Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwathiriwa wa Westgate kuhusu shambulio Paris

Dorcas Mumbua ni mmoja wa walionusurika shambulio la kigaidi katika jumba la kibiashara la Westgate jijini Nairobi Septemba 21, 2013. Alichukuliaje mashambulio mjini Paris?

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa shambulio la Paris yu wapi?

Bbc imebaini kwamba fursa ya kumkamata mtuhumiwa wa shambulio la mwezi uliopita mjini Paris, nchini Ufaransa huenda imepotezwa

 

9 years ago

BBCSwahili

Hivi ndivyo ilivyokuwa katika shambulio mjini Paris

Maafisa wa polisi walioijihami walivamia ukumbi moja wa muziki ili kumaliza utekaji uliotekelezwa na washambuliaji wakati wa shambulio la mji wa Paris ijumaa usiku.

 

10 years ago

GPL

SHAMBULIO TENA PARIS, POLISI WA KIKE AUAWA KWA RISASI

Mmoja wa majeruhi wa shambulio la leo akipatiwa huduma ya kwanza na kikosi cha uokoaji. Eneo la Montrouge jijini Paris nchini Ufaransa lilipotokea shambulio la leo.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Kumbukumbu ya Ann Soy kuhusu Westgate

Shambulio la Westgate lilipotokea, Anne Soy wa idhaa ya BBC alikuwa miongoni mwa wanahabari wa kwanza kuripoti tukio hilo

 

9 years ago

Dewji Blog

Huyu ndio mchezaji mkubwa aliyempoteza binamu yake katika shambulio la Paris na mwingine kunusurika kumpoteza dada yake

Lass-Diarra

Kiungo wa timu ya Taifa ya Ufaransa na klabu ya Marseille, Lassana Diarra.

Na Rabi Hume, wa  Modewjiblog

Shambulio limelotokea usiku wa Ijumaa kuamkia Jumamosi katika jiji la Paris, Ufaransa wakati mchezo wa kirafiki kati ya timu ya Taifa ya Ufaransa na Ujerumani umeacha simanzi kwa kiungo wa timu ya Taifa ya Ufaransa na klabu ya Marseille, Lassana Diarra.

Katika shambulio hilo ambalo linakadiliwa kuua watu zaidi 150 limepelekea Diarra kumpoteza binamu yake, Asta Diakote ambae alikuwa moja...

 

9 years ago

BBCSwahili

Ubelgiji yaonya kuhusu Shambulio

Ubelgiji imeimarisha hali yake ya tahadhari katika eneo la mji mkuu wa Brussels, ikionya kuwa kuna uwezekano mkubwa wa mashambulizi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ufaransa yaonya kuhusu shambulio la sumu

Waziri mkuu wa Ufaransa Manuel Valls ameonya kuwa Ufaransa huenda ikakabiliwa na shambulio la kemikali za sumu kutoka kwa makundi ya kigaidi

 

9 years ago

BBCSwahili

Mshukiwa akamatwa kuhusu mauaji ya Paris

Polisi nchini Ufaransa wamemkamata mwanamume eneo la Paris kwenye uchunguzi wao kuhusu mashambulio ya Novemba 13.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwathiriwa wa ubakaji kufidiwa Zimbabwe

Mahakama ya juu zaidi nchini Zimbabwe imeagiza serikali kumlipa fidia mwathiriwa wa ubakaji aliyekataliwa kuavya mimba yake

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani