Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DerevaMakini: Tujadili namna ya kupunguza ajali za mabasi ya abiria (I)

Na Dotto Kahindi.Nianze kwa kuwasalimu na kutoa shukran zangu kwa Blogu hii kwa kunipa nafasi ya kuwasilisha hoja yangu ambayo inalenga kuishirikisha jamii katika kupata suluhisho la ajali za barabarani ambazo zimekuwa ni janga kubwa la kitaifa.Mara kadhaa niliwahi kusikia takwimu za vifo vinavyotokana na magonjwa mbalimbali yakiwemo UKIMWI, Malaria, Vifo vya mama wajawazito n.k, na vifo hivi vilitia uchungu sana kwa jamii kiasi kampeni kadhaa zilianzishwa ili kupunguza vifo hivyo au...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

#DerevaMakini: Wajibu wa taasisi, makampuni katika kupunguza ajali za mabasi ya abiria (1)

Nawasalimu nyote kwa jina la uzalendo na utaifa uliotukuka, leo katika mwendelezo wa kampeni ya #DerevaMakini ambayo inalenga kuishirikisha jamii katika kukabiliana na ajali ambazo zimekuwa mwiba kwa taifa, nitaangazia wajibu wa taasisi, makampuni na watu binafsi katika kupunguza ajali hizo.
Katika makala ya awali nilitaja orodha ndefu ya wadau wanaohusika moja kwa moja kwenye sekta ya usafiri ambao wakitekeleza sawasawa majukumu yao ajali zinaweza kupungua kama sio kukoma kabisa. Hivyo leo...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Abiria chanzo cha ajali za mabasi’

Kamati ya watu 14 iliyoundwa na Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe kufuatilia chanzo cha ongezeko la ajali za mabasi, imebaini kuwa abiria wanashawishi madereva kuendesha mabasi kwa kasi na hivyo kuwa sehemu ya sababu za kuongezeka kwa ajali.

 

11 years ago

Mwananchi

Sasa tuseme ajali za mabasi zimetosha ajali hizi basi

Kwa mara nyingine, nchi yetu imepata janga jingine kubwa baada ya ajali mbili kutokea katika mikoa ya Pwani na Kilimanjaro mwishoni mwa wiki iliyopita na kusababisha vifo kwa watu zaidi ya 30.

 

10 years ago

Mwananchi

Namna ya kupunguza sumu kuvu hatari katika vyakula

Sumu kuvu au kwa kitaalamu mycotoxin ni aina ya kemikali za sumu inayozalishwa na fangasi wanaoota kwenye baadhi ya mazao ya chakula, hususan nafaka kama vile mahindi na mbegu za mafuta kama karanga.

 

9 years ago

Mwananchi

Mabasi yatelekeza abiria UBT

Baadhi ya abiria wamejikuta wakitelekezwa katika Kituo cha Mabasi cha Ubungo (UBT) jijini Dar es Salaam kutokana na uhaba wa abiria.

 

10 years ago

Michuzi

Scania yakutanisha wadau wa mabasi ya Abiria

KAMPUNI ya Scania nchini Tanzania imekutanisha wadau mbalimbali wakiwemo wafanya biashara wa mabasi ya abiria pamoja na wafanya biashaya ya kutengeneza mabodi ya mabasi ya abiri kutoka makampuni mbalimbali wakati wa maonyesho ya Kimataifa ya Chesisi za Scania yaliyoandaliwa na Kampuni ya Scania yaliyojulikana kama “ Scania Bus Expo” yaliyo fanyika mwishoni mwa wiki katika kituo cha mabasi yaendayo mikoani cha Ubungo jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na waandishi wa habari Meneja...

 

11 years ago

Habarileo

Mashine za EFDs ‘kung’ata’ mabasi ya abiria

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) ipo katika mchakato wa kuanzisha mfumo wa mashine za kieletroniki (EFD) katika utoaji wa risiti kwenye mabasi ya abiria, kasino na magari ya mizigo. Pamoja na kuelezea utanuzi wa wigo wa matumizi, pia imesema itapambana na wafanyabiashara wote watakaokataa kutumia mashine hizo kwa lengo la ‘kukwepa kodi’.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Mabasi mradi wa DART kubeba abiria 150


NA RABIA BAKARI
MABASI yanayopendekezwa kutumika kwenye usafiri wa Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka jijini Dar es Salaam,  ni yale yenye uwezo wa kubeba abiria zaidi ya 150 kwa pamoja.
Hata hivyo, imeelezwa kuwa Watanzania wengi hawana uwezo wa kumudu kununua magari hayo kwa mtu mmoja mmoja, na kwamba kama wana nia ya kuingia katika biashara hiyo, hawana budi kuungana au kushirikiana na wadau wengine wa usafirishaji.
Kauli hiyo ilitolewa na serikali jana, wakati wa mkutano na wadau kutoka nchi...

 

5 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA KUUNDA MABASI YA ABIRIA YAANZISHWA KIBAHA



Muonekano wa moja ya mabasi yaliyoundwa na Kampuni ya BM Motors iliyopo Kibaha mkoani Pwani kama linavyoonekana likiwa tayari kuanza kutumika .

………………………………………………………………………………………………………….

Na Mwandishi Wetu

Kampuni ya BM Motors iliyopo Kibaha mkoani Pwani, imeingia kwenye orodha ya kampuni zinazounda na kutengeneza mabasi ya abiria hapa nchini.

Mkurugenzi wa Kampuni hiyo Bw. Jonas Nyagawa amesema, karakana hiyo iliyojengwa eneo la Zegereni katika Halmashauri ya Mji wa Kibaha mkoani Pwani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani