Mafuriko Nyumba ya Mungu yasomba ekari 20
ZAIDI ya ekari 20 za mazao ya aina mbalimbali, ikiwamo vitunguu na mahindi pamoja na nyumba ambazo idadi yake haijulikani katika vijiji vya Jitengeni na Mvungwe wilayani Same, zimeharibiwa na mafuriko kutoka bwawa la Nyumba ya Mungu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili16 Apr
Mafuriko yasomba basi la abiria Mandera
9 years ago
Mwananchi03 Jan
Mafuriko yasomba reli, abiria watumia mabasi
10 years ago
Mwananchi14 Feb
Mvua yaharibu nyumba, ekari 300 za mashamba
10 years ago
Mwananchi23 Aug
Ikulu ni nyumba ya Mungu, isidhihakiwe
11 years ago
Tanzania Daima23 Jan
Mafuriko yazamisha nyumba 7,000
WAKAZI 7,000 wa kata tatu, Tarafa ya Magole, wilayani Kilosa, Morogoro hawana makazi baada ya nyumba zao zinazokadiriwa kufikia 2,500 kumezwa na maji kutokana na mafuriko huku nyingine zikisombwa na...
10 years ago
Mtanzania25 Mar
Nyumba za mafuriko kuvunjwa Dar
Jonas Mushi na Tunu Nassoro, Dar es Salaam
RAIS Jakaya Kikwete ameamuru kubomolewa baadhi ya nyumba zilizojengwa juu ya karavati lililoziba na kusababisha maji kujaa kwenye nyumba za wakazi wa Buguruni kwa Mnyamani, Ilala Dar es Salaam.
Akihutubia wananchi wa eneo hilo jana, Rais Kikwete alisema nyumba hizo zitabomolewa pamoja na karavati hilo kupisha maji kupita na kulijenga upya.
“Kwa sasa tunaendelea kuvuta maji yaliyojaa kwenye makazi ya watu kwa kutumia pampu lakini baadaye itabidi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/D*jRkBJZGXWDxijXQgoUqiyiUCpc7komcc3TjLcGZ708Dm3Pi9kvMpNSZq5E-hgPP0JGZvkm01hnj7CeB3YBE4BCx3dpBleq/Diamond.jpg)
MAFURIKO YAIZENGEA NYUMBA YA DIAMOND
11 years ago
Habarileo30 Mar
Mafuriko yabomoa nyumba 87 wilayani Bagamoyo
JUMLA ya kaya 87 katika kitongoji cha Biga Kata ya Mkange Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani, hazina mahali pa kuishi baada ya nyumba zao kubomolewa na mafuriko yaliyotokana na mvua kubwa iliyonyesha juzi.
9 years ago
Mwananchi16 Dec
Mafuriko yaua Arusha, yateketeza nyumba