Dereva aporwa lori la mafuta akiwa kwenye foleni mizani
Watu watano wasiofahamika wanaodhaniwa ni wezi, wamemvamia dereva wa lori la mafuta, Stephano John eneo la Kibamba, Barabara Kuu ya Dar es Salaam -Morogoro alipokuwa katika foleni na kisha kumpiga, kumjeruhi sehemu kadhaa za mwili, kumfunga kamba na kumtupa mtaroni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
CloudsFM29 May
DEREVA APORWA LORI KWENYE FOLENI YA MIZANI KIBAHA, WAMPIGA NA KUMTUPA MTARONI AKIWA HOI
Watu watano wasiofahamika wanaodhaniwa ni wezi, wamemvamia dereva wa lori la mafuta, Stephano John eneo la Kibamba, Barabara Kuu ya Dar es Salaam -Morogoro alipokuwa katika foleni na kisha kumpiga, kumjeruhi sehemu kadhaa za mwili, kumfunga kamba na kumtupa mtaroni.
Ilielezwa kuwa baada ya kumfunga kamba, wahalifu hao walimdhibiti ndani ya lori na kutembea naye umbali wa kilomita moja walipofika maeneo ya Kiluvya ambako walimtupa katika mtaro na kuendelea na safari.
Walifika mizani Kibaha...
11 years ago
Mwananchi12 May
Dereva afariki akiwa foleni mizani Kibaha
11 years ago
Habarileo07 Mar
Dereva lori la mafuta afa ajalini
DEREVA wa gari la mafuta Ally Ngoma (62) amefariki dunia baada ya gari alilokuwa akiendesha kugongana na basi dogo la abiria.
11 years ago
GPLTASWIRA ZA AJALI YA MIKESE ILIYOUA DEREVA WA LORI LA MAFUTA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-sH8v9OXqMwA/VOs3O6gGMsI/AAAAAAAAL_A/PTdinkgWKIc/s72-c/IMG-20150223-WA0057.jpg)
LORI LA MAFUTA LATEMBEA BILA YA DEREVA MJINI MOSHI LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-sH8v9OXqMwA/VOs3O6gGMsI/AAAAAAAAL_A/PTdinkgWKIc/s1600/IMG-20150223-WA0057.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-dmah8pqJS9k/VOs3QIt6DGI/AAAAAAAAL_I/sA3ThVvxQ60/s1600/IMG-20150223-WA0058.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-3N5vRpmGHZI/VOs3JgBg_4I/AAAAAAAAL-Q/0xofJsDm04M/s1600/IMG-20150223-WA0046.jpg)
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
11 years ago
GPL11 years ago
Tanzania Daima26 Jun
Zungu ahoji mabasi ya abiria kukaa foleni ya mizani
MWENYEKITI wa Bunge, Mussa Zungu, amehoji kama ipo sababu ya mabasi ya abiria kukaa foleni ya mizani. Zungu alitoa kauli hiyo bungeni jana wakati akiongoza kiti cha spika baada ya...
11 years ago
Habarileo24 Jan
Taqwa lagongana na lori, dereva afa
DEREVA wa basi la kampuni ya Taqwa, Adam Ibrahim (50) amekufa papo hapo huku abiria kumi wakijeruhi baada ya gari alilokuwa anaendesha kutoka Dar es Salaam kwenda Bujumbura, Burundi kugongana na lori katika kitongoji cha Ngonho, Kata ya Miguwa wilayani hapa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nd24W9ECLPMEFP--Tvw-ohKZgI3umtPQcDDiH1AWhfNxjFRpC8YgKAW*VPC324Jvw8dWFVlcchRFQG31zXFf9cwz3WcxjB40/IMG20140909WA0003.jpg)
AJALI YA LORI YAUA DEREVA SEKENKE, SINGIDA