Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHUMBA CHA MTOTO WA DIAMOND USIPIME!

Musa mateja Staa wa Bongo Fleva Afrika, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na mama kijacho wake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’, wameandaa chumba maalum cha mtoto wao wa kike ajaye na kuweka vifaa na vitu vya gharama kubwa.  ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1IuEnf2

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Chumba cha mtoto usipime!

chumba1Chumba maalum cha mtoto wa Diamond Platnumz.
Musa Mateja, GPL
Staa wa Bongo Fleva Afrika, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na mama kijacho wake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’, wameandaa chumba maalum cha mtoto wao wa kike ajaye na kuweka vifaa na vitu vya gharama kubwa.
TUJIUNGE ‘WHITE HOUSE’

Kwa mujibu wa mtu wa karibu na familia ya Diamond, baada ya kutenga chumba hicho maalum kwenye ‘White House’ ya rais huyo wa Wasafi Classic Baby (WCB) iliyopo Madale-Tegeta jijini Dar, kilichofuata ni...

 

10 years ago

Mwananchi

Mapokezi ya Diamond usipime

Polisi jijini Dar es Salaam jana walilazimika kuingilia kati msafara wa mwanamuziki Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’ baada ya vurugu kutokea wakati mashabiki wakimlaki aliporejea nchini akitokea Afrika Kusini alikoshinda tuzo tatu za Channel O Music Video Awards.

 

9 years ago

GPL

BIRTHDAY YA DIAMOND POMBE, MADEMU USIPIME!

Musa mateja Usipime! Ndugu, jamaa na marafiki wa staa bab’kubwa Afrika Mashariki na Kati, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, wikiendi iliyopita wamekula bata la hatari katika sherehe ya kuzaliwa kwa msanii huyo, Ijumaa Wikienda linaripoti.
Burudani na raha hizo zilifanyika nyumbani kwa Diamond, Madale- Tegeta jijini Dar, usiku wa kuamkia Jumamosi iliyopita na kuhudhuriwa na mastaa kibao. ‘Diamond...

 

10 years ago

GPL

DIAMOND USIPIME, ANOGESHA SHEREHE YA UHURU DMV‏

Diamond akiwapa burudani mashabiki wake. Shabiki akicheza wimbo wa Mdogo Mdogo.…

 

11 years ago

Habarileo

‘Kila kituo cha afya kiwe na chumba cha upasuaji’

MGANGA Mkuu wa Serikali, Dk Donan Mbando, amesema kila halmashauri nchini inapaswa kujenga vyumba vya upasuaji katika vituo vyote vya afya.

 

10 years ago

Vijimambo

HIKI NDO KITANDA CHA MTOTO MTARAJIWA WA DIAMOND NI MADINI TUPU!!.


Crib la mtoto wa Diamond na Zari pande za Ikulu ya wasafi.

 

10 years ago

Vijimambo

CHUMBA CHA HABARI CHA GAZETI LA JAMBO LEO NA STAA SPOTI CHAZIZIMA KWA HUZUNI BAADA YA KUFIWA NA MENEJA WAO MZEE RAMADHANI KIBANIKE

 Marehemu  Ramadhani Kibanike enzi za uhai wake. Mhariri Mkuu wa Gazeti la Jambo Leo, Julian Msacky na Mwandishi wa Habari, Stela Kessy (kulia), wakiendelea na kazi huku wakiwa na hudhuni baada ya kupokea taarifa ya kifo cha Kibanike leo jioni. Mwanahabari Celina Mathew akilia kwa uchungu baada ya kupokea taarifa hiyo.
 Ofisa Matangazo, Kinai akiwa amepigwa butwaa kutokana na  kifo hicho. Wanahabari Nyendo Mohamed (katikati), Edith Msuya (kulia) na  Magendela Hamisi wakiwa katika hali ya...

 

11 years ago

Habarileo

Muuguzi aishi chumba cha kujifungulia

WA J A W A Z I T O katika Kijiji cha Iglansoni wilayani Ikungi mkoani Singida hawana mahali pa kujifungulia baada ya muuguzi wa zahanati hiyo, Mary Misai kuweka makazi yake kwenye chumba hicho.

 

11 years ago

Tanzania Daima

RC ahimiza uwekezaji chumba cha maiti

MKUU wa Mkoa (RC) wa Njombe, Kapteni Mstaafu, Assery Msangi, amekaribisha watu binafsi, mashirika na taasisi yoyote kujitokeza kusaidia ujenzi wa chumba cha kuhifadhia maiti katika Hospitali ya Mkoa ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani