Mafuriko yasomba reli, abiria watumia mabasi
Abiria 1,090 wa treni waliokuwa wakienda Dar es Salaam, wamekwama katika stesheni ya Mzaganza iliyopo Dodoma, baada ya sehemu ya reli kusombwa na mafuriko.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili16 Apr
Mafuriko yasomba basi la abiria Mandera
Maafisa wa shirika la msalaba mwekundu, mjini Mandera Kenya wanasema kuwa takriban watu 35 wametoweka baada ya basi kusombwa na mafuriko
9 years ago
Habarileo16 Sep
Mafuriko Nyumba ya Mungu yasomba ekari 20
ZAIDI ya ekari 20 za mazao ya aina mbalimbali, ikiwamo vitunguu na mahindi pamoja na nyumba ambazo idadi yake haijulikani katika vijiji vya Jitengeni na Mvungwe wilayani Same, zimeharibiwa na mafuriko kutoka bwawa la Nyumba ya Mungu.
9 years ago
Mwananchi22 Dec
Ujenzi wa reli utakomesha ulanguzi tiketi za mabasi
Kila inapokaribia sikukuu ya Krismasi, wananchi jijini Dar es Salaam wanaosafiri kwa mabasi kwenda makwao kusherehekea sikukuu hiyo pamoja na kupata mapumziko ya mwisho wa mwaka hulazimika kulipa viwango vikubwa vya nauli. Mawakala wa mabasi, hasa waliopo katika kituo cha mabasi yaendayo mikoani cha Ubungo (UBT), hutoza nauli maradufu bila kujali sheria wala maelekezo ya Sumatra.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-z_4B8zPeM6Y/VK5yS7SexBI/AAAAAAAG79Y/mYLmGICkVYI/s72-c/IMG-20150108-WA032.jpg)
Abiria wa Treni ya Reli ya Kati wakwama katika Stesheni ya Uvinza,Kigoma leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-z_4B8zPeM6Y/VK5yS7SexBI/AAAAAAAG79Y/mYLmGICkVYI/s1600/IMG-20150108-WA032.jpg)
Ripota wa Globu ya Jamii ambaye ni mmoja wa abiria hao,amezungumza na stesheni masta wa wa Uvinza na kumueleza kuwa ameshatuma wataalam kwenda eneo la tukio...
9 years ago
Mwananchi01 Jan
Mabasi yatelekeza abiria UBT
Baadhi ya abiria wamejikuta wakitelekezwa katika Kituo cha Mabasi cha Ubungo (UBT) jijini Dar es Salaam kutokana na uhaba wa abiria.
10 years ago
Mwananchi06 Oct
‘Abiria chanzo cha ajali za mabasi’
Kamati ya watu 14 iliyoundwa na Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe kufuatilia chanzo cha ongezeko la ajali za mabasi, imebaini kuwa abiria wanashawishi madereva kuendesha mabasi kwa kasi na hivyo kuwa sehemu ya sababu za kuongezeka kwa ajali.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-97x_7MKyM_k/VI3j_2vTMgI/AAAAAAAG3NE/YUuAU1kg5cE/s72-c/unnamed..jpg)
Scania yakutanisha wadau wa mabasi ya Abiria
KAMPUNI ya Scania nchini Tanzania imekutanisha wadau mbalimbali wakiwemo wafanya biashara wa mabasi ya abiria pamoja na wafanya biashaya ya kutengeneza mabodi ya mabasi ya abiri kutoka makampuni mbalimbali wakati wa maonyesho ya Kimataifa ya Chesisi za Scania yaliyoandaliwa na Kampuni ya Scania yaliyojulikana kama “ Scania Bus Expo” yaliyo fanyika mwishoni mwa wiki katika kituo cha mabasi yaendayo mikoani cha Ubungo jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na waandishi wa habari Meneja...
Akizungumza na waandishi wa habari Meneja...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-a6rO42i9wD8/XlqdU9VQLgI/AAAAAAALgJ4/0G1mco_-YJsFFixbIL20J2PMBTfPSGXRgCLcBGAsYHQ/s72-c/MG_9326-1024x603.jpg)
KAMPUNI YA KUUNDA MABASI YA ABIRIA YAANZISHWA KIBAHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-a6rO42i9wD8/XlqdU9VQLgI/AAAAAAALgJ4/0G1mco_-YJsFFixbIL20J2PMBTfPSGXRgCLcBGAsYHQ/s640/MG_9326-1024x603.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/MG_9334-1024x496.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/MG_9327-1024x575.jpg)
Muonekano wa moja ya mabasi yaliyoundwa na Kampuni ya BM Motors iliyopo Kibaha mkoani Pwani kama linavyoonekana likiwa tayari kuanza kutumika .
………………………………………………………………………………………………………….
Na Mwandishi Wetu
Kampuni ya BM Motors iliyopo Kibaha mkoani Pwani, imeingia kwenye orodha ya kampuni zinazounda na kutengeneza mabasi ya abiria hapa nchini.
Mkurugenzi wa Kampuni hiyo Bw. Jonas Nyagawa amesema, karakana hiyo iliyojengwa eneo la Zegereni katika Halmashauri ya Mji wa Kibaha mkoani Pwani...
11 years ago
Uhuru Newspaper10 Jun
Mabasi mradi wa DART kubeba abiria 150
NA RABIA BAKARI
MABASI yanayopendekezwa kutumika kwenye usafiri wa Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka jijini Dar es Salaam, ni yale yenye uwezo wa kubeba abiria zaidi ya 150 kwa pamoja.
Hata hivyo, imeelezwa kuwa Watanzania wengi hawana uwezo wa kumudu kununua magari hayo kwa mtu mmoja mmoja, na kwamba kama wana nia ya kuingia katika biashara hiyo, hawana budi kuungana au kushirikiana na wadau wengine wa usafirishaji.
Kauli hiyo ilitolewa na serikali jana, wakati wa mkutano na wadau kutoka nchi...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania