Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Usafiri wa Krismasi majanga UBT

>Mamia ya abiria, wamekwama kusafiri katika Kituo Kikuu cha Mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani cha Ubungo  jijini  Dar es Salaam kutokana na upungufu wa mabasi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mamia ya wasafiri watapeliwa UBT

Abiria wanaosafiri kwa mabasi kwenda mikoani na nchi jirani kupitia Kituo Kikuu cha Mabasi Ubungo (UBT), wanaendelea kutapeliwa na wapiga debe na wakatisha tiketi maarufu kama mawakala.

 

9 years ago

Mwananchi

Mabasi yatelekeza abiria UBT

Baadhi ya abiria wamejikuta wakitelekezwa katika Kituo cha Mabasi cha Ubungo (UBT) jijini Dar es Salaam kutokana na uhaba wa abiria.

 

10 years ago

Habarileo

UBT yaanza kuchemka safari za mikoani

KUELEKEA Sikukuu ya Krismasi na Mwaka Mpya, huduma ya usafiri wa mabasi katika Kituo Kikuu cha Mabasi cha Ubungo imeanza kuwa ngumu kutokana na mabasi kwenda katika baadhi ya mikoa mbalimbali kujaa na hivyo kuanza kuleta usumbufu miongoni mwa wasafiri.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uchafu UBT wahatarisha afya za abiria

BAADHI ya abiria wanaotumia Kituo Kikuu cha Mabasi Ubungo (UBT), wamesema afya zao ziko hatarini kwa kupatwa na magonjwa ya mlipuko kutokana na kusambaa kinyesi kituoni hapo. Wakizungumza kwa nyakati...

 

10 years ago

Michuzi

MAMLAKA YA USAFIRI WA ANGA YA DHAMINI KONGAMANO LA MAFUNZO YA MFUMO MPYA WA SHIRIKA LA KIMATAIFA LA USAFIRI WA ANGA (ICAO)

Afisa wa Kanda ya Afrika wa ICAO Papa Issa Mbengue (kushoto)akisisitiza jambo juu ya mfumo mpya wa shirika la Kimataifa la usafiri wa Anga (ICAO) lenye kulenga ufanisi wa wataalamu wa kuongoza ndege ,vyombo vya usafiri wa anga pamoja na mitambo ya kuongonzea ndege wakati wa Kongamano la mafunzo ya ufanisi wa masuala ya uongozaji wa ndege linalofanyika kwa siku tatu katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam kwa udhamini wa Mamlaka ya usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) wanaomsikiliza ni ...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mamlaka ya usafiri wa anga yadhamini kongamano la mafunzo ya mfumo mpya wa shirika la kimataifa la usafiri wa anga — ICAO

05

Kaimu Mkurugenzi  Mkuu wa Mamlaka ya usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Charles Chacha(kushoto) akiongea wakati wa uzinduzi wa kongamano la mafunzo ya mfumo mpya wa shirika la Kimataifa la usafiri wa Anga (ICAO) lenye kulenga ufanisi wa wataalamu wa kuongoza ndege vyombo vya usafiri wa anga pamoja na mitambo ya kuongonzea ndege. katikati ni Meneja mratibu wa safari za ndege Afrika Frederic Legrand, Kongamano hilo linazihusisha nchi za Afrika linafanyika hapa nchini kwa  siku tatu kuanzia leo...

 

11 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA SHIRIKA LA USAFIRI WA ANGA DUNIANI (ICAO) ATEMBELEA OFISI ZA HUDUMA ZA HALI YA HEWA KWA USAFIRI WA ANGA NCHINI (TMA)

Katibu Mkuu wa ICAO Bw. Raymond Benjamin akipata maelezo mafupi kutoka kwa Kaimu Meneja Huduma za Hali ya Hewa kwa Usafiri wa Anga Bw. John Mayunga alipotembelea Kituo cha Hali ya Hewa kilichopo katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere. Katika ziara hiyo Bw Raymond alipendezewa na jinsi Mamlaka ilivyoboresha huduma kwa kutumia teknolojia ambapo wateja wanapata ‘flight Folders’ za taarifa za hali ya hewa kwa njia ya kielekronikali (Aviation Information System (AIS). Huduma hii...

 

11 years ago

GPL

MAJANGA!

Chande Abdallah na Deogratius Mongela MAJANGA! Timu ya Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers inayodili ya maeneo korofi kwa uovu, imewanasa vijana wa kike na kiume wakifanya vitendo vichafu vichochoroni, maeneo ya Mbagala-Zakheem, Dar. Vijana wa kike na wa kiume walionaswa wakifanya vitendo viovu uchochoroni.
Awali, OFM ilipokea malalamiko kutoka kwa wakazi wa maeneo hayo juu ya vijana hao kufanya ngono...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani