Mabasi yatelekeza abiria UBT
Baadhi ya abiria wamejikuta wakitelekezwa katika Kituo cha Mabasi cha Ubungo (UBT) jijini Dar es Salaam kutokana na uhaba wa abiria.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima24 Apr
Uchafu UBT wahatarisha afya za abiria
BAADHI ya abiria wanaotumia Kituo Kikuu cha Mabasi Ubungo (UBT), wamesema afya zao ziko hatarini kwa kupatwa na magonjwa ya mlipuko kutokana na kusambaa kinyesi kituoni hapo. Wakizungumza kwa nyakati...
10 years ago
Michuzi
Scania yakutanisha wadau wa mabasi ya Abiria
Akizungumza na waandishi wa habari Meneja...
11 years ago
Mwananchi06 Oct
‘Abiria chanzo cha ajali za mabasi’
9 years ago
Mwananchi03 Jan
Mafuriko yasomba reli, abiria watumia mabasi
11 years ago
Habarileo23 Feb
Mashine za EFDs ‘kung’ata’ mabasi ya abiria
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) ipo katika mchakato wa kuanzisha mfumo wa mashine za kieletroniki (EFD) katika utoaji wa risiti kwenye mabasi ya abiria, kasino na magari ya mizigo. Pamoja na kuelezea utanuzi wa wigo wa matumizi, pia imesema itapambana na wafanyabiashara wote watakaokataa kutumia mashine hizo kwa lengo la ‘kukwepa kodi’.
11 years ago
Uhuru Newspaper10 Jun
Mabasi mradi wa DART kubeba abiria 150
NA RABIA BAKARI
MABASI yanayopendekezwa kutumika kwenye usafiri wa Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka jijini Dar es Salaam, ni yale yenye uwezo wa kubeba abiria zaidi ya 150 kwa pamoja.
Hata hivyo, imeelezwa kuwa Watanzania wengi hawana uwezo wa kumudu kununua magari hayo kwa mtu mmoja mmoja, na kwamba kama wana nia ya kuingia katika biashara hiyo, hawana budi kuungana au kushirikiana na wadau wengine wa usafirishaji.
Kauli hiyo ilitolewa na serikali jana, wakati wa mkutano na wadau kutoka nchi...
5 years ago
Michuzi
KAMPUNI YA KUUNDA MABASI YA ABIRIA YAANZISHWA KIBAHA



Muonekano wa moja ya mabasi yaliyoundwa na Kampuni ya BM Motors iliyopo Kibaha mkoani Pwani kama linavyoonekana likiwa tayari kuanza kutumika .
………………………………………………………………………………………………………….
Na Mwandishi Wetu
Kampuni ya BM Motors iliyopo Kibaha mkoani Pwani, imeingia kwenye orodha ya kampuni zinazounda na kutengeneza mabasi ya abiria hapa nchini.
Mkurugenzi wa Kampuni hiyo Bw. Jonas Nyagawa amesema, karakana hiyo iliyojengwa eneo la Zegereni katika Halmashauri ya Mji wa Kibaha mkoani Pwani...
11 years ago
Michuzi
DerevaMakini: Tujadili namna ya kupunguza ajali za mabasi ya abiria (I)
