma, ikiwa ni sehemu ya kushinikiza waajiri wao kuboresha maslahi, hali inayosababisha adha kubwa kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

DHL yajipanga kupambana na wasafirishaji ‘unga’

KAMPUNI ya kusafirisha vifurishi (DHL) imesema imejizatiti kupambana na wasafirishaji wa dawa za kulevya nchini. Meneja wa DHL Tanzania, Ahmed Abdi,  alibainisha hayo jijini Dar es Salaam jana wakati wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani