Sitta wa kwanza kurudisha fomu
Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta jana alikamilisha mchakato wa kusaka wadhamini wa maombi yake ya kuwania urais kupitia CCM na leo anatarajia kuwa wa kwanza kurejesha fomu hizo makao makuu ya chama hicho mjini Dodoma.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo15 Jun
Migiro ajitosa urais, Sitta kurudisha fomu
WAZIRI wa Sheria na Katiba, Dk Asha-Rose Migiro leo anatarajia kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwania nafasi ya urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-yhhd3_k0tSk/VX5rHFEVBLI/AAAAAAAAvww/Cn717LOxw2c/s72-c/migiro.png)
Dk Asha-Rose Migiro Ajitosa Kuwania Urais Kupitia CCM......Samuel Sitta Kurudisha Fomu ya Urais Leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-yhhd3_k0tSk/VX5rHFEVBLI/AAAAAAAAvww/Cn717LOxw2c/s640/migiro.png)
![](http://beacon.walmart.com/vm/ttap.gif?id=10694486&channel=WALMART&network=sraxopen_vhct&creative=SAL&destination=MICROSITE&size=728x90&idea=MOM&type=FLASH&device=DESKTOP)
Aidha, taarifa zilizozagaa kwenye mitandao ya kijamii, kuwa Waziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein kuwa atachukua fomu si za kweli kwa mujibu wa chanzo cha habari kutoka ndani ya CCM.Migiro, ambaye atachukua fomu kwenye makao makuu wa CCM mjini Dodoma saa tisa mchana, atakuwa mwanamke wa nne kuchukua fomu...
10 years ago
Mwananchi26 Jun
Chadema wafurika kurudisha fomu za ubunge
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-JjECQPGFvRg/VZY5eaMO9XI/AAAAAAABRGU/WcOL6RBAtbg/s72-c/rajab%2Bluhaja.jpg)
WANNE WASHINDWA KURUDISHA FOMU ZA URAIS CCM
![](http://2.bp.blogspot.com/-JjECQPGFvRg/VZY5eaMO9XI/AAAAAAABRGU/WcOL6RBAtbg/s640/rajab%2Bluhaja.jpg)
Hatimaye zoezi la kuchukua na kurudisha fomu kwa makada wa chama cha mapinduzi ccm wanaowania kuchaguliwa kugombea urais limemalizika ambapo makada 38 wamerudisha fomu baada ya kutimiza masharti ya kutafuta wadhamini,
Hatiamaye zoezi la kuchukua na kurudisha fomu kwa makada wa chama cha mapinduzi ccm wanaowania kuchaguliwa kugombea urais limemalizika ambapo makada 38 wamerudisha fomu baada ya kutimiza masharti ya kutafuta wadhamini, huku...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vr0BOEjG0eA/XvHfAIHn14I/AAAAAAALvDY/sxgh1UOMP600sJnERUt1vv3vuLtYJMMxQCLcBGAsYHQ/s72-c/9.jpg)
ZANZIBAR KUMEKUCHA WAGOMBEA WAANZA KURUDISHA FOMU ZA URAIS
![](https://1.bp.blogspot.com/-vr0BOEjG0eA/XvHfAIHn14I/AAAAAAALvDY/sxgh1UOMP600sJnERUt1vv3vuLtYJMMxQCLcBGAsYHQ/s640/9.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-8r_Q6TGsiJA/XvHe9sQyUDI/AAAAAAALvDQ/d0w6XM62Qv0b6D_ouQpmB6URWly4w_X1wCLcBGAsYHQ/s640/Hija%2Bfomu%2B2.jpg)
10 years ago
Michuzi18 Jul
Steven Nyerere achukua fomu ya kugombea ubunge jimbo la kinondoni na kurudisha leo
10 years ago
Michuzi19 Jul
MUSTAFA PANJU ACHUKUA NA KURUDISHA FOMU YA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA ARUSHA MJINI AAHIDI UMOJA NA MAENDELEO
![SAM_3880](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/8w-bum7k-L2VtnpTOcU6V6WQhQUOioCD2WvG8ifL7BWBVwRQrOxAYN_Rq7cRjsT76uFKnVLUKP2-w5MuFLCJXv1vkQvtdQXYJGB319bLMjoSDVw=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/07/sam_3880.jpg)
10 years ago
Dewji Blog20 Jul
Mustafa Panju achukua na kurudisha fomu ya kuwania Ubunge jimbo la Arusha mjini, ahaidi umoja na maendeleo
Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Bushbucks Safaris iliyopo jijini Arusha, Mustafa Panju ambaye ni mmoja wa wagombea wa jimbo la Arusha mjini kupitia chama cha mapinduzi CCM akimkabidhi Katibu wa CCM wilaya ya Arusha, Ferooz Bano fomu ya kuwania kinyang’anyiro hicho baada ya kuchukua fomu hiyo jana na kurejesha huku akisisitiza kuwa endapo atafanikiwa kupitishwa na chama hicho au laa atashirikiana na wananchi pamoja na wanaCCM katika kuleta maendeleo katika jimbo hilo ambalo lipo mikononi...