TZ yapambana na Homa ya
Tanzania imesema inapambana na mlipuko wa homa ya Dengue iliyozuka mapema mwaka huu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo07 Mar
WIKI ENDI HII NI YANGA NA SIMBA HOMA KUSHUKA HOMA KUPANDA WACHEZAJI WENYEWE ROHO KWATU.
![SIMBA V YANGA 8](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/03/SIMBA-V-YANGA-8.gif)
9 years ago
BBCSwahili12 Nov
Misri yapambana kurudisha watalii
10 years ago
BBCSwahili05 Jan
Majeshi ya DRC yapambana na waasi
9 years ago
BBCSwahili16 Sep
Nigeria yapambana na ufisadi serikalini
10 years ago
StarTV10 Feb
Serikali yapambana na waingizaji sukari kinyemela.
Na Josephine Mwaiswaga,
Dar es salaam.
Waziri wa kilimo na Chakula Stephan Wassira amesema Serikali inafanya jitihada za kukabiliana na tatizo la uingizwaji wa sukari kwa njia zisizo rasmi ambazo zinapelekea kwa kiasi kikubwa kuathiri uwekezaji katika sekta ya kilimo cha muwa na viwanda vya sukari hapa nchini.
Aidha, Wassira amesema serikali inatambua na kuthamini uwekezaji na mapato makubwa yanayopatikana kupitia uwekezaji katika kilimo cha muwa hivyo kuna kila sababu ya kubaliana na...
11 years ago
Habarileo20 May
Sampuli 60 zachunguzwa homa ya dengue
UKOSEFU wa vifaa tiba katika hospitali za wilaya mkoani Lindi, umesababisha watu 60 kuchukuliwa sampuli zao kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi kubaini ugonjwa wa dengue kwenye maabara mkoani Dar es Salaam.
9 years ago
Habarileo19 Aug
Homa ya Ngao ya Jamii yapanda
HOMA ya pambano la ngao ya jamii zimezidi kupanda baada ya Yanga na Azam kurejea Dar es Salaam tayari kwa mechi hiyo itakayochezwa Jumamosi hii kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
11 years ago
Mwananchi10 May
Vipimo homa ya dengue vyaadimika
11 years ago
Habarileo19 May
Homa ya dengue yaibua tafrani
TAARIFA isiyo sahihi ya maambukizi ya homa ya dengue inayoenezwa na mbu aina ya aedes, imesababisha baadhi ya madereva teksi jijini Dar es Salaam, kujilinda kwa kuvaa glovu za mikononi, soksi ndefu miguuni na kujifungia muda wote katika magari yao hata ambayo hayana viyoyozi.