Mlipuko kwenye basi la watalii Misri
Taarifa kutoka nchini Misri zinasema kuwa mlipuko kwenye basi katika rasi ya Sinai umewaua watu 3.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili12 Nov
Misri yapambana kurudisha watalii
Rais wa Misri Abdel Fattah al-Sisi amewahakikishia watalii wa Uingereza na Urusi kwamba nchi yake ni sehemu salama ya kutembelea.
10 years ago
BBCSwahili16 Sep
Polisi 6 wauawa katika mlipuko Misri
Polisi 6 wameuawa katika mlipuko uliotokea barabarani katika rasi ya Sinai Misri
10 years ago
BBCSwahili10 Mar
Mlipuko watokea kambi ya Polisi Misri
Mtu mmoja ameuawa na wengine 24 wamejeruhiwa baada ya Mtu mmoja kujitoa muhanga akilenga Kambi ya Polisi, Maafisa wameeleza.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*6ZFuLsTz61Pv1fPCe90nMLH1sTTraWkFqOujwM6FZf84B3wriHIeHSggSUQWi4Ga3JW8fe5Go4LJ9ej0E0B81gtEXNaXEQ-/BOMU.jpg)
MLIPUKO WAUA MAOFISA WA POLISI MISRI
Maofisa wa polisi wakiwa eneo ulipotokea mlipuko huo. MAOFISA wawili wa polisi wameuawa katika mlipuko wa bomu uliotokea leo kwenye wilaya ya Bulaq Abu-al-Ila jirani na Wizara ya Mambo ya Nje jijini Cairo nchini Misri. Mlipuko huo umetokea katika mtaa uliojaa watu wengi jirani na Mto Nile na bomu hilo linadaiwa kutegwa chini ya mti uliokuwa katika eneo hilo. Mpaka sasa hakuna kundi lolote lililodai kuhusika na shambulio hilo....
11 years ago
BBCSwahili24 Dec
Mlipuko wapiga jengo la usalama Misri
Mlipuko mkubwa umepiga jesgo la usalama nchini Misri na kusababisha vifo vya watu 14 na 100 kujeruhiwa
10 years ago
BBCSwahili21 Sep
Mlipuko wawaua watu wawili nchini Misri
Kumekuwa na mlipuko karibu na jumba la wizara ya maswala ya kigeni nchini Misri.
11 years ago
BBCSwahili26 Jan
20 wafariki kwenye mlipuko DRC
Watu 20 wanahofiwa kufariki kutokana na mlipuko katika ghala la silaha katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
WANNE WAPOTEZA MAISHA KWENYE MLIPUKO NAIROBI
WATU wanne wanadaiwa kupoteza maisha wakati wengine kadhaa wakijeruhiwa baada ya milipuko miwili ya maguruneti kutokea eneo la Gikomba mjini Nairobi, Kenya. Mlipuko wa kwanza umetokea katika basi la abiria 'matatu' wakati wa pili ukitokea katika soko la Gikomba.
11 years ago
BBCSwahili14 Jan
Mustakabali wa misri kwenye mizani
Wananchi wa Misri wanapigia kura katiba mpya. Kuidhinishwa kwa rasimu ya katiba kutaweka wazi nafasi ya kuandaa uchaguzi mkuu
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania