Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mamia ya wasafiri watapeliwa UBT

Abiria wanaosafiri kwa mabasi kwenda mikoani na nchi jirani kupitia Kituo Kikuu cha Mabasi Ubungo (UBT), wanaendelea kutapeliwa na wapiga debe na wakatisha tiketi maarufu kama mawakala.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wabunge watapeliwa

IKULU imewaonya wabunge wenye uchu wa kuwa mawaziri na mawaziri wanaotaka kubaki kwenye madaraka hayo wasikubali kurubuniwa na matapeli wanaojifanya maofisa Usalama wa Taifa ambao wanawataka kutoa fedha ili wasaidiwe...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watalii watapeliwa Kilimanjaro

WATALII   wanane  raia wa Australia waliokuwa nchini kwa ajili ya kupanda mlima Kilimanjaro na kutembelea vivutio vya utalii katika visiwa vya Zanzibar, wamejikuta katika wakati mgumu baada ya kutapeliwa zaidi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanachuo 115 watapeliwa

TAASISI ya Sayansi ya Afya ya Chuo Kikuu cha Eckernforde Tanga, inatuhumiwa kuwatapeli wanachuo zaidi ya 115 iliyowadahili na kukaa chuoni hapo miezi sita kisha kuwafukuza kwa madai kuwa hawana...

 

11 years ago

Mwananchi

Usafiri wa Krismasi majanga UBT

>Mamia ya abiria, wamekwama kusafiri katika Kituo Kikuu cha Mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani cha Ubungo  jijini  Dar es Salaam kutokana na upungufu wa mabasi.

 

9 years ago

Mwananchi

Mabasi yatelekeza abiria UBT

Baadhi ya abiria wamejikuta wakitelekezwa katika Kituo cha Mabasi cha Ubungo (UBT) jijini Dar es Salaam kutokana na uhaba wa abiria.

 

10 years ago

Habarileo

UBT yaanza kuchemka safari za mikoani

KUELEKEA Sikukuu ya Krismasi na Mwaka Mpya, huduma ya usafiri wa mabasi katika Kituo Kikuu cha Mabasi cha Ubungo imeanza kuwa ngumu kutokana na mabasi kwenda katika baadhi ya mikoa mbalimbali kujaa na hivyo kuanza kuleta usumbufu miongoni mwa wasafiri.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uchafu UBT wahatarisha afya za abiria

BAADHI ya abiria wanaotumia Kituo Kikuu cha Mabasi Ubungo (UBT), wamesema afya zao ziko hatarini kwa kupatwa na magonjwa ya mlipuko kutokana na kusambaa kinyesi kituoni hapo. Wakizungumza kwa nyakati...

 

10 years ago

StarTV

Wakazi kijiji cha Baga watapeliwa sh. mil. 2.5 na ‘Vishoka’ wa Tanesco.

Na Mbonea Herman,

Tanga.

 

Mtu mmoja aliyejiita kuwa mfanyakazi wa Shirika la Umeme nchini TANESCO amewatapeli wakazi wa kijiji cha Baga shilingi milioni 2.5 fedha alizokuwa akichangisha kwa ajili ya kuwaunganishia huduma ya umeme kijijini hapo.

 

Kutokana na hali hiyo TANESCO Mkoa wa Tanga limewatahadharisha wananchi kuwa makini na watu wanaojiita kuwa ni vishoka wa shirika hilo ambao dhamira yao kuu ni kuwatapeli wananchi.

 

Ilikuwa ni kazi kuzingoa nguzo zilizokuwa zimejengwa na watu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani