MAPOKEZI YA DIAMOND DAR...MAFURIKO
![](http://api.ning.com:80/files/pip6g4jx0sfB-lBg3V*DBnZzmAByiczuhHJtGpZ9Rw2oL3RvIw1ShQAwOUpE58tJiGEyKO-1dqAzbwPqnxMW*FnfXVA4YCg5/Kuwasili.jpg?width=650)
Musa Mateja USIPIME! Mapokezi ya ‘kichaa’ wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ alipotua jijini Dar, juzi na tuzo tano alizojitwalia nchini Marekani yamesababisha mafuriko ya watu na kufungwa kwa baadhi ya barabara na shughuli kusimama, Risasi Jumamosi lilikuwa kwenye msafara. Soma zaidi===http://bit.ly/1jtkLmf
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-mS5r_HRkhxY/U9kwFGucw5I/AAAAAAAF754/gDi8V8U0AFQ/s72-c/10584060_776875059000977_1046376024208095956_n.jpg)
10 years ago
CloudsFM02 Dec
DIAMOND PLATINUMZ ATUA DAR APATA MAPOKEZI YA NGUVU.
Msanii Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' ametua nchini muda huu akitokea Afrika Kusini alipokwenda kushiriki zoezi la utoaji tuzo za Channel O ambapo alijinyakulia tuzo tatu kwa mpigo. Tuzo alizonyakua staa huyo ni pamoja na Most Gifted New Comer, Most Gifted Afropop na Most Gifted East kupitia wimbo wake wa Number One.
10 years ago
Mwananchi03 Dec
Mapokezi ya Diamond usipime
10 years ago
GPL03 Dec
DIAMOND ATUA NCHINI NA KUPATA MAPOKEZI YA NGUVU
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/bA5T_Ef9KaU/default.jpg)
MAPOKEZI YA DIAMOND NA SHOW YAKE NDANI YA BUNJUMBURA NI SHEEEEEDA
Pata taswira ya mambo yalivyokuwa pande hizo kwa kujitiririsha hapa chini kiroho safi
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/120.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/244.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/311.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/10546587_908259752530229_441171772_n.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/10853148_396132520552360_98340790_n.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/10864705_405236846303028_78045836_n.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/10865169_594902770609770_1224541353_n.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/10899340_792983947439779_1058578797_n.jpg)
Facebook Fans Page: DJ CHOKA
Instagram: @chokadj OR @djchokamusic
11 years ago
MichuziTASWIRA ZA MAPOKEZI YA DIAMOND BAADA YA KUSHINDA TUZO YA MSANII BORA WA KIUME AFRIKA MASHARIKI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/D*jRkBJZGXWDxijXQgoUqiyiUCpc7komcc3TjLcGZ708Dm3Pi9kvMpNSZq5E-hgPP0JGZvkm01hnj7CeB3YBE4BCx3dpBleq/Diamond.jpg)
MAFURIKO YAIZENGEA NYUMBA YA DIAMOND
10 years ago
Dewji Blog30 Nov
Rais Kikwete awasili Dar, apata mapokezi makubwa
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na mmoja wa abiria wakati ndege aliyopanda ilipotua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es salaam akitokea Marekani kwenye matibabu leo Novemba 29, 2014.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakiwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es salaam akitokea Marekani kwenye matibabu leo Novemba 29, 2014.
Rais Jakaya...