Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Isikupite hii… binti wa miaka 15, kipaji chake cha soka usipime!

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Dullayo ajivunia kipaji chake

MKALI wa muziki wa kizazi kipya nchini, Abrahaman Kasembe ‘Dullayo’, amesema anajivunia kipaji alichonacho kwani hakiwezi kuchuja kama inavyokuwa kwa wasanii wengine. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Dullayo alisema,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Meddy Slova ajivunia kipaji chake

MVUMILIVU hula mbivu. Huu ni msemo uliokuwepo toka enzi za mababu, ambao katika makala hii unajidhihirisha wazi kwa kinachofanywa katika jukwaa la muziki na chipukizi Ahmed Mgallusy ‘Meddy Slova’. Akiwa...

 

11 years ago

Michuzi

mtoto mbunifu wa mirerani aonesha kipaji chake

 Mwanafunzi wa darasa la saba shule ya msingi Mirerani, Kata ya Endiamtu Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, Amani Augostino (14) akiwaonyesha wakaazi wa kata hiyo mfano wa nyumba ya ghorofa aliyoitengeneza kwa maboksi ya karatasi na ambayo anaiuza kwa shilingi 10,000. Alipohojiwa amesema nyumba hiyo ameitengeneza yeye mwenyewe na kwamba yeye ndoto yake ni kuwa msanifu wa majengo awapo mkubwa. Picha na Joseph Lyimo

 

10 years ago

Dewji Blog

Mfahamu mpiga picha maarufu Albert Manifester anayetumia kipaji chake kusaidia jamii

258270_465050636851038_395823295_oAlbert Manifeter katika pozi..

Na Andrew Chale, modewjiblog

Duniani, kila mwanadamu amejariwa uwezo na kipawa cha kufanya kitu ambacho mwingine hawezi kukifanya kwa  upande wake, iwe kwa kufundishwa ama kuzaliwa nacho, Hii pia tunaweza kuona kwa Mpiga picha maarufu nchini, Albert Manifester, ambaye amekuwa na uwezo mkubwa wa kupiga picha kiasi cha kujenga jina lake katika  ngazi mbalimbali ikiwemo ndani na nje ya nchi.

Hata hivyo, kupitia kipaji chake hicho, albert Manifester, Mei 24 mwaka...

 

10 years ago

Michuzi

OKWI AREJEA SIMBA SC KUCHEZA KWA MUDA KULINDA KIPAJI CHAKE WAKATI KESI YAKE NA YANGA IKIENDELEA


Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAMSTAILI ile ile waliyotumia Yanga SC kumpata mshambuliaji Emmanuel Arnold Okwi ndiyo ambayo klabu yake ya zamani, Simba SC inaitumia kumrejesha kundini Mganda huyo.
Akizungumza na Waandishi wa Habari jioni hii mjini Dar es Salaam, Okwi amesema kwamba amesaini Simba SC mkataba huru wa muda, baada ya Yanga SC kumpa barua ya kusitisha mkataba naye jana pamoja na kumshitaki Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).


Okwi amesema ameamua kuomba kuichezea Simba SC kipindi...

 

9 years ago

StarTV

Binti wa miaka 15 ahukumiwa jela miaka 8 kwa kuuwa bila kukusudia.

Mahakama kuu ya Tanzania kanda ya Dar es salaam iliyoketi mkoani Morogoro, imemuhukumu kwenda jela miaka nane, Judith Chomile binti mwenye umri wa miaka 15 mwananfunzi wa kidato cha kwanza mara baaada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kuua bila ya kukusudia mtoto mwenzake Andrine Mafwere (9)

Akisoma hukumu hiyo jaji Eliezer Fereshi, amesema mahakama imemtia hatiani mshitakiwa huyo  kutokana na  upelelezi  wa kesi hiyo kukamilika na maelezo ya maafisa ustawi wa jamii na maafisa wa huduma za...

 

9 years ago

Bongo5

Joh Makini aliamini kipaji changu nilipokuwa na miaka 14 – Nahreel

761122d130c0d8ac30cf994bc2dc7576

Joh Makini na Nahreel hawajafahamiana jana au juzi – kitambo.

761122d130c0d8ac30cf994bc2dc7576

Producer huyo amedai kuwa Joh alikikubali kipaji chake katika utengenezaji wa midundo tangu akiwa na umri wa miaka 14.

“Mtu wa kwanza aliyeniamini ni Joh Makini nilipokuwa na miaka 14. Alipokuja kusikia kazi zangu aliniambia kuwapa watu wanaostahili tu muziki wangu. Aliona kitu ndani yangu tangu mwanzo. Ni mwana familia,” Nahreel ameiambia Blog ya Coke Studio.

Hadi sasa ni Nahreel ndiye aliyetayarisha ngoma nyingi na zilizofanya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani