Wakazi kijiji cha Baga watapeliwa sh. mil. 2.5 na ‘Vishoka’ wa Tanesco.
Na Mbonea Herman,
Tanga.
Mtu mmoja aliyejiita kuwa mfanyakazi wa Shirika la Umeme nchini TANESCO amewatapeli wakazi wa kijiji cha Baga shilingi milioni 2.5 fedha alizokuwa akichangisha kwa ajili ya kuwaunganishia huduma ya umeme kijijini hapo.
Kutokana na hali hiyo TANESCO Mkoa wa Tanga limewatahadharisha wananchi kuwa makini na watu wanaojiita kuwa ni vishoka wa shirika hilo ambao dhamira yao kuu ni kuwatapeli wananchi.
Ilikuwa ni kazi kuzingoa nguzo zilizokuwa zimejengwa na watu...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo14 Apr
Tanesco yaonya kuhusu vishoka
SHIRIKA la Umeme (Tanesco) limewatahadharisha wananchi kuwa makini na matapeli, wanaochukua fedha zao kwa kuwadanganya kuwa watawafungia umeme kwa haraka.
9 years ago
StarTV24 Oct
Wakazi Kijiji cha Naiyobi Ngorongoro walalamika kero ya maji.
Wakazi wa Kijiji cha Naiyobi wilayani Ngorongoro mkoani Arusha wamelalamikia kero ya uhaba wa maji inayosababisha kukesha kwenye bomba la kijiji kwa takribani siku tatu wakisubiri huduma hiyo.
Wakizungumza na kituo hiki wananchi hao wamesema kwa muda mrefu wamekua wakiteseka kupata huduma za maji huku akinamama wakilazimika kukesha visimani na watoto wadogo wakisubiri maji.
Wanakijiji Daniel Sereki na Rehema Laizer wamekwenda mbali zaidi na kudai kushuhudia tukio la mama mjamzito katika eneo...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-DtxHYhbxtSs/U8-BXaNWQ0I/AAAAAAAArMg/nPTwNd3irpg/s72-c/01.jpg)
TBL YATOA MSAADA WA SH. MIL. 45 ZA KISIMA KIJIJI CHA KAMBI YA SIMBA KARATU
![](http://1.bp.blogspot.com/-DtxHYhbxtSs/U8-BXaNWQ0I/AAAAAAAArMg/nPTwNd3irpg/s1600/01.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-NgFK00ha_wU/U8-BfU1vqcI/AAAAAAAArMo/Emd91khCyJ0/s1600/TBL+2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fWtwftMPNnk/VALh1PqLTFI/AAAAAAACpiQ/apF5v_X9NUQ/s72-c/Tanesco_Logo.jpg)
SHIRIKA LA TANESCO LISIKIKILIZE KILIO CHA WAKAZI WA MWANAGATI-KITUNDA.!
![](http://1.bp.blogspot.com/-fWtwftMPNnk/VALh1PqLTFI/AAAAAAACpiQ/apF5v_X9NUQ/s1600/Tanesco_Logo.jpg)
Wakielezea kwa masikitiko makubwa juu ya tatizo hilo,Wananchi hao wamesema kuwa hawakupata taarifa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aGsIBoQ0cKm5lKF6dBzzP53TIvjUZvJ7Prq4qhOuCit2QLqps0f04NR3MjLMQBrMFRqbanTksOgFiJXsBy74p4oQ7zOckq0Z/TANESCO.jpg)
SHIRIKA LA TANESCO LISIKILIZE KILIO CHA WAKAZI WA MWANAGATI-KITUNDA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Ffqvx4jdF-o/VbEqWBptAxI/AAAAAAAHrVE/k9L98A2rH7s/s72-c/unnamed%2B%252823%2529.jpg)
Wakazi wa Kijiji cha Kingwang’oko Tabora wapatiwa huduma za mawasiliano na Airtel
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zEyhmkbPHaM/XmoZdBFg3CI/AAAAAAAEGOw/7-sg5JHvBIsTG_kF4sbZ39bDRlW541umQCLcBGAsYHQ/s72-c/jj.jpg)
MRADI WA UMEME JUA UNAVYOWAKOMBOA WAKAZI WA KIJIJI CHA MPALE WILAYANI KOROGWE
Wakizungumza na Michuzi Blog,wakazi hao wamesema awali iliwalazimu kutumia mafuta ya taa ambayo yaligharimu shilingi kwa siku, hali ambayo imekuwa ikiwarudisha nyuma kimaendeleo.
Aidha wamesema licha ya nishati hiyo kuwapunguzia gharama za maisha pia imekuwa chachu ya wao kujikwamua kiuchumi kama ilivyo kwa mzee...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FFonhEOLOzA/UzlvPCT_mHI/AAAAAAAFXio/IuJPsJeBvSo/s72-c/4.jpg)
WAKAZI WA KIJIJI CHA KABWE WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA WAFAIDIKA NA UVUVI WA SAMAKI ZIWA TANGANYIKA
![](http://2.bp.blogspot.com/-FFonhEOLOzA/UzlvPCT_mHI/AAAAAAAFXio/IuJPsJeBvSo/s1600/4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_vbR4vmlC5k/Uzlt2frBGZI/AAAAAAAFXiM/ncCPQClNXHc/s1600/1.jpg)
10 years ago
MichuziHatimaye wakazi wa kijiji cha Amani mkoani Tabora kuanzia usiku wa leo watalala bila kero ya kunguni!