Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Gari la JWTZ na Bus la Mohamed zagongana karibu na mizani ya Dodoma jioni hii

 Wananchi wakijaribu kumtoa dereva wa gari la JWTZ baada ya ajali na basi la Mohamed Trans jioni hii karibu na mizani ya Dodoma. Chini ni gari hilo la jeshi baada ya ajali. Picha kwa hisani ya JF

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MZINGA: GARI YA SERIKALI YA YAPARAMIA UKUTA JIONI HII

 Gari ya Serikali aina ya Toyota Land Cruser yenye namba za Usajili STK 7278, ikiwa imeparamia ukuta wa Shule ya msingi Al Muntazir iliyopo kwenye makutano ya barabara ya Sea View na Barack Obama Drive,jijini Dar es salaam,mara baada ya dereva wake (jina kapuni) kushindwa kulimudu gari hilo pale alipochomekewa na gari nyingine ambayo iliingia mitini.ajali hii imetokea jioni ya leo,wakati gari hili likiwa linatokea mjini kuelekea Palm Beach.hakuna aliejeruhiwa katika ajali hii.Wafanyakazi wa...

 

10 years ago

Vijimambo

Karibu Ibada ya Kiswahili Jumapili hii Aprili 05, 2015 Kuanzia saa kumi kamili jioni

***   ***   *** ***   ***   *** Tembelea tovuti yetu www.iykcolumbus.orgKaribu Ubarikiwe na NENO la Siku kwenye ukurasa wetu wa Facebook (FB) Ibada ya Kiswahili-Columbus, Ohio

 

10 years ago

Michuzi

UPDATES KUTOKA DODOMA: RAIS KIKWETE AFUNGA MKUTANO MKUU WA CCM MJINI DODOMA LEO, KUMTAMBULISHA MAGUFULI UWANJA WA JAMHURI JIONI HII

 Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama, wakati wa kuufunga Mkutano huo jioni hii kwenye Ukumbi wa Mikutano wa CCM (Dodoma Convition Centre), uliopo Mjini Dodoma. CCM wanafanya mkutano mkubwa wa kumtambulisha Mgombea wao jioni hii kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma.Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwatambulisha Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dkt. John Pombe...

 

10 years ago

GPL

GARI ZAGONGANA, ZASABABISHA FOLENI

Upande wa gari uliogongwa huku 'side morror' ikiwa imeondolewa Dereva wa gari iliyogongwa akimfuata dereva mwenye canter…

 

11 years ago

Michuzi

Rais kikwete katika Tamasha la Uzalendo jioni hii mjini Dodoma

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete,Waziri Mkuu Mizengo Pinda wakiwa katika picha ya pamoja na wasanii mbalimbali wakati wa Tamasha la Uzalendo na uzinduzi wa Video ya Wimbo Maalum wa Mika 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar zinazoendelea hivi sasa katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma jioni hii. Picha na Freddy Maro Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwasalimia baadhi ya wasanii walioshiriki katika tamasha la Uzalendi na uzinduzi wa Video ya wimbo Maalum wa Miaka 50 ya Muungano wa...

 

10 years ago

Michuzi

NEWS UPDATES KUTOKA DODOMA JIONI HII;NI DKT ASHA ROSE MIGIRO,BALOZI AMINA SALUM ALI NA DKT JOHN POMBE MAGUFULI

 Balozi Amina Salum Ali Dkt John Pombe MagufuliDkt Asha Rose Migiro.
Pichani ni majina matatu ya wagombea kiti cha Urais kwa chama cha CCM,yaliyopitishwa jioni ya leo na Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM,ambapo kati ya hayo majina matatu kupitia Mkutano Mkuu wa CCM unaotarajiwa kufanyika usiku huu utaibua jina la mtu mmoja tu ambaye  atatambulika kuwa ndiye mgombea kiti cha Urais kupitia chama hicho cha CCM

 

10 years ago

Mwananchi

Gari maalumu la JWTZ laparamia nyumba, laua

Watu wawili wamefariki dunia papohapo na wengine saba kujeruhiwa baada ya gari la Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), maalumu kwa ajili ya kubeba askari, kuacha njia na kugonga nyumba mbili za raia katika Kijiji cha Mnolela Manispaa ya Lindi.

 

9 years ago

Dewji Blog

Mwanajeshi wa JWTZ Zanzibar anusurika kifo katika ajali ya gari kijiji cha Kibele, Zanzibar

DSC05130

Gari hilo kama linavyoonekana baada ya ajali hiyo

Na Mwandishi Wetu.

[Unguja-ZANZIBAR] Mwanajeshi wa  Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (TPDF) imeelezwa kuwa amenusurika katika ajali ya gari iliyotokea mchana  wa leo Novemba Mosi, eneo la kijiji  cha Kibele, Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja kwa kile kilichoelezwa kuwa ni mwendo kasi wa gari hiyo.

Kwa mujibu wa shuhuda wa taarifa ya tukio hilo: “ Ajali imetokea mchana huu kwenye saa 8.10 ambayo imemhusisha askari wa Jeshi la Ulinzi...

 

10 years ago

AllAfrica.Com

10 Killed, 47 Injured as Bus Hits Tree Near Dodoma


10 Killed, 47 Injured as Bus Hits Tree Near Dodoma
AllAfrica.com
Ten people who were travelling in a 'Simiyu Express' bus died on the spot as 47 others were seriously injured after the left front tyre burst, sending the vehicle crashing into a tree before overturning along the Dodoma-Morogoro Highway at Kilomo in ...
Ten killed and 55 injured in road accident near Tanzanian capitalCoastweek

all 3

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani