‘Abiria chanzo cha ajali za mabasi’
Kamati ya watu 14 iliyoundwa na Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe kufuatilia chanzo cha ongezeko la ajali za mabasi, imebaini kuwa abiria wanashawishi madereva kuendesha mabasi kwa kasi na hivyo kuwa sehemu ya sababu za kuongezeka kwa ajali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Sm7dN8o1sRU/VBlN085W7oI/AAAAAAAAGMQ/vbPxcKN-8vk/s72-c/ubungooo.jpg)
DerevaMakini: Tujadili namna ya kupunguza ajali za mabasi ya abiria (I)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Sm7dN8o1sRU/VBlN085W7oI/AAAAAAAAGMQ/vbPxcKN-8vk/s1600/ubungooo.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QQQMz9AGD0I/VGyMi8SFw5I/AAAAAAAAGZA/kloQFohNGyg/s72-c/dereva%2Bmakini.jpg)
#DerevaMakini: Wajibu wa taasisi, makampuni katika kupunguza ajali za mabasi ya abiria (1)
![](http://3.bp.blogspot.com/-QQQMz9AGD0I/VGyMi8SFw5I/AAAAAAAAGZA/kloQFohNGyg/s1600/dereva%2Bmakini.jpg)
Katika makala ya awali nilitaja orodha ndefu ya wadau wanaohusika moja kwa moja kwenye sekta ya usafiri ambao wakitekeleza sawasawa majukumu yao ajali zinaweza kupungua kama sio kukoma kabisa. Hivyo leo...
11 years ago
Mwananchi14 Dec
Majeruhi asimulia chanzo cha ajali
9 years ago
Habarileo10 Oct
Umbumbumbu watajwa chanzo cha ajali
KUKOSEKANA kwa uelewa juu ya hatari na madhara yanayoweza kusababishwa na kemikali kumetajwa kuwa ni chanzo kikubwa cha ajali mbalimbali hapa nchini.
10 years ago
Tanzania Daima26 Sep
Kandoro: Mawakala chanzo cha ajali
MKUU wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro, amsema siri ya kukithiri kwa ajali za barabarani ni kutokana na mawakala wanaokatisha tiketi katika vituo vya mabasi kutoa motisha ya fedha kwa...
9 years ago
BBCSwahili03 Nov
Utata chanzo cha ajali ya ndege Misri
11 years ago
Habarileo23 Dec
DC: Waendesha bodaboda chanzo cha ajali nyingi
MKUU wa Wilaya ya Masasi anayeshikilia pia Wilaya ya Nanyumbu Farida Mgomi amesema kuwa ajali nyingi za barabarani zinasababishwa na madereva pikipiki (bodaboda) kutokana na kutojua, kutotii na kutofuata sheria za usalama barabarani.
11 years ago
GPLCHANZO CHA AJALI YA SALUM MKAMBALA CHATAJWA
10 years ago
MichuziChama Cha Kutetea Abiria (CHAKUA) YAITAKA SUMATRA KUSHUSHA NAULI KWA DALADALA NA MABASI YA MIKOANI
Na Chalila Kibuda.
Chama Cha Kutetea Abiria (Chakua) kimesema kuwa kutokana na bei ya mafuta kushuka nchini nauli ya daladala na nauli ya mabasi mikoani inatakiwa kushuka kwa asilimia...