DHL yajipanga kupambana na wasafirishaji ‘unga’
KAMPUNI ya kusafirisha vifurishi (DHL) imesema imejizatiti kupambana na wasafirishaji wa dawa za kulevya nchini. Meneja wa DHL Tanzania, Ahmed Abdi, alibainisha hayo jijini Dar es Salaam jana wakati wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Ykileo![](http://3.bp.blogspot.com/-CM8TW_cEJI0/VZkFeNx4uCI/AAAAAAAABgo/1BKFCz9Q_A4/s72-c/1.jpg)
GHANA YAJIPANGA KUPAMBANA NA UHALIFU MTANDAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-CM8TW_cEJI0/VZkFeNx4uCI/AAAAAAAABgo/1BKFCz9Q_A4/s200/1.jpg)
Mwaka huu baada ya Nchi ya Ghana kua miongoni mwa waathirika wa uhalifu mtandao ambapo mtandao mkuu wa serikali ya nchi hiyo inao hudumia tovuti 58 za serikali ulidukuliwa na kusababisha tovuti 11 kuingiliwa na...
11 years ago
Tanzania Daima22 Apr
MSEA yajipanga kupambana na uharibifu wa mazingira Tabora
UHARIBIFU wa mazingira katika Mkoa wa Tabora imeelezwa ni mkubwa kutokana na kukithiri kwa shughuli mbalimbali za kijamii zisizozingatia kanuni za utunzaji wa mazingira. Hayo yameelezwa na Meneja Miradi wa...
11 years ago
Tanzania Daima12 Jul
Wizara yajipanga kupambana na ugonjwa wa bonde la ufa
SERIKALI kupitia Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, imesema imeweka mikakati madhubuti ya kuhakikisha wanapambana kikamilifu na ugonjwa wa bonde la ufa. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oJI0y6HlVvTYIRj17r-pkgs69p3EYzIukSbbgFRM8yVcYLoe42uTujiS*WsMCQ14Kzk3vZuUne7ccW0Lb46MBb6XNCpUywQ-/unga.jpg?width=750)
9 years ago
BBCSwahili01 Oct
Ethiopia yawasaka wasafirishaji haramu
10 years ago
Habarileo09 Dec
Wasafirishaji kemikali wakumbushwa kujisajili
WAKALA wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA) umeagiza wasafirishaji wa kemikali wote nchini ambao hawajasajiliwa kufanya usajili kabla ya Desemba 31, mwaka huu.
10 years ago
StarTV05 May
Serikali yaunda kamati itakayoshughulikia wa wasafirishaji.
Na Lilian Mtono/ Edward Mbaga.
Dar es salaam.
Waziri mkuu Mizengo Pinda ameunda kamati ya kudumu itakayokuwa ikishughulikia matatizo yote yanayohusiana na usafirishaji, ikiwa ni sehemu ya kumaliza migogoro ya mara kwa mara ya usafiri, huku serikali ikionya magenge yanayojihusisha na kuzuia watu kutumia usafiri wa jumuiya.
Serikali inaunda kamati hii, wakati ambapo madereva wa mabasi wanagoma, ikiwa ni sehemu ya kushinikiza waajiri wao kuboresha maslahi, hali inayosababisha adha kubwa kwa...
10 years ago
Mwananchi26 Feb
Wasafirishaji wa abiria Tunduma - Mbeya wagoma
10 years ago
Tanzania Daima31 Aug
Shahidi: Wasafirishaji wa Twiga hawana hadhi ya kidiplomasia
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi, Moshi imeelezwa kuwa waliosafirisha wanyama hai 130 wa aina 14 tofauti wakiwemo Twiga wanne kwenda nchi za falme za kiarabu, hawakuwa na hadhi ya kidiplomasia licha...