Abiria wanavyokwepa foleni TZ
Foleni ya magari katika miji mingi barani Afrika ni jambo la kawaida, na linalolalamikiwa kila mara lakini nchini Tanzania wakazi wanakwepa vipi foleni?
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima26 Jun
Zungu ahoji mabasi ya abiria kukaa foleni ya mizani
MWENYEKITI wa Bunge, Mussa Zungu, amehoji kama ipo sababu ya mabasi ya abiria kukaa foleni ya mizani. Zungu alitoa kauli hiyo bungeni jana wakati akiongoza kiti cha spika baada ya...
10 years ago
VijimamboDEREVA WA BASI LA SHABIBY AWEKWA KITI MOTO NA ABIRIA BAADA YA BASI HILO KUHARIBIKA NA YEYE KUWAKIMBIA ABIRIA
Leo hii asubuhi nikitokea Singida kwenda Dar kwa basi la Shabiby Line, lenye nambari za usajili T607 CVL iliondoka stendi ya Misuna Singida mnaomo saa 12.48(moja kasoro 12) za asubuhi. Safari ilikuwa nzuri mpaka gari ilipofika nje kidogo ya Manyoni kuelekea Dodoma mnamo saa 2.30 kwa muda wa sekunde chache mpaka dkk moja hivi ulisikika mlio usio wa kawaida ingawa dereva wa gari hilo aliendelea...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qEMni6Z3hBE/VOUKOCZFJMI/AAAAAAAHEbQ/DsI15vPWE7c/s72-c/DSC07352.jpg)
ABIRIA WA TRENI MKOANI DODOMA KUTUMIKA KITUO KIDOGO CHA KATOSHO BADALA YA STESHENI YA TRENI YA KIGOMA KWA TRENI ZA ABIRIA KUANZIA FEBRUARI 18, 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-qEMni6Z3hBE/VOUKOCZFJMI/AAAAAAAHEbQ/DsI15vPWE7c/s1600/DSC07352.jpg)
Kwa mujibu wa wa taarifa ya Uongozi wa TRL lilitolewa Februari 16, 2015 uamuzi wa treni kutofika katika stesheni ya Kigoma unatokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha mjini Kigoma na hivyo kuzoa mchanga ambao umefunika tuta la reli katika eneo la stesheni ya Kigoma.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo abiria wote...
10 years ago
BBCSwahili06 Aug
Foleni za magari mipakani
11 years ago
Mwananchi18 Mar
Tanroads kukabili foleni
10 years ago
Uhuru Newspaper11 Mar
Foleni ya wagonjwa ni tatizo
Na Happiness Mtweve, Dodoma
KITENGO cha Mionzi katika Hospitali ya Rufaa ya mkoani hapa, kimeelemewa na wagonjwa huku ikiwa na mashine moja.
Daktari Bingwa wa Mionzi, Philimon Saigodi, aliwaeleza wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Huduma za Jamii, kuwa hiyo imekuwa kero kubwa kwa wagonjwa.
Alisema wanahudumia wagonjwa 60 mpaka 70 kutoka katika mikoa ya Singida, Dodoma na wilaya za Kiteto na Manyoni.
Alisema kitengo hicho ni kikubwa na kina wagonjwa wengi, ambao wanaongezeka siku hadi siku, hivyo...
11 years ago
Tanzania Daima14 Jul
Wamachinga kwenye foleni kuondolewa
MKURUGENZI wa Jiji la Dar es Salaam, Wilson Kabwe amewataka wafanyabiashara wadogo (wamachinga) wanaouza bidhaa kwenye magari wakati wa foleni watafute maeneo rasmi, vinginevyo watakumbwa na operesheni safisha jiji inayoendelea....
11 years ago
Mwananchi10 Mar
Foleni yazua maradhi mapya
10 years ago
GPLGARI ZAGONGANA, ZASABABISHA FOLENI