Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mapokezi ya Diamond usipime

Polisi jijini Dar es Salaam jana walilazimika kuingilia kati msafara wa mwanamuziki Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’ baada ya vurugu kutokea wakati mashabiki wakimlaki aliporejea nchini akitokea Afrika Kusini alikoshinda tuzo tatu za Channel O Music Video Awards.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

BIRTHDAY YA DIAMOND POMBE, MADEMU USIPIME!

Musa mateja Usipime! Ndugu, jamaa na marafiki wa staa bab’kubwa Afrika Mashariki na Kati, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, wikiendi iliyopita wamekula bata la hatari katika sherehe ya kuzaliwa kwa msanii huyo, Ijumaa Wikienda linaripoti.
Burudani na raha hizo zilifanyika nyumbani kwa Diamond, Madale- Tegeta jijini Dar, usiku wa kuamkia Jumamosi iliyopita na kuhudhuriwa na mastaa kibao. ‘Diamond...

 

10 years ago

GPL

CHUMBA CHA MTOTO WA DIAMOND USIPIME!

Musa mateja Staa wa Bongo Fleva Afrika, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na mama kijacho wake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’, wameandaa chumba maalum cha mtoto wao wa kike ajaye na kuweka vifaa na vitu vya gharama kubwa.  ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1IuEnf2

 

10 years ago

GPL

DIAMOND USIPIME, ANOGESHA SHEREHE YA UHURU DMV‏

Diamond akiwapa burudani mashabiki wake. Shabiki akicheza wimbo wa Mdogo Mdogo.…

 

9 years ago

GPL

MAPOKEZI YA DIAMOND DAR...MAFURIKO

Musa Mateja USIPIME! Mapokezi ya ‘kichaa’ wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ alipotua jijini Dar, juzi na tuzo tano alizojitwalia nchini Marekani yamesababisha mafuriko ya watu na kufungwa kwa baadhi ya barabara na shughuli kusimama, Risasi Jumamosi lilikuwa kwenye msafara. Soma zaidi===http://bit.ly/1jtkLmf

 

10 years ago

GPL

DIAMOND ATUA NCHINI NA KUPATA MAPOKEZI YA NGUVU

Staa wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul Diamond alivyotua na kupokelewa kwa nguvu jijini Dar es Salaam Desemba 2, 2014 akitokea nchini Afrika Kusini alipokwenda kushiriki zoezi la utoaji tuzo za Channel O ambapo alijinyakulia jumla ya tuzo tatu.

 

10 years ago

Vijimambo

MAPOKEZI YA DIAMOND NA SHOW YAKE NDANI YA BUNJUMBURA NI SHEEEEEDA



Pata taswira ya mambo yalivyokuwa pande hizo kwa kujitiririsha hapa chini kiroho safi
picha wa hisani ya ....Twitter: @chokadj
Facebook Fans Page: DJ CHOKA
Instagram: @chokadj OR @djchokamusic

 

10 years ago

CloudsFM

DIAMOND PLATINUMZ ATUA DAR APATA MAPOKEZI YA NGUVU.

Msanii Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' ametua nchini muda huu akitokea Afrika Kusini alipokwenda kushiriki zoezi la utoaji tuzo za Channel O ambapo alijinyakulia tuzo tatu kwa mpigo. Tuzo alizonyakua staa huyo ni pamoja na Most Gifted New Comer, Most Gifted Afropop na Most Gifted East kupitia wimbo wake wa Number One.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani