Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chumba cha mtoto usipime!

chumba1Chumba maalum cha mtoto wa Diamond Platnumz.
Musa Mateja, GPL
Staa wa Bongo Fleva Afrika, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na mama kijacho wake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’, wameandaa chumba maalum cha mtoto wao wa kike ajaye na kuweka vifaa na vitu vya gharama kubwa.
TUJIUNGE ‘WHITE HOUSE’

Kwa mujibu wa mtu wa karibu na familia ya Diamond, baada ya kutenga chumba hicho maalum kwenye ‘White House’ ya rais huyo wa Wasafi Classic Baby (WCB) iliyopo Madale-Tegeta jijini Dar, kilichofuata ni...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

CHUMBA CHA MTOTO WA DIAMOND USIPIME!

Musa mateja Staa wa Bongo Fleva Afrika, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na mama kijacho wake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’, wameandaa chumba maalum cha mtoto wao wa kike ajaye na kuweka vifaa na vitu vya gharama kubwa.  ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1IuEnf2

 

11 years ago

Habarileo

‘Kila kituo cha afya kiwe na chumba cha upasuaji’

MGANGA Mkuu wa Serikali, Dk Donan Mbando, amesema kila halmashauri nchini inapaswa kujenga vyumba vya upasuaji katika vituo vyote vya afya.

 

10 years ago

Vijimambo

CHUMBA CHA HABARI CHA GAZETI LA JAMBO LEO NA STAA SPOTI CHAZIZIMA KWA HUZUNI BAADA YA KUFIWA NA MENEJA WAO MZEE RAMADHANI KIBANIKE

 Marehemu  Ramadhani Kibanike enzi za uhai wake. Mhariri Mkuu wa Gazeti la Jambo Leo, Julian Msacky na Mwandishi wa Habari, Stela Kessy (kulia), wakiendelea na kazi huku wakiwa na hudhuni baada ya kupokea taarifa ya kifo cha Kibanike leo jioni. Mwanahabari Celina Mathew akilia kwa uchungu baada ya kupokea taarifa hiyo.
 Ofisa Matangazo, Kinai akiwa amepigwa butwaa kutokana na  kifo hicho. Wanahabari Nyendo Mohamed (katikati), Edith Msuya (kulia) na  Magendela Hamisi wakiwa katika hali ya...

 

11 years ago

Habarileo

Muuguzi aishi chumba cha kujifungulia

WA J A W A Z I T O katika Kijiji cha Iglansoni wilayani Ikungi mkoani Singida hawana mahali pa kujifungulia baada ya muuguzi wa zahanati hiyo, Mary Misai kuweka makazi yake kwenye chumba hicho.

 

11 years ago

Tanzania Daima

RC ahimiza uwekezaji chumba cha maiti

MKUU wa Mkoa (RC) wa Njombe, Kapteni Mstaafu, Assery Msangi, amekaribisha watu binafsi, mashirika na taasisi yoyote kujitokeza kusaidia ujenzi wa chumba cha kuhifadhia maiti katika Hospitali ya Mkoa ya...

 

9 years ago

GPL

CHUMBA CHA PAULA WA P- FUNK KUFURU!

Mtoto wa prodyuza maarufu Bongo, Paul Matthysse ‘P- Funk’ na Kajala Msanja, Paula. Imelda Mtema Chumba cha mtoto wa prodyuza maarufu Bongo, Paul Matthysse ‘P- Funk’ na Kajala Msanja, Paula kimeibua mshituko kufuatia namna kilivyosheheni vitu vya thamani. Juzikati mwandishi wetu alitinga ndani ya mjengo anaoishi Kajala maeneo ya Mwenge jijini Dar na kustaajabu mengi lakini miongoni mwayo ni chumba ambacho ametengewa...

 

10 years ago

Vijimambo

Muuguzi anusurika kushambuliwa chumba cha operesheni

Hii picha hausiani na stori hapo chini
Muuguzi wa Hospitali ya Mkoa wa Shinyanga, Yasinta Thomas, amenusurika kushambuliwa na wananchi wakati akimhudumia binti wa miaka 15 (jina linahifadhiwa), aliyekuwa mjamzito wa miezi sita na kisha kujifungua kabla ya muda watoto mapacha waliokufa.

Mganga Mfawidhi wa hospitali hiyo, Dk. Fredrick Mlekwa, jana alisema tukio hilo lilitokea juzi saa 12 jioni wakati binti huyo alipofikishwa hospitali hapo akitokea katika Kituo cha Afya cha Kambarage, mjini...

 

10 years ago

BBCSwahili

Uvamizi katika chumba cha habari Ufaransa

Takriban Watu 12 wameuawa na watano kujeruhiwa katika shambulio lililotekelezwa na watu wasiojulikana nchini Ufaransa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani