GARI ZAGONGANA, ZASABABISHA FOLENI
Upande wa gari uliogongwa huku 'side morror' ikiwa imeondolewa Dereva wa gari iliyogongwa akimfuata dereva mwenye canter…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vasHxEOlkFk/UwTxTCXirBI/AAAAAAAFOEw/8YWgaJMVOyc/s72-c/1392825204664.jpg)
Gari la JWTZ na Bus la Mohamed zagongana karibu na mizani ya Dodoma jioni hii
![](http://2.bp.blogspot.com/-vasHxEOlkFk/UwTxTCXirBI/AAAAAAAFOEw/8YWgaJMVOyc/s1600/1392825204664.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-oJMYzMsTJrQ/UwTxTC_UcgI/AAAAAAAFOE0/bK5KFpcqbvs/s1600/1392825225665.jpg)
10 years ago
GPLGARI LAGONGANA NA BAJAJ, YASABABISHA FOLENI SINZA DAR
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-XWIZBcj1uU8/VCLQ4GbhNzI/AAAAAAAAOFs/RVkoOPyUqD8/s72-c/IMGA0011.jpg)
BODABODA MBILI ZAGONGANA IRINGA NA KUUA
![](http://4.bp.blogspot.com/-XWIZBcj1uU8/VCLQ4GbhNzI/AAAAAAAAOFs/RVkoOPyUqD8/s1600/IMGA0011.jpg)
10 years ago
BBCSwahili18 Apr
Ghasia zasababisha mauaji ya watu Libya
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hiOw4xekqhnvBTzd6cweyohdg0E**ECL4Lse0CoHlyPEfRgbLm3xYz8AShQkJ9zamsGPjq6t*07pAVj5XTP8XYe5RR8R5SKJ/1.jpg?width=650)
Yanga, Azam zagongana kwa Amissi Tambwe
11 years ago
Habarileo05 Feb
Vurugu Shule ya St Anne zasababisha hasara mil 140/-
VURUGU zilizofanywa juzi katika Shule ya Msingi na Sekondari ya St Anne Marie Academy, jijini Dar es Salaam, zimesababisha hasara ya Sh milioni 140 kutokana na mali zilizoharibiwa.
10 years ago
Dewji Blog05 May
Mvua za masika Zanzibar zasababisha vifo na uharibifu wa miundo mbinu
Pichani juu na chini ni baadhi ya sehemu za Unguja zilizoathirika na mvua za masika zinazoendelea kunyesha visiwani humo.(Picha zote na Othman Maulid wa www.zanzinews.com)
Na Abdulla Ali-Maelezo Zanzibar
Mvua za masika zinazoendelea kunyesha Visiwani Zanzibar zimesababisha hasara kubwa ikiwemo upotevu mali na mifugo, uharibifu wa miundombinu pamoja na kusababisha vifo vya watu.
Hayo yamweelezwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais...
10 years ago
Bongo Movies01 Oct
Gari Aina la BMW Alilopewa Kama Zawadi na Maneja Wake Martin Kadinda Lazua Maneno. Watu wahoji uwezo wa meneja wake huyo kumnunulia gari hilo huku ye akiendesha gari ''isiyoeleweka''.
Achana na lile gari aina ya Nissan Murano alilozawadiwa na mwandani wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, gari lingine aina ya BMW 545i aliloletewa Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ kwenye pati ya ‘bethidei’ yake ni utata mtupu na maswali kibao
NYUMBANI KWA MADAM
Pati hiyo ambayo iliandika historia katika ulimwengu maridhawa wa mastaa iliangushwa nyumbani kwa mwanadada huyo, Mtaa wa Bwawani, Kijitonyama jijini Dar, wikiendi iliyopita ambapo alitimiza umri wa miaka 26.
Katika shughuli...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XYSxNlc18Go/VUdwNeziqzI/AAAAAAAHVOQ/L0WqEbDoGig/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
News alert:mvua za masika zasababisha maafa, uharibifu wa nyumba na miundombinu leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-XYSxNlc18Go/VUdwNeziqzI/AAAAAAAHVOQ/L0WqEbDoGig/s1600/unnamed%2B(2).jpg)