#DerevaMakini: Wajibu wa taasisi, makampuni katika kupunguza ajali za mabasi ya abiria (1)

Nawasalimu nyote kwa jina la uzalendo na utaifa uliotukuka, leo katika mwendelezo wa kampeni ya #DerevaMakini ambayo inalenga kuishirikisha jamii katika kukabiliana na ajali ambazo zimekuwa mwiba kwa taifa, nitaangazia wajibu wa taasisi, makampuni na watu binafsi katika kupunguza ajali hizo.
Katika makala ya awali nilitaja orodha ndefu ya wadau wanaohusika moja kwa moja kwenye sekta ya usafiri ambao wakitekeleza sawasawa majukumu yao ajali zinaweza kupungua kama sio kukoma kabisa. Hivyo leo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
DerevaMakini: Tujadili namna ya kupunguza ajali za mabasi ya abiria (I)

11 years ago
Mwananchi06 Oct
‘Abiria chanzo cha ajali za mabasi’
10 years ago
GPLYALIYOJIRI LEO KATIKA MGOMO WA MADEREVA WA MABASI YA ABIRIA DAR
11 years ago
Michuzi
MWAKILISHI WA TANZANIA KATIKA UMOJA WA MATAIFA AOMBOLEZA VIFO VYA ABIRIA KATIKA AJALI YA NDEGE YA MALAYSIA
11 years ago
GPL
MWAKILISHI WA TANZANIA KATIKA UMOJA WA MATAIFA AOMBOLEZA VIFO VYA ABIRIA KATIKA AJALI YA NDEGE YA MALAYSIA
10 years ago
GPL
ABIRIA 50 WANUSURIKA KIFO KATIKA AJALI MLIMA NYOKA, MBEYA
9 years ago
MichuziJESHI LA POLISI LAANZA KUTOA ELIMU KWA ABIRIA NA MADEREVA ILI KUKABILIANA NA AJALI KATIKA KIPINDI CHA MWISHO WA MWAKA
10 years ago
Michuzi
NEWS ALERT: WATU ZAIDI YA 30 WAPOTEZA MAISHA KATIKA AJALI MBAYA ILIYOTOKEA MAFINGA, IRINGA, LEO BAADA YA BASI LA ABIRIA KUANGUKIWA NA KONTENA


11 years ago
Mwananchi01 Apr
Sasa tuseme ajali za mabasi zimetosha ajali hizi basi