Makamu wa Rais Dkt. Bilal azindua kituo cha Afya cha Ghana,Unguja leo
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Wananchi wa kijiji cha Ghana alipowasili kijijini hapo kwa kufungua rasmi kituo cha Afya kilichojengwa na Wananchi kwa kushirikiana na Wafadhili kilichopo Ghana Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja leo Sept 21-20014.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akikata utepe kufungua rasmi kituo cha Afya kilichojengwa na Wananchi kwa kushirikiana na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMAKAMU WA RAIS, DKT. BILAL AZINDUA KITUO CHA KOMPYUTA CHA SKULI YA KIEMBE SAMAKI ZANZIBAR WAFANYIKA
10 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS,DKT. BILAL AZINDUA KITUO CHA KOMPYUTA CHA SKULI YA KIEMBE SAMAKI ZANZIBAR WAFANYIKA
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-PzH99f7sVJ0/VieGeTn9sXI/AAAAAAAIBgk/T4wYTeKyAlM/s72-c/2.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZINDUA MKONGO WA TAIFA WA MAWASILIANO, KATIKA KITUO CHA KUTUNZIA KUMBUKUMBU CHA TAIFA (NATIONAL INTERNET DATA CENTRE) KIJITOMYAMA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-PzH99f7sVJ0/VieGeTn9sXI/AAAAAAAIBgk/T4wYTeKyAlM/s640/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Q3BixzuiMmA/VieGXwFBeDI/AAAAAAAIBfM/u20hDFLIxoM/s640/03.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Hkci_94gfZE/VWsONryzTAI/AAAAAAADpRA/uzaDvbEMQoc/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZINDUA CHUO KIKUU KISHIRIKI CHA MARIAN BAGAMOYO
![](http://2.bp.blogspot.com/-Hkci_94gfZE/VWsONryzTAI/AAAAAAADpRA/uzaDvbEMQoc/s640/01.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-7pGUsCjRzU8/VWsOPF3ULyI/AAAAAAADpRo/V8XhEMJvOzU/s640/1B.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-9pfoQgBR-aQ/VWsONonhaDI/AAAAAAADpQ8/D3U8aKLObzY/s640/02.jpg)
10 years ago
Dewji Blog31 May
Makamu wa Rais Dkt. Bilal azindua chuo kikuu kishiriki cha Marian Bagamoyo
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Katoliki Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Pengo, kwa pamoja wakikata utepe kuzindua Chuo Kikuu Kishiriki cha Marian mjini Bagamoyo, leo Mei 31, 2015. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Katoliki Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Pengo, kwa pamoja wakifunua kitambaa kama ishara ya kuweka Jiwe la...
10 years ago
Dewji Blog27 Sep
Makamu wa Rais Dkt. Bilal azindua kivuko cha MV Tegemeo kufanya safari za Maisome-Sengerema
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akikata utepe kuzindua rsmi Kivuko cha Tegemeo tayari kuanza kufanya safari zake kati ya Kisiwa cha Maisome- Sengerema, wakati wa hafla ya uzinduzi wa kivuko hicho iliyofanyika Kijiji cha Kahunda Wilaya ya Sengerema Mkoa wa Mwanza leo, Septemba 26, 2014. Kulia kwake ni Waziri wa Ujenzi, Dkt. John Magufuli na baadhi ya viongozi. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed...
9 years ago
Dewji Blog22 Oct
Dkt. Bilal azindua Kituo cha Mawasiliano ya Intaneti IP POP cha TTCL
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZvR8AqvkQG8/VieCpp4SaVI/AAAAAAACkgE/kbAtZe_AMvE/s640/1.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib, akipata maelezo kuhusu utendaji kazi wa mitambo ya kutunzia kumbukumbu, kutoka kwa Mkuu wa Kitengo cha Huduma na Bidhaa za Shirika la Simu Tanzania, TTCL, Issaya Ernest, wakati Dkt Bilal, alipotembelea kituo hicho cha kutunzia kumbukumbu cha Taifa (National Internet Data Centre) Kijitonyama, jana.
![](http://1.bp.blogspot.com/-XoXAOwxedGA/VieCpjaBmnI/AAAAAAACkf8/N7-DQTiiYl4/s640/2.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na...
10 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS DKT.BILAL AKUTANA NA UONGOZI WA CHAMA CHA WAFUGAJI LEO.