Uchafu UBT wahatarisha afya za abiria
BAADHI ya abiria wanaotumia Kituo Kikuu cha Mabasi Ubungo (UBT), wamesema afya zao ziko hatarini kwa kupatwa na magonjwa ya mlipuko kutokana na kusambaa kinyesi kituoni hapo. Wakizungumza kwa nyakati...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi01 Jan
Mabasi yatelekeza abiria UBT
Baadhi ya abiria wamejikuta wakitelekezwa katika Kituo cha Mabasi cha Ubungo (UBT) jijini Dar es Salaam kutokana na uhaba wa abiria.
9 years ago
Mwananchi10 Dec
Ofisa afya mbaroni kwa uchafu
Mkuu wa Wilaya ya Musoma, Zelothe Stephen ameamuru kutiwa mbaroni Ofisa Afya wa Kata ya Mkendo, Desideri Rwegoshora kwa kushindwa kusimamia usafi katika maeneo ya kata yake.
11 years ago
Mwananchi06 Feb
Uongo wahatarisha biashara Dodoma
Soko lililokuwa likitegemewa sana na wakulima wa Dodoma, la mbegu na mafuta katika nchi za India na China limeingia dosari baada ya baadhi ya wafanyabiashara na wasindikaji wa mafuta nchini kuchanganya michanga katika bidhaa hizo.
11 years ago
Mwananchi24 Dec
Usafiri wa Krismasi majanga UBT
>Mamia ya abiria, wamekwama kusafiri katika Kituo Kikuu cha Mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani cha Ubungo jijini Dar es Salaam kutokana na upungufu wa mabasi.
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Mamia ya wasafiri watapeliwa UBT
Abiria wanaosafiri kwa mabasi kwenda mikoani na nchi jirani kupitia Kituo Kikuu cha Mabasi Ubungo (UBT), wanaendelea kutapeliwa na wapiga debe na wakatisha tiketi maarufu kama mawakala.
10 years ago
Habarileo18 Dec
UBT yaanza kuchemka safari za mikoani
KUELEKEA Sikukuu ya Krismasi na Mwaka Mpya, huduma ya usafiri wa mabasi katika Kituo Kikuu cha Mabasi cha Ubungo imeanza kuwa ngumu kutokana na mabasi kwenda katika baadhi ya mikoa mbalimbali kujaa na hivyo kuanza kuleta usumbufu miongoni mwa wasafiri.
10 years ago
VijimamboDEREVA WA BASI LA SHABIBY AWEKWA KITI MOTO NA ABIRIA BAADA YA BASI HILO KUHARIBIKA NA YEYE KUWAKIMBIA ABIRIA
Leo hii asubuhi nikitokea Singida kwenda Dar kwa basi la Shabiby Line, lenye nambari za usajili T607 CVL iliondoka stendi ya Misuna Singida mnaomo saa 12.48(moja kasoro 12) za asubuhi. Safari ilikuwa nzuri mpaka gari ilipofika nje kidogo ya Manyoni kuelekea Dodoma mnamo saa 2.30 kwa muda wa sekunde chache mpaka dkk moja hivi ulisikika mlio usio wa kawaida ingawa dereva wa gari hilo aliendelea...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qEMni6Z3hBE/VOUKOCZFJMI/AAAAAAAHEbQ/DsI15vPWE7c/s72-c/DSC07352.jpg)
ABIRIA WA TRENI MKOANI DODOMA KUTUMIKA KITUO KIDOGO CHA KATOSHO BADALA YA STESHENI YA TRENI YA KIGOMA KWA TRENI ZA ABIRIA KUANZIA FEBRUARI 18, 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-qEMni6Z3hBE/VOUKOCZFJMI/AAAAAAAHEbQ/DsI15vPWE7c/s1600/DSC07352.jpg)
Kwa mujibu wa wa taarifa ya Uongozi wa TRL lilitolewa Februari 16, 2015 uamuzi wa treni kutofika katika stesheni ya Kigoma unatokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha mjini Kigoma na hivyo kuzoa mchanga ambao umefunika tuta la reli katika eneo la stesheni ya Kigoma.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo abiria wote...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania