Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Misri yapambana kurudisha watalii

Rais wa Misri Abdel Fattah al-Sisi amewahakikishia watalii wa Uingereza na Urusi kwamba nchi yake ni sehemu salama ya kutembelea.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mlipuko kwenye basi la watalii Misri

Taarifa kutoka nchini Misri zinasema kuwa mlipuko kwenye basi katika rasi ya Sinai umewaua watu 3.

 

11 years ago

BBCSwahili

TZ yapambana na Homa ya

Tanzania imesema inapambana na mlipuko wa homa ya Dengue iliyozuka mapema mwaka huu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Nigeria yapambana na ufisadi serikalini

Serikali yataka kila Wizara kuwa na Akaunti moja kupambana na udanganyifu

 

10 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya DRC yapambana na waasi

Vikosi vya Jeshi la jamhuri ya kidemokrasia ya kongo vinaudhibiti mji wa Abya ulioko kaskazini mashariki mwa mji wa Beni .

 

10 years ago

StarTV

Serikali yapambana na waingizaji sukari kinyemela.

Na Josephine Mwaiswaga,

Dar es salaam.

 

Waziri wa kilimo na Chakula Stephan Wassira amesema Serikali inafanya jitihada za kukabiliana na tatizo la uingizwaji wa sukari kwa njia zisizo rasmi ambazo zinapelekea kwa kiasi kikubwa kuathiri uwekezaji katika sekta ya kilimo cha muwa na viwanda vya sukari hapa nchini.

 

Aidha, Wassira amesema serikali inatambua na kuthamini uwekezaji na mapato makubwa yanayopatikana kupitia uwekezaji katika kilimo cha muwa hivyo kuna kila sababu ya kubaliana na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Bi Mugabe atakiwa kurudisha shahada

Mwandishi aliyeshinda tuzo nchini Zimbabwe amemtaka Grace Mugabe mke wa rais wa Zimbabwe Robert Mugabe kurudisha shahada aliyopewa

 

10 years ago

Mwananchi

Sitta wa kwanza kurudisha fomu

Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta jana alikamilisha mchakato wa kusaka wadhamini wa maombi yake ya kuwania urais kupitia CCM na leo anatarajia kuwa wa kwanza kurejesha fomu hizo makao makuu ya chama hicho mjini Dodoma.

 

10 years ago

Mtanzania

Phiri kurudisha heshima Simba

Kocha mpya wa Simba, Patrick Phiri

Kocha mpya wa Simba, Patrick Phiri

NA JENNIFER ULLEMBO

KOCHA mpya wa klabu ya Simba, Patrick Phiri, ametua nchini jana na kusema amekuja na malengo ya kurudisha heshima katika timu hiyo ambayo imepotea katika kipindi ambacho imekuwa haifanyi vizuri.

Phiri ni kocha mwenye historia nzuri na klabu hiyo msimu wa ligi kuu wa 2009/2010, ambapo aliweza kuisababisha timu yake hiyo kutwaa ubingwa wa ligi hiyo bila kufungwa mchezo hata mmoja.

Licha ya kuweka rekodi hiyo, lakini pia amewahi kunyakua...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani