Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mustakabali wa misri kwenye mizani

Wananchi wa Misri wanapigia kura katiba mpya. Kuidhinishwa kwa rasimu ya katiba kutaweka wazi nafasi ya kuandaa uchaguzi mkuu

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Dereva aporwa lori la mafuta akiwa kwenye foleni mizani

Watu watano wasiofahamika wanaodhaniwa ni wezi, wamemvamia dereva wa lori la mafuta, Stephano John eneo la Kibamba, Barabara Kuu ya Dar es Salaam -Morogoro alipokuwa katika foleni na kisha kumpiga, kumjeruhi sehemu kadhaa za mwili, kumfunga kamba na kumtupa mtaroni.

 

9 years ago

MillardAyo

Biashara ya matunda? Wizi kwenye mizani? kufumuliwa Jeshi la Polisi? Mganga na nyamapori? #Uchambuzi

Hizi ni baadhi ya stori kubwa zilizoguswa na uchambuzi wa redioni leo December 29 2015 kutoka kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania. Serikali yaweka mkakati wa udhibiti wa uuzaji wa matunda kando ya barabara, kipindupindu chaendelea kuwa tishio Mwanza, mmoja afariki… iko stori pia ya Waziri Ndalichako kuahidi kurudisha heshima kwenye sekta ya elimu Tanzania. […]

The post Biashara ya matunda? Wizi kwenye mizani? kufumuliwa Jeshi la Polisi? Mganga na nyamapori? #Uchambuzi appeared first on...

 

11 years ago

CloudsFM

DEREVA APORWA LORI KWENYE FOLENI YA MIZANI KIBAHA, WAMPIGA NA KUMTUPA MTARONI AKIWA HOI

Watu watano wasiofahamika wanaodhaniwa ni wezi, wamemvamia dereva wa lori la mafuta, Stephano John eneo la Kibamba, Barabara Kuu ya Dar es Salaam -Morogoro alipokuwa katika foleni na kisha kumpiga, kumjeruhi sehemu kadhaa za mwili, kumfunga kamba na kumtupa mtaroni.
Ilielezwa kuwa baada ya kumfunga kamba, wahalifu hao walimdhibiti ndani ya lori na kutembea naye umbali wa kilomita moja walipofika maeneo ya Kiluvya ambako walimtupa katika mtaro na kuendelea na safari.

Walifika mizani Kibaha...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mlipuko kwenye basi la watalii Misri

Taarifa kutoka nchini Misri zinasema kuwa mlipuko kwenye basi katika rasi ya Sinai umewaua watu 3.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ghasia kwenye kura ya maamuzi Misri

Wafuasi wa Rais aliyeondolewa mamlakani Mohammed Morsi walizua vurugu na hata kusababisha vifo kadhaa.

 

10 years ago

GPL

KIONGOZI WA MASHTAKA MISRI AFARIKI BAADA YA KUJERUHIWA KWENYE SHAMBULIO

Magari yaliyokuwa katika msafara wa Hisham Barakat baada ya kushambuliwa kwa bomu. Mojawapo ya gari likiwa limeharibiwa vibaya baada ya shambulio. Dereva huyu alinusurika…

 

11 years ago

GPL

MWALIKO WA WA WASANII KWENDA CAIRO, MISRI KWENYE TAMASHA‏

Tarehe: 14/08/2014
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
BASATA Arts Centre                                                                            Tel. 2863748/2860485...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mustakabali wa Moyes Man U

Magazeti nchini Uingereza yanasema kuwa klabu hiyo huenda ikamfuta kazi Moyes

 

10 years ago

Vijimambo

Mbowe na mustakabali wa CHADEMA


Kwa kweli nimesikitishwa sana namna chama mahiri cha upinzani kama CDM kudhalilika kiasi hiki katika uchaguzi huu mkuu. Niliipenda CDM-Asilia lakini ilipoingiliwa na wana CDM-Maslahi niliamua kuitosa na kumpigia debe Magufuli.Uchaguzi umekwisha na tunae Raisi. Je Tunao Upinzani Mahiri Tena?Kwa kweli CDM imeathirika sana na inaweza kumeguka vipande vipande. Kwa sasa naona ACT-Wazalendo wanaweza kupata wafuasi wengi sana na kuwa chama kikuu cha upinzani ifikapo 2020. Sidhani kama tuna upinzani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani