Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mabilioni yahitajika kunusuru homa ya bonde la ufa

Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi imeomba Sh30.2 bilioni Hazina kwa ajili ya chanjo ya ugonjwa wa bonde la ufa ambao ni hatari kwa binadamu na wanyama.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Serikali ya jipanga Kudhibiti Homa ya Bonde la Ufa

19_s

Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Maendeleo ya Uvuvi Dkt.Yohana Budeba.

Na Anitha Jonas –MAELEZO

Serikali yaanda mkakati wa  kuzuia Homa ya Bonde la Ufa (Rift Valley Fever) nchini kutokana na kuwepo na viashiria vya kuwepo na ungojwa huo katika kipindi hichi cha mvua za Eli-nino kama ilivyoripotiwa na Mlaka ya hali ya hewa.

Ugongwa wa Homa ya Bonde la Ufa ni hatari sana na kwani katika kipindi cha 2006/2007 ulipotokea ulisambaa kwa kasi na kuathiri vijiji 175  kati ya wilaya 11 katika ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wizara yajipanga kupambana na ugonjwa wa bonde la ufa

SERIKALI kupitia Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, imesema imeweka mikakati madhubuti ya kuhakikisha wanapambana kikamilifu na ugonjwa wa bonde la ufa. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es...

 

10 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA TANO LA KIMATAIFA KUJADILI MATUMIZI YA NISHATI ITOKANAYO NA JOTO ARDHI KATIKA NCHI ZA AFRIKA ZINAZOPITIWA NA BONDE LA UFA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akifungua rasmi Kongamano la Tano la Kimataifa la kujadili matumizi ya Nishati itokanayo na joto ardhi katika Nchi za Afrika zinazopitiwa na bonde la ufa. Kongamano hilo limeanza leo Oktoba 29, 2014 katika Ukumbi wa AICC Jijini Arusha. Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Stephen Masele, akizungumza kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi Makamu wa Rais, Dkt Bilal, kufungua kongamano hilo. Baadhi ya...

 

10 years ago

Vijimambo

WIKI ENDI HII NI YANGA NA SIMBA HOMA KUSHUKA HOMA KUPANDA WACHEZAJI WENYEWE ROHO KWATU.

SIMBA V YANGA 8Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) limetangaza viingilio vya mchezo wa siku ya jumapili kati ya Simba SC na Young African utakaofanyika kwenye dimba la Uwanja wa Taifa kuanzia majira ya saa 10 kamili za jioni.Mchezo huo utachezeshwa na mwamuzi Martin Saanya kutoka Morogoro, akisaidiwa na Soud Lila (DSM) mshika  kibendera wa kwanza, Florentina Zabron (Dodoma) mshika kibendera wa pili, Mwamuzi wa akiba Israel Mjuni (DSM), na kamisaa wa mchezo ni Ame Santimeya (DSM).Viingilio vya mchezo...

 

11 years ago

BBCSwahili

Misaada zaidi yahitajika Syria

Mkuu wa maswala ya kibinaadam wa umoja wa mataifa,Valerie Amos ataka misaada zaidi ipelekwe Syria

 

10 years ago

Tanzania Daima

Elimu yahitajika baada ya Bunge Maalum la Katiba

BUNGE Maalum la Katiba limepitisha Rasimu ya Katiba inayopendekezwa kwa wingi wa kura za ndiyo za Wajumbe wa Bunge hilo, Rais Jakaya Kikwete atakabidhiwa rasimu hiyo ambayo ni Katiba Inayopendekezwa....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Elimu bado yahitajika mfumo mpya wa tiketi

KIVUMBI cha raundi ya pili ya Ligi Kuu Tanzania bara kitaanza kutimka Januari 25 kwa miamba 14 kuendelea na kampeni ya kutwaa ubingwa wa ligi hiyo iliyoanza Agosti 24, mwaka...

 

10 years ago

Michuzi

MICHANGO BADO YAHITAJIKA UJENZI WA MSIKITI KIJIJI CHA KIMBANGULILE MKURANGA PWANI

 Huu ndio msikiti wa Masjid Fisabillah ya Mlamleni uliopo Kijiji cha Kimbangulile, Wilaya ya Mkuranga , Mkoa wa Pwani.  Ujenzi wa Msikiti ukiwa umeanza.Hivi ndivyo ujenzi ulipofikia katika ujenzi huo na bado fedha zinahitajika kwaajili ya kuendelea. 
TUNAMSHUKURU  Mwenyezi Mungu kwa Pumzi anayo endelea kutupa.
Ufuatao ni Mrejesho wa Michango yenu ya Ujenzi wa Msikiti wa Masjid Fisabillah ya Mlamleni , Mkoa wa Pwani , Wilaya ya Mkuranga , Kijiji cha Kimbangulile.


Ikumbukwe kupitia Blogs na...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Nchi inapita bonde la mauti

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeifananisha hali inayolikumba taifa kwa sasa ambako kila kukicha kumekuwa kukiibuliwa kashfa za ufisadi, ni sawa na kupita kwenye bonde la mauti. Kutokana na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani