MRADI WA UMEME JUA UNAVYOWAKOMBOA WAKAZI WA KIJIJI CHA MPALE WILAYANI KOROGWE
![](https://1.bp.blogspot.com/-zEyhmkbPHaM/XmoZdBFg3CI/AAAAAAAEGOw/7-sg5JHvBIsTG_kF4sbZ39bDRlW541umQCLcBGAsYHQ/s72-c/jj.jpg)
Gharama za maisha kwa wakazi wa kijiji cha Mpale, wilayani Korogwe mkoani Tanga, zimetajwa kupungua kutokana na uwepo wa umeme jua unaozalishwa na kusambazwaa na kampuni ya Ensol
Wakizungumza na Michuzi Blog,wakazi hao wamesema awali iliwalazimu kutumia mafuta ya taa ambayo yaligharimu shilingi kwa siku, hali ambayo imekuwa ikiwarudisha nyuma kimaendeleo.
Aidha wamesema licha ya nishati hiyo kuwapunguzia gharama za maisha pia imekuwa chachu ya wao kujikwamua kiuchumi kama ilivyo kwa mzee...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMwijage azindua mradi wa umeme uliobuniwa na wananchi kijiji cha Lilondo mkoani Ruvuma
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage amezindua mradi wa umeme wa kiasi cha kilowati 40 uliobuniwa na wananchi katika kijiji cha Lilondo, wilaya ya Songea Vijijini, mkoani Ruvuma ambapo jumla ya nyumba 100 zimeshafaidika kwa kuunganishwa na huduma ya umeme.
Akiwa ameambatana na mbunge wa Jimbo la Peramiho ambaye pia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera,Uratibu na Bunge, Jenista Mhagama, Naibu waziri Mwijage, alitembelea na kukagua mitambo pamoja na...
10 years ago
MichuziDKT. SHEIN AZINDUA MRADI WA UMEME KIJIJI CHA DONGONGWE KATI UNGUJA LEO
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FFonhEOLOzA/UzlvPCT_mHI/AAAAAAAFXio/IuJPsJeBvSo/s72-c/4.jpg)
WAKAZI WA KIJIJI CHA KABWE WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA WAFAIDIKA NA UVUVI WA SAMAKI ZIWA TANGANYIKA
![](http://2.bp.blogspot.com/-FFonhEOLOzA/UzlvPCT_mHI/AAAAAAAFXio/IuJPsJeBvSo/s1600/4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_vbR4vmlC5k/Uzlt2frBGZI/AAAAAAAFXiM/ncCPQClNXHc/s1600/1.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-v2I0MdBSy2c/Vf7an9_y0lI/AAAAAAAH6WI/BFzZCwDgi44/s72-c/unnamed%2B%252852%2529.jpg)
Dkt. Shein azindua Mradi wa Umeme kijiji cha Kisiwa Panza Wilaya ya Mkoani, Mkoa wa Kusini Pemba
![](http://4.bp.blogspot.com/-v2I0MdBSy2c/Vf7an9_y0lI/AAAAAAAH6WI/BFzZCwDgi44/s640/unnamed%2B%252852%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-BHUBUyXIoJs/Vf7an9JH7bI/AAAAAAAH6WM/njFM7l8wuNI/s640/unnamed%2B%252853%2529.jpg)
5 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI NISHATI AZINDUA MRADI WA UMEME JUA NANJIRINJI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-m8ESiJZkRzE/U-z6psGmzNI/AAAAAAAF_sc/A3c_YwbWXI4/s72-c/434.jpg)
Kamouni ya Huawei yaonesha nia kuwekeza mradi wa umeme jua zanzibar
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-eFIrhMWIYG0/VcNYDZLBwLI/AAAAAAAHung/V5EPHufSFfQ/s72-c/DSC_2679.jpg)
UFUNGUZI WA KITUO CHA UTENGENEZAJI VIFAA VYA UMEME WA JUA,KIBOKWA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-eFIrhMWIYG0/VcNYDZLBwLI/AAAAAAAHung/V5EPHufSFfQ/s640/DSC_2679.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Y8yk5sEocng/VcNYEWsAWcI/AAAAAAAHuno/YlbNigvZNPA/s640/DSC_2691.jpg)
9 years ago
Bongo523 Oct
Chuo kikuu cha Dodoma kuzalisha umeme wa megawati 55 kwa kutumia jua
10 years ago
Michuzi25 Sep
KATIBU MKUU WA CCM AKISHIRIKI KILIMO CHA UPANDAJI MPUNGA WILAYANI KOROGWE LEO.