Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAFURIKO YAIZENGEA NYUMBA YA DIAMOND

Na waandishi wetu
MAFURIKO yanayotokea katika sehemu mbalimbali nchini kutokana na mvua  zinazoendelea kunyesha, yanaizengea nyumba ya nyota wa muziki wa kizazi kipya nchini, Diamond Platnumz iliyopo Tegeta Madale, nje kidogo ya Jiji la Dar. Ukuta uliojengwa baada ya kubomoka. Kwa mujibu wa majirani wa staa huyo, nyumba hiyo imejengwa katika njia ya maji (mkondo), jambo ambalo hakulielewa hapo mwanzo, kwani ndiyo sababu...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mafuriko yazamisha nyumba 7,000

WAKAZI 7,000 wa kata tatu, Tarafa ya Magole, wilayani Kilosa, Morogoro hawana makazi baada ya nyumba zao zinazokadiriwa kufikia 2,500 kumezwa na maji kutokana na mafuriko huku nyingine zikisombwa na...

 

10 years ago

Mtanzania

Nyumba za mafuriko kuvunjwa Dar

Jonas Mushi na Tunu Nassoro, Dar es Salaam
RAIS Jakaya Kikwete ameamuru kubomolewa baadhi ya nyumba zilizojengwa juu ya karavati lililoziba na kusababisha maji kujaa kwenye nyumba za wakazi wa Buguruni kwa Mnyamani, Ilala Dar es Salaam.
Akihutubia wananchi wa eneo hilo jana, Rais Kikwete alisema nyumba hizo zitabomolewa pamoja na karavati hilo kupisha maji kupita na kulijenga upya.
“Kwa sasa tunaendelea kuvuta maji yaliyojaa kwenye makazi ya watu kwa kutumia pampu lakini baadaye itabidi...

 

9 years ago

Mwananchi

Mafuriko yaua Arusha, yateketeza nyumba

Watu watatu wamefariki dunia huku familia zaidi ya 70 zikikosa mahala pa kuishi baada ya nyumba zao kubomolewa na mafuriko yaliyotokana na mvua za vuli zinazoendelea kunyesha huko wilayani Arumeru, mkoani Arusha.

 

9 years ago

Habarileo

Mafuriko Nyumba ya Mungu yasomba ekari 20

ZAIDI ya ekari 20 za mazao ya aina mbalimbali, ikiwamo vitunguu na mahindi pamoja na nyumba ambazo idadi yake haijulikani katika vijiji vya Jitengeni na Mvungwe wilayani Same, zimeharibiwa na mafuriko kutoka bwawa la Nyumba ya Mungu.

 

11 years ago

Habarileo

Mafuriko yabomoa nyumba 87 wilayani Bagamoyo

JUMLA ya kaya 87 katika kitongoji cha Biga Kata ya Mkange Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani, hazina mahali pa kuishi baada ya nyumba zao kubomolewa na mafuriko yaliyotokana na mvua kubwa iliyonyesha juzi.

 

10 years ago

Mwananchi

Mafuriko Dar, nyumba zajaa maji, wananchi wahaha

HALI tete imelikumba jiji la Dar es Salaam kufuatia mvua kubwa inayoendelea kunyesha tokea jana kiasi cha kusababisha mafuriko hasa katika maeneo ya mabonde huku familia nyingi zikikosa makazi baada ya nyumba wanazoishi kujaa maji.

 

10 years ago

Mwananchi

Mafuriko yaikumba Mtwara, nyumba 200 zazingirwa na maji, RC atoa saa 24 yaondolewe

Zaidi ya nyumba 200 zimezingirwa na maji katika Manispaa ya Mtwara Mikindani kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha na kusababisha hasara kubwa ambayo thamani yake bado  haijajulikana.

 

9 years ago

GPL

MAPOKEZI YA DIAMOND DAR...MAFURIKO

Musa Mateja USIPIME! Mapokezi ya ‘kichaa’ wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ alipotua jijini Dar, juzi na tuzo tano alizojitwalia nchini Marekani yamesababisha mafuriko ya watu na kufungwa kwa baadhi ya barabara na shughuli kusimama, Risasi Jumamosi lilikuwa kwenye msafara. Soma zaidi===http://bit.ly/1jtkLmf

 

9 years ago

Bongo Movies

Picha: Jionee Mafuriko, Diamond Akiwa Soko la Karume Mapema Leo

Mkali wa Bongo Fleva, Diamond Platimumz mapema leo alikuwa viwanja vya soko la karume jiji Dar  akitambulisha show yake ya Darlive siku ya tarehe 25,ambapo pia aliimba kidogo na kugawa CD za wimbo wake mpya wa UTANIPENDA.

Hizi ni baadhi ya picha za tukio hilo.

diamond231

Diamond Akiwa Karume

DIAMOND23412

Diamond Akiwa Karume

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani