Misri yapambana kurudisha watalii
Rais wa Misri Abdel Fattah al-Sisi amewahakikishia watalii wa Uingereza na Urusi kwamba nchi yake ni sehemu salama ya kutembelea.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili16 Feb
Mlipuko kwenye basi la watalii Misri
11 years ago
BBCSwahili19 May
TZ yapambana na Homa ya
9 years ago
BBCSwahili16 Sep
Nigeria yapambana na ufisadi serikalini
10 years ago
BBCSwahili05 Jan
Majeshi ya DRC yapambana na waasi
10 years ago
StarTV10 Feb
Serikali yapambana na waingizaji sukari kinyemela.
Na Josephine Mwaiswaga,
Dar es salaam.
Waziri wa kilimo na Chakula Stephan Wassira amesema Serikali inafanya jitihada za kukabiliana na tatizo la uingizwaji wa sukari kwa njia zisizo rasmi ambazo zinapelekea kwa kiasi kikubwa kuathiri uwekezaji katika sekta ya kilimo cha muwa na viwanda vya sukari hapa nchini.
Aidha, Wassira amesema serikali inatambua na kuthamini uwekezaji na mapato makubwa yanayopatikana kupitia uwekezaji katika kilimo cha muwa hivyo kuna kila sababu ya kubaliana na...
10 years ago
BBCSwahili02 Oct
Bi Mugabe atakiwa kurudisha shahada
10 years ago
Mwananchi15 Jun
Sitta wa kwanza kurudisha fomu
10 years ago
Mtanzania14 Aug
Phiri kurudisha heshima Simba
![Kocha mpya wa Simba, Patrick Phiri](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Patrick-Phiri.jpg)
Kocha mpya wa Simba, Patrick Phiri
NA JENNIFER ULLEMBO
KOCHA mpya wa klabu ya Simba, Patrick Phiri, ametua nchini jana na kusema amekuja na malengo ya kurudisha heshima katika timu hiyo ambayo imepotea katika kipindi ambacho imekuwa haifanyi vizuri.
Phiri ni kocha mwenye historia nzuri na klabu hiyo msimu wa ligi kuu wa 2009/2010, ambapo aliweza kuisababisha timu yake hiyo kutwaa ubingwa wa ligi hiyo bila kufungwa mchezo hata mmoja.
Licha ya kuweka rekodi hiyo, lakini pia amewahi kunyakua...