WIKI ENDI HII NI YANGA NA SIMBA HOMA KUSHUKA HOMA KUPANDA WACHEZAJI WENYEWE ROHO KWATU.
Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) limetangaza viingilio vya mchezo wa siku ya jumapili kati ya Simba SC na Young African utakaofanyika kwenye dimba la Uwanja wa Taifa kuanzia majira ya saa 10 kamili za jioni.Mchezo huo utachezeshwa na mwamuzi Martin Saanya kutoka Morogoro, akisaidiwa na Soud Lila (DSM) mshika kibendera wa kwanza, Florentina Zabron (Dodoma) mshika kibendera wa pili, Mwamuzi wa akiba Israel Mjuni (DSM), na kamisaa wa mchezo ni Ame Santimeya (DSM).Viingilio vya mchezo...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo10 Apr
Kushuka, kupanda kwa nauli wiki ijayo
MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) imesema hatma ya uamuzi kuhusu iwapo nauli ishuke au la itajulikana wiki ijayo.
10 years ago
Vijimambo04 Jul
ULINZI WAIMARISHWA NDANI YA JIJI LA WASILO LALA NEW YORK CITY WIKI ENDI HII YA 4TH JULY
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/07/04/16/2A3AA8D700000578-0-image-m-23_1436023683056.jpg)
Hapa ni polisi akimpatia maelekezo wapi kwa kupita msafiri katika kituo kikubwa cha mabasi cha Port Authority New York City.
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/07/04/15/2A3A94A100000578-0-image-m-5_1436021790376.jpg)
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/07/04/15/2A3AA90700000578-0-image-m-7_1436021954086.jpg)
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/07/04/16/2A3AA87B00000578-0-Four_officers_prepare_for_their_patrol_in_Times_Square_on_July_4-m-9_1436022128078.jpg)
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/07/04/17/video-undefined-2A3B322800000578-413_636x358.jpg)
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/07/04/16/2A3A941100000578-0-image-m-12_1436022176604.jpg)
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/07/04/16/2A3AA8FB00000578-0-image-m-13_1436022239640.jpg)
9 years ago
Mtanzania07 Dec
Kerr sasa roho kwatu Msimbazi
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Dylan Kerr, ameanza kujivunia kikosi chake kuwa kwa sasa kipo imara na kinaweza kumpatia matokeo mazuri kwenye mechi zilizobakia za Ligi Kuu Tanzania Bara kama ilivyokuwa mkakati wake.
Simba hivi karibuni ilifanikiwa kuifunga Kimbunga FC ya Zanzibar kwa mabao 5-2, ikiwa ni mchezo wao wa kwanza wa majaribio tangu ligi isimame, kesho itajipima tena na timu nyingine visiwani humo.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Kerr alisema kadiri...
11 years ago
Dewji Blog30 May
Skylight Band waleta homa ya burudani ndani ya Jiji la Dar, njoo utibiwe Thai Village Ijumaa hii kwa burudani ya nguvu
Sam Mapenzi akiamsha amsha Taratibuuuuuuu ndani ya Thai Village.
Winfrida Richard akiimba kwa sauti nyororooooo kabisaaaa amsha amsha kwa mashabiki ndani ya Thai Village Ijumaa iliyopita.
Sam Mapenzi kushoto akiwa na Winfrida Richard wakitoa vocal za ukweli kuwapa raha mashabiki wao ndani ya Thai Village.
Aneth Kushaba AK47 toka kulia akiongoza makamuzi ndani ya Thai Village Ijumaa iliyopita.
Joniko Flower kushoto akiongoza makamuzi ya sebene kaliii akipewa sapoti na Sony Masamba.
11 years ago
BBCSwahili19 May
TZ yapambana na Homa ya
10 years ago
Mwananchi13 Oct
Tambo zatawala wachezaji wa Simba, Yanga
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tShVZUCVrOo/XmTWW3YbyFI/AAAAAAALh4E/XbXqsbpk_3w6FsN5oJJi3_rog8YycnBCwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-08%2Bat%2B13.15.42.jpeg)
JOTO LAZIDI KUPANDA MECHI YANGA NA SIMBA, DAKIKA 90 ZA MCHEZO KUAMUA NANI MBABE
KADRI muda unavyosonga mbele kuelekea mechi ya watani wa jadi Yanga na Simba itakayochezwa leo Machi 8 mwaka huu 2020, saa 11 jioni mashabiki lukuki wameanza kujitokeza katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam huku kila upande ukiwa umejawa na tambo za ushindi.
![](https://1.bp.blogspot.com/-tShVZUCVrOo/XmTWW3YbyFI/AAAAAAALh4E/XbXqsbpk_3w6FsN5oJJi3_rog8YycnBCwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-08%2Bat%2B13.15.42.jpeg)
Mechi ya Yanga na Simba ni moja ya mechi ambazo zimekuwa na utamaduni mkubwa wa kujaza mashabiki, wapenzi na wachama wa vilabu hivyo hasa kwa kuzingatia ni mechi ambayo hutawaliwa...