Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mlipuko kwenye basi la watalii Misri

Taarifa kutoka nchini Misri zinasema kuwa mlipuko kwenye basi katika rasi ya Sinai umewaua watu 3.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Misri yapambana kurudisha watalii

Rais wa Misri Abdel Fattah al-Sisi amewahakikishia watalii wa Uingereza na Urusi kwamba nchi yake ni sehemu salama ya kutembelea.

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi 6 wauawa katika mlipuko Misri

Polisi 6 wameuawa katika mlipuko uliotokea barabarani katika rasi ya Sinai Misri

 

10 years ago

BBCSwahili

Mlipuko watokea kambi ya Polisi Misri

Mtu mmoja ameuawa na wengine 24 wamejeruhiwa baada ya Mtu mmoja kujitoa muhanga akilenga Kambi ya Polisi, Maafisa wameeleza.

 

10 years ago

GPL

MLIPUKO WAUA MAOFISA WA POLISI MISRI

Maofisa wa polisi wakiwa eneo ulipotokea mlipuko huo. MAOFISA wawili wa polisi wameuawa katika mlipuko wa bomu uliotokea leo kwenye wilaya ya Bulaq Abu-al-Ila jirani na Wizara ya Mambo ya Nje jijini Cairo nchini Misri. Mlipuko huo umetokea katika mtaa uliojaa watu wengi jirani na Mto Nile na bomu hilo linadaiwa kutegwa chini ya mti uliokuwa katika eneo hilo. Mpaka sasa hakuna kundi lolote lililodai kuhusika na shambulio hilo....

 

11 years ago

BBCSwahili

Mlipuko wapiga jengo la usalama Misri

Mlipuko mkubwa umepiga jesgo la usalama nchini Misri na kusababisha vifo vya watu 14 na 100 kujeruhiwa

 

10 years ago

BBCSwahili

Mlipuko wawaua watu wawili nchini Misri

Kumekuwa na mlipuko karibu na jumba la wizara ya maswala ya kigeni nchini Misri.

 

11 years ago

BBCSwahili

20 wafariki kwenye mlipuko DRC

Watu 20 wanahofiwa kufariki kutokana na mlipuko katika ghala la silaha katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo.

 

11 years ago

GPL

WANNE WAPOTEZA MAISHA KWENYE MLIPUKO NAIROBI

WATU wanne wanadaiwa kupoteza maisha wakati wengine kadhaa wakijeruhiwa baada ya milipuko miwili ya maguruneti kutokea eneo la Gikomba mjini Nairobi, Kenya. Mlipuko wa kwanza umetokea katika basi la abiria 'matatu' wakati wa pili ukitokea katika soko la Gikomba.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mustakabali wa misri kwenye mizani

Wananchi wa Misri wanapigia kura katiba mpya. Kuidhinishwa kwa rasimu ya katiba kutaweka wazi nafasi ya kuandaa uchaguzi mkuu

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani