Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wizara yajipanga kupambana na ugonjwa wa bonde la ufa

SERIKALI kupitia Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, imesema imeweka mikakati madhubuti ya kuhakikisha wanapambana kikamilifu na ugonjwa wa bonde la ufa. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Serikali ya jipanga Kudhibiti Homa ya Bonde la Ufa

19_s

Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Maendeleo ya Uvuvi Dkt.Yohana Budeba.

Na Anitha Jonas –MAELEZO

Serikali yaanda mkakati wa  kuzuia Homa ya Bonde la Ufa (Rift Valley Fever) nchini kutokana na kuwepo na viashiria vya kuwepo na ungojwa huo katika kipindi hichi cha mvua za Eli-nino kama ilivyoripotiwa na Mlaka ya hali ya hewa.

Ugongwa wa Homa ya Bonde la Ufa ni hatari sana na kwani katika kipindi cha 2006/2007 ulipotokea ulisambaa kwa kasi na kuathiri vijiji 175  kati ya wilaya 11 katika ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Mabilioni yahitajika kunusuru homa ya bonde la ufa

Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi imeomba Sh30.2 bilioni Hazina kwa ajili ya chanjo ya ugonjwa wa bonde la ufa ambao ni hatari kwa binadamu na wanyama.

 

10 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA TANO LA KIMATAIFA KUJADILI MATUMIZI YA NISHATI ITOKANAYO NA JOTO ARDHI KATIKA NCHI ZA AFRIKA ZINAZOPITIWA NA BONDE LA UFA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akifungua rasmi Kongamano la Tano la Kimataifa la kujadili matumizi ya Nishati itokanayo na joto ardhi katika Nchi za Afrika zinazopitiwa na bonde la ufa. Kongamano hilo limeanza leo Oktoba 29, 2014 katika Ukumbi wa AICC Jijini Arusha. Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Stephen Masele, akizungumza kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi Makamu wa Rais, Dkt Bilal, kufungua kongamano hilo. Baadhi ya...

 

10 years ago

Ykileo

GHANA YAJIPANGA KUPAMBANA NA UHALIFU MTANDAO

Moja ya udhaifu mkubwa unao kumba mataifa mengi hasa barani Afrika ni kutokua na mikakati ya uzuizi na endelevu dhidi ya uhalifu mtandao. Imethibitika kua Nchi nyingi zimekua zikingoja tatizo litokee ndio jitihada zinachukuliwa kutatua tatizo huku athari ikiwa imeshaonekana.


Mwaka huu baada ya Nchi ya Ghana kua miongoni mwa waathirika wa uhalifu mtandao ambapo  mtandao mkuu wa serikali ya nchi hiyo inao hudumia tovuti 58 za serikali ulidukuliwa na kusababisha tovuti 11 kuingiliwa na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

DHL yajipanga kupambana na wasafirishaji ‘unga’

KAMPUNI ya kusafirisha vifurishi (DHL) imesema imejizatiti kupambana na wasafirishaji wa dawa za kulevya nchini. Meneja wa DHL Tanzania, Ahmed Abdi,  alibainisha hayo jijini Dar es Salaam jana wakati wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

MSEA yajipanga kupambana na uharibifu wa mazingira Tabora

UHARIBIFU wa mazingira katika Mkoa wa Tabora imeelezwa ni mkubwa kutokana na kukithiri kwa shughuli mbalimbali za kijamii zisizozingatia kanuni za utunzaji wa mazingira. Hayo yameelezwa na Meneja Miradi wa...

 

10 years ago

StarTV

Serikali yajipanga kukabili ugonjwa wa Marburg.

Na Projestus Binamungu, Mwanza.

 

Serikali imesema hakuna mgonjwa yeyote aliyeripotiwa kuwa na kirusi cha homa ya Marburg mpaka hivi sasa na imewataka watanzania kuchukua tahadhali.

 

Ugonjwa ambao umeibuka tena nchini Uganda tayari imesababisha kifo cha mtu mmoja na wengine kadhaa wakiwa mahututi.

 

Oktoba, 20 mwaka 2012 Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, ilipokea taarifa kutoka Shirika la Afya Duniani WHO juu ya uwepo wa mripuko wa ugonjwa wa homa ya Marburg katika nchi jirani ya...

 

9 years ago

MillardAyo

Wizara ya ardhi ina haya kuhusu Bomoabomoa inayoendelea Bonde la Msimbazi

Bomoabomoa bonde la Msimbazi imeanza tayari na baadhi ya nyumba tayari zimeshabomolewa katika eneo la Hananasifu, Kinondoni Charles Mkalawa ambaye ni Afisa mipango miji Wizara ya Ardhi alikuwa eneo la tukio na kuzungumza na millardayo.com kuhusu bomoabomoa inayoendelea katika baadhi ya meneo Wananchi hawkauwa na taarifa na bomoabomoa..“Serikali inabidi itambue hii hadithi ya kuwatafutia watu […]

The post Wizara ya ardhi ina haya kuhusu Bomoabomoa inayoendelea Bonde la Msimbazi appeared first...

 

10 years ago

Vijimambo

Wizara ya Mambo ya Nje yajipanga kutekeleza Sera ya Elimu n Mafunzo ya Mwaka 2014

Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Prof.Sifuni Mchome akiwasilisha mada kuhusu Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014 kwa Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa katika warsha fupi iliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam tarehe 06 Machi, 2015. Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirkiano wa Kimataifa, Balozi Simba Yahya (kushoto) akiwa na Mkurugenzi Idara ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani