Foleni ya wagonjwa ni tatizo
Na Happiness Mtweve, Dodoma
KITENGO cha Mionzi katika Hospitali ya Rufaa ya mkoani hapa, kimeelemewa na wagonjwa huku ikiwa na mashine moja.
Daktari Bingwa wa Mionzi, Philimon Saigodi, aliwaeleza wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Huduma za Jamii, kuwa hiyo imekuwa kero kubwa kwa wagonjwa.
Alisema wanahudumia wagonjwa 60 mpaka 70 kutoka katika mikoa ya Singida, Dodoma na wilaya za Kiteto na Manyoni.
Alisema kitengo hicho ni kikubwa na kina wagonjwa wengi, ambao wanaongezeka siku hadi siku, hivyo...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLFOLENI JIJINI DAR, TATIZO SUGU!
11 years ago
Mwananchi19 Dec
‘Treni ya kisasa Dar kutatua tatizo la foleni’
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Sauti za wananchi wa Dar kuhusu tatizo la foleni
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qFg35BImoRw/UysDdF2oxMI/AAAAAAAFVHM/ayfpU1q_iPk/s72-c/02.jpg)
Barabara za juu kuondoa tatizo foleni jijini Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-qFg35BImoRw/UysDdF2oxMI/AAAAAAAFVHM/ayfpU1q_iPk/s1600/02.jpg)
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini wa Wizara ya Ujenzi Bw. Mrtin Ntemo akiwaeleza waandishi wa habari kuhusu maendeleo yaliyofikwa katika ujenzi wa barabara hapa nchini tangu Serikali ya awamu ya nne ilipoingia madarakani . Kulia ni Afisa Habari wa Idara ya Habari Maelezo Frank Mvungi.
11 years ago
Mwananchi25 Dec
Gari la wagonjwa tatizo
5 years ago
BBCSwahili07 May
Virusi vya Corona: Kuganda kwa damu, tatizo linalowakumba wagonjwa wengi walio katika hali mahututi lazua hofu
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tUNFg79Qh_k/Xpwwif9yE9I/AAAAAAALnaY/f2gHzQQD4ckNVfwJu0R8X0VkYp3Ydy7cQCLcBGAsYHQ/s72-c/zanzibar%252Bpic.jpg)
5 years ago
BBCSwahili09 Apr
Coronavirus: Chumba cha wagonjwa mahututi ni nini na ni wagonjwa gani wanastahili kukitumia?
5 years ago
BBCSwahili24 May
Idadi ya wagonjwa wa corona nchini Kenya yafikia 1,214 baada ya kutangazwa wagonjwa wapya 22