BODABODA MBILI ZAGONGANA IRINGA NA KUUA
Dotto Ndanga mwenye miaka 31 mkazi wa eneo la Mkwawa Manispaa ya Iringa Mkoani Iringa amefariki baada ya kugongana na dereva mwenzake akiwa anaendesha pikipiki yenye namba za usajili T:349 CCW aina ya SKYMARK RACER.Aidha amesema marehemu amefariki wakati akitokea chuo kikuu cha Mkwawa kuelekea maeneo ya Iringa mjini ambapo alikuwa akijaribu kuipita pikipiki nyingine iliyokuwa mbele yake iliyokuwa ikiendeshwa na Joyce Kiwale ambaye amekimbia baada ya kuitokea kwa tukio hilo chanzo kikiwa ni...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLWAKAZI 6 WA MKOA WA IRINGA WATIMKA NA BODABODA ZA VODACOM IRINGA
9 years ago
StarTV28 Nov
Ofisi za Waziri Mkuu, Mkuu wa Mkoa zagongana kuhusu baa la njaa isimani iringa
Siku chache baada ya Star Tv kuripoti taarifa ya baa la njaa linalotishia maisha ya watu karibu ya 70,000 wa tarafa ya Isimani mkoani Iringa, ofisi mbili za Serikali zimegongana juu ya jambo hilo.
Wakati Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa imekilaumu kitengo cha Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu kwa kutotoa ushirikiano wa kutosha hadi watu kufikia hatua ya kula matunda pori kama chakula chao kikuu, kitengo hicho kimekanusha madai hayo kwa maelezo kuwa kuna utaratibu wa kutoa chakula cha msaada na...
10 years ago
GPLTASWIRA ZA AJALI YA COASTER ILIYOGONGANA NA LORI NA KUUA WATU 23 IRINGA
11 years ago
GPLUGOMVI WA KIMAPENZI WAPELEKEA MUME KUUA MTOTO WA KAMBO IRINGA
10 years ago
GPLGARI ZAGONGANA, ZASABABISHA FOLENI
11 years ago
GPLYanga, Azam zagongana kwa Amissi Tambwe
11 years ago
Michuzi20 Apr
ASKOFU KKKT IRINGA DKT MDEGELA ATAKA'UKAWA' WASIRUHUSIWE KUENEZA CHUKI NCHINI, AWATAKA WAREJEE BUNGENI AMA WAFUNGASHE VIRAGO WARUDI NYUMBANI ASEMA SERIKALI NI MBILI PEKEE
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA Na Francis Godwin, Iringa
ASKOFU mkuu wa Kanisa la Kilutheri (KKT) dayosisi ya Iringa Dkt. OwdenburgMdegela ameitumia ibada ya Jumapili ya Pasaka leo kulaani vikali wale wote wanaowatukana...
11 years ago
MichuziGari la JWTZ na Bus la Mohamed zagongana karibu na mizani ya Dodoma jioni hii
10 years ago
MichuziJAMBO LEO YAICHABANGA BODABODA FC TAMASHA LA BODABODA UKONGA