Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ubelgiji yaonya kuhusu Shambulio

Ubelgiji imeimarisha hali yake ya tahadhari katika eneo la mji mkuu wa Brussels, ikionya kuwa kuna uwezekano mkubwa wa mashambulizi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Ufaransa yaonya kuhusu shambulio la sumu

Waziri mkuu wa Ufaransa Manuel Valls ameonya kuwa Ufaransa huenda ikakabiliwa na shambulio la kemikali za sumu kutoka kwa makundi ya kigaidi

 

9 years ago

BBCSwahili

Ubelgiji yanasa ‘waliopanga’ shambulio Mwaka Mpya

Polisi nchini Ubelgiji wamewakamata watu wawili wanaotuhumiwa kupanga mashambulio mkesha wa siku ya Mwaka Mpya mjini Brussels.

 

11 years ago

BBCSwahili

UN yaonya kuhusu mapigano Darfur

Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban-Ki-moon, ameelezea wasiwasi kuhusu kuzuka upya kwa vita katika jimbo la Darfur nchini Sudan.

 

11 years ago

Habarileo

Tanesco yaonya kuhusu vishoka

Makao Makuu ya Tanesco jijini Dar es SalaamSHIRIKA la Umeme (Tanesco) limewatahadharisha wananchi kuwa makini na matapeli, wanaochukua fedha zao kwa kuwadanganya kuwa watawafungia umeme kwa haraka.

 

11 years ago

BBCSwahili

WHO yaonya kuhusu wimbi la saratani

Shirika la Afya Duniani WHO limeonya kuhusu kuongezeka kwa visa vya maambukizi ya maradhi ya saratani kote duniani

 

11 years ago

BBCSwahili

EU yaonya kuhusu ufisadi Ulaya

Kamishna wa bara ulaya anayesimamia maswala ya ndani ya bara hilo ameonya kuhusu viwango vikuu vya ufisadi miongoni mwa nchi wanachama wa bara hilo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwathiriwa wa Westgate kuhusu shambulio Paris

Dorcas Mumbua ni mmoja wa walionusurika shambulio la kigaidi katika jumba la kibiashara la Westgate jijini Nairobi Septemba 21, 2013. Alichukuliaje mashambulio mjini Paris?

 

10 years ago

Habarileo

TCRA yaonya kuhusu mitandao ya bure

MAMLAKA ya Mawasilino Tanzania(TCRA), imehadharisha juu ya matumizi ya mitandao ya bure ‘WiFi’ katika maeneo ya halaiki kufanya miamala ya fedha.

 

9 years ago

BBCSwahili

Marekani yaonya kuhusu mashambulio ya Urusi

Muungano unaoongozwa na Marekani kukabiliana na wapiganaji wa IS umesema mashambulio ya Urusi nchini Syria yanadhuru wanaompinga Assad.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani