Bi Mugabe atakiwa kurudisha shahada
Mwandishi aliyeshinda tuzo nchini Zimbabwe amemtaka Grace Mugabe mke wa rais wa Zimbabwe Robert Mugabe kurudisha shahada aliyopewa
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi15 Jun
Sitta wa kwanza kurudisha fomu
9 years ago
BBCSwahili12 Nov
Misri yapambana kurudisha watalii
10 years ago
Mtanzania14 Aug
Phiri kurudisha heshima Simba
![Kocha mpya wa Simba, Patrick Phiri](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Patrick-Phiri.jpg)
Kocha mpya wa Simba, Patrick Phiri
NA JENNIFER ULLEMBO
KOCHA mpya wa klabu ya Simba, Patrick Phiri, ametua nchini jana na kusema amekuja na malengo ya kurudisha heshima katika timu hiyo ambayo imepotea katika kipindi ambacho imekuwa haifanyi vizuri.
Phiri ni kocha mwenye historia nzuri na klabu hiyo msimu wa ligi kuu wa 2009/2010, ambapo aliweza kuisababisha timu yake hiyo kutwaa ubingwa wa ligi hiyo bila kufungwa mchezo hata mmoja.
Licha ya kuweka rekodi hiyo, lakini pia amewahi kunyakua...
10 years ago
Mwananchi26 Jun
Chadema wafurika kurudisha fomu za ubunge
10 years ago
Mtanzania17 Dec
Pluijm atamba kurudisha ubora wa Yanga
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM,
KOCHA mpya wa timu ya Yanga, Mholanzi Hans van Der Pluijm, ameeleza kuwa amerejea kwenye timu hiyo kurudisha ubora wa awali wa kikosi hicho aliouacha, huku akipanga kuendeleza falsafa yake ya soka la kushambulia.
Pluijm, aliyetua nchini majira ya saa 8.30 usiku wa kuamkia jana, amekuja kurithi mikoba ya Mbrazil Marcio Maximo, aliyetimuliwa kuinoa Yanga juzi, ambapo sasa inakuwa mara yake ya pili kukinoa kikosi...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yallYWJbJ*b3iqQKFydqzasPqogbvfujTnFdxopnLErfoxy-VPYx8k7WLwS0gjT*YuYcpJAhoL6E7gAxLRnM0fhkwCy4Qou-/basata.jpg)
BASATA KURUDISHA HADHI YA MUZIKI WA REGGAE