Zungu ahoji mabasi ya abiria kukaa foleni ya mizani
MWENYEKITI wa Bunge, Mussa Zungu, amehoji kama ipo sababu ya mabasi ya abiria kukaa foleni ya mizani. Zungu alitoa kauli hiyo bungeni jana wakati akiongoza kiti cha spika baada ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi12 May
Dereva afariki akiwa foleni mizani Kibaha
11 years ago
Mwananchi28 May
Dereva aporwa lori la mafuta akiwa kwenye foleni mizani
11 years ago
CloudsFM29 May
DEREVA APORWA LORI KWENYE FOLENI YA MIZANI KIBAHA, WAMPIGA NA KUMTUPA MTARONI AKIWA HOI
Watu watano wasiofahamika wanaodhaniwa ni wezi, wamemvamia dereva wa lori la mafuta, Stephano John eneo la Kibamba, Barabara Kuu ya Dar es Salaam -Morogoro alipokuwa katika foleni na kisha kumpiga, kumjeruhi sehemu kadhaa za mwili, kumfunga kamba na kumtupa mtaroni.
Ilielezwa kuwa baada ya kumfunga kamba, wahalifu hao walimdhibiti ndani ya lori na kutembea naye umbali wa kilomita moja walipofika maeneo ya Kiluvya ambako walimtupa katika mtaro na kuendelea na safari.
Walifika mizani Kibaha...
10 years ago
BBCSwahili16 Jan
Abiria wanavyokwepa foleni TZ
11 years ago
Tanzania Daima01 May
Mabasi ya majini kuleta ufumbuzi wa foleni nchini
SERIKALI, mashirika binafsi na wadau wa usafiri ndani na nje ya nchi wamekuwa wakifanya jitihada mbalimbali kukabiliana na msongamano wa magari katika Jiji la Dar es Salaam na baadhi ya...
11 years ago
GPLKAMERA YA GLOBAL YAMULIKA UBOMOAJI WA KITUO CHA MABASI, FOLENI UBUNGO
5 years ago
MichuziAbiria wanaotoka mikoa iliyoathirika kukaa Karantini Rukwa, wananchi wakitakiwa kuvaa barakoa
KATIKA harakati za kupambana na ugonjwa wa homa kali ya mapafu unaosababishwa na virusi vya Corona (COVID – 19) Mkuu wa mkoa wa Rukwa, Joachim Wangabo ametoa maelekezo kwa wananchi wa mkoa wa Rukwa kuhakikisha wanavaa barakoa wanapokuwa katika mikusanyiko pamoja na maeneo yao ya kibiashara hasa kwa wale wanaohusika na kutoa huduma kwa jamii huku akivitaka vyombo husika kuhakikisha abiria wote wanaotoka katika maeneo yaliyoathirika ndani ya nchi kuingia...
9 years ago
Mwananchi01 Jan
Mabasi yatelekeza abiria UBT
10 years ago
Mwananchi06 Oct
‘Abiria chanzo cha ajali za mabasi’