Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanesco yaonya kuhusu vishoka

Makao Makuu ya Tanesco jijini Dar es SalaamSHIRIKA la Umeme (Tanesco) limewatahadharisha wananchi kuwa makini na matapeli, wanaochukua fedha zao kwa kuwadanganya kuwa watawafungia umeme kwa haraka.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

Wakazi kijiji cha Baga watapeliwa sh. mil. 2.5 na ‘Vishoka’ wa Tanesco.

Na Mbonea Herman,

Tanga.

 

Mtu mmoja aliyejiita kuwa mfanyakazi wa Shirika la Umeme nchini TANESCO amewatapeli wakazi wa kijiji cha Baga shilingi milioni 2.5 fedha alizokuwa akichangisha kwa ajili ya kuwaunganishia huduma ya umeme kijijini hapo.

 

Kutokana na hali hiyo TANESCO Mkoa wa Tanga limewatahadharisha wananchi kuwa makini na watu wanaojiita kuwa ni vishoka wa shirika hilo ambao dhamira yao kuu ni kuwatapeli wananchi.

 

Ilikuwa ni kazi kuzingoa nguzo zilizokuwa zimejengwa na watu...

 

11 years ago

BBCSwahili

WHO yaonya kuhusu wimbi la saratani

Shirika la Afya Duniani WHO limeonya kuhusu kuongezeka kwa visa vya maambukizi ya maradhi ya saratani kote duniani

 

9 years ago

BBCSwahili

Ubelgiji yaonya kuhusu Shambulio

Ubelgiji imeimarisha hali yake ya tahadhari katika eneo la mji mkuu wa Brussels, ikionya kuwa kuna uwezekano mkubwa wa mashambulizi.

 

11 years ago

BBCSwahili

EU yaonya kuhusu ufisadi Ulaya

Kamishna wa bara ulaya anayesimamia maswala ya ndani ya bara hilo ameonya kuhusu viwango vikuu vya ufisadi miongoni mwa nchi wanachama wa bara hilo.

 

11 years ago

BBCSwahili

UN yaonya kuhusu mapigano Darfur

Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban-Ki-moon, ameelezea wasiwasi kuhusu kuzuka upya kwa vita katika jimbo la Darfur nchini Sudan.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yaonya Urusi kuhusu vikwazo

Waziri wa mambo ya nje wa Marekani John Kerry ameitaka Urusi kupunguza ukali wa matamshi yake la sivyo iwekewe vikwazo zaidi.

 

9 years ago

BBCSwahili

UNHCR yaonya kuhusu ongezeko la wakimbizi

UNHCR imesema idadi ya wakimbizi wanaolazimishwa kuondoka makwao kwa sababu ya vita imeongezeka sana mwaka huu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Serikali ya Tanzania yaonya kuhusu ugaidi

Serikali ya Tanzania imesema kuwa itazichukulia hatua kali taasisi ama kikundi chochote kitakachogundulika kujihusisha na kutoa mafunzo ya vitendo vinavyoashiria ugaidi

 

9 years ago

BBCSwahili

Marekani yaonya kuhusu mashambulio ya Urusi

Muungano unaoongozwa na Marekani kukabiliana na wapiganaji wa IS umesema mashambulio ya Urusi nchini Syria yanadhuru wanaompinga Assad.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani