‘Kila kituo cha afya kiwe na chumba cha upasuaji’
MGANGA Mkuu wa Serikali, Dk Donan Mbando, amesema kila halmashauri nchini inapaswa kujenga vyumba vya upasuaji katika vituo vyote vya afya.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-h1-tJniFrw0/XoicMv1VZ3I/AAAAAAALmBM/llUv193sBY0UwAcJN6TDdAbYKcZL_V09ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200403-WA0012.jpg)
JENGO LA UPASUAJI KITUO CHA AFYA MIONO LASUASUA
JENGO la Upasuaji katika Kituo cha afya cha Miono, Halmashauri ya Chalinze ,Mkoa wa Pwani bado hakijakamilika, kutokana na changamoto hasa ya mkanganyiko wa matumizi ya fedha zinazoelekezwa kwenye ujenzi huo.
Hayo yamebainika katika ziara ya Kamati ya siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Bagamoyo Mkoa wa Pwani, ilipotembelea miradi inayotekelezwa na Halmashauri hiyo, ikiongozwa na Mwenyekiti wa chama hicho Alhaj Abdul Sharifu.
Akitoa taarifa ya ujenzi wa Jengo...
9 years ago
Dewji Blog19 Sep
Miaka 17 ya Kituo cha Mazoezi cha Home Gym: kutembelea wodi ya wazazi Kituo cha Afya Sinza Palestina leo Sept 19
Kituo cha Mazoezi cha Home Gym…
Na Andrew Chale, modewjiblog
[Dar es Salaam-Tanzania]- Kuelekea miaka 17 ya tangu kuanzishwa kwa kituo cha Mazoezi cha Home Gym chenye maskani yake Mwenge jijini Dar es Salaam-Tanzania, uongozi wa kituo hicho unatarajia kufanya matukio makuu muhimu ikiwemo kutembelea wodi ya akina mama katika kituo cha Afrya cha Sinza Palestina Jijini.
Akizungumza na modewjiblog, Mkurugenzi wa kituo hicho, Andrew Mangomango amebainisha kuwa, kuelekea shughuli za miaka 17 za...
10 years ago
Dewji Blog26 May
Kituo cha Afya Ndago hakina huduma za upasuaji kwa miaka mitano
Jengo la kituo cha afya cha tarafa ya Ndago, wilayani Iramba, Mkoani Singida ambacho licha ya kutokuwa na huduma za upasuaji, lakini vile vile kituo hicho hakina usafiri wa gari la wagonjwa kwa miaka mine sasa huku gari lililokuwa limepangiwa katika kituo hicho kutumiwa na watendaji wa wilaya hiyo.(Picha zote na Jumbe Ismailly).
Na Jumbe Ismailly, Iramba
KITUO cha afya cha tarafa ya Ndago,wilayani Iramba,Mkoani Singida hakina huduma za upasuaji kwa miaka mitano sasa licha ya jengo la kutolea...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SI8U2lTUknM/U07VPJmdZZI/AAAAAAACfAk/AdyX9ld_PTY/s72-c/IMG_7153.jpg)
KINANA ASHTUSHWA NA MAKUSUDI YA WIZARA YA AFYA KUHUSIANA NA KITUO CHA AFYA CHA INYONGA,WILAYA YA MLELE-KATAVI
![](http://3.bp.blogspot.com/-SI8U2lTUknM/U07VPJmdZZI/AAAAAAACfAk/AdyX9ld_PTY/s1600/IMG_7153.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-VHIeKghZ0TQ/U07VRQykrMI/AAAAAAACfAs/bKc1G7bG9Xk/s1600/IMG_7164.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-UPk19fQjvRY/XvRWbJRN4OI/AAAAAAALvU0/cU550e8Db4MGSstuKdaq6-zHVj-i2ku9wCLcBGAsYHQ/s72-c/Cd067Y7WIAAoQWB.jpg)
KITUO CHA AFYA CHA MAPERA KIMEPATA GARI LA KUBEBEA WAGONJWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-UPk19fQjvRY/XvRWbJRN4OI/AAAAAAALvU0/cU550e8Db4MGSstuKdaq6-zHVj-i2ku9wCLcBGAsYHQ/s640/Cd067Y7WIAAoQWB.jpg)
KITUO cha Afya Mapera kilichopo katika Halmashauri ya wilaya Mbinga mkoani Ruvuma, kimepata gari la wagonjwa(Ambulance) iliyonunuliwa na Halmashauri hiyo ili kurahisisha usafiri kwa wagonjwa watakohitaji na kupewa rufaa kwenda Hospitali ya wilaya Mbinga na Rufaa ya mkoa Songea.
Akikabidhi gari hilo kwa Mganga Mkuu wa kituo cha Afya Mapera,Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Mbinga Juma Mnwele alisema, gari hilo limetokana na ahadi iliyotolewa na Waziri Mkuu...
11 years ago
MichuziTBL YAPONGEZWA KWA KUJENGA KISIMA CHA MAJI KITUO CHA AFYA TUNDUMA.
10 years ago
Dewji Blog10 Jul
Mh. Martha Mlata akabidhi mashuka 200 kwa kituo cha afya cha Sokoine
Baadhi ya vifaa tiba na madawa mbalimbali yaliyotolewa msaada na Martha Mosses Mlata kwa kituo cha afya cha Sokoine mjini Singida.
10 years ago
MichuziMakamu wa Rais Dkt. Bilal azindua kituo cha Afya cha Ghana,Unguja leo
10 years ago
MichuziMAMA SALMA KIKWETE ATEMBELEA KITUO CHA AFYA CHA LINDI MJINI NA KUZURU MATAWI YA CCM