Isikupite hii… binti wa miaka 15, kipaji chake cha soka usipime!
Global Publishers
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL11 Nov
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/kgflbGzlCeY/default.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima24 Jan
Dullayo ajivunia kipaji chake
MKALI wa muziki wa kizazi kipya nchini, Abrahaman Kasembe ‘Dullayo’, amesema anajivunia kipaji alichonacho kwani hakiwezi kuchuja kama inavyokuwa kwa wasanii wengine. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Dullayo alisema,...
11 years ago
Tanzania Daima12 Feb
Meddy Slova ajivunia kipaji chake
MVUMILIVU hula mbivu. Huu ni msemo uliokuwepo toka enzi za mababu, ambao katika makala hii unajidhihirisha wazi kwa kinachofanywa katika jukwaa la muziki na chipukizi Ahmed Mgallusy ‘Meddy Slova’. Akiwa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-k1RvVw_LafE/U-jyq14mznI/AAAAAAAF-go/CgvP32GCVyM/s72-c/unnamed+(52).jpg)
mtoto mbunifu wa mirerani aonesha kipaji chake
![](http://3.bp.blogspot.com/-k1RvVw_LafE/U-jyq14mznI/AAAAAAAF-go/CgvP32GCVyM/s1600/unnamed+(52).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-SKGgggl3mRY/U-jyq0f-mwI/AAAAAAAF-gk/yfxHFLVJMfE/s1600/unnamed+(53).jpg)
10 years ago
Dewji Blog15 Jun
Mfahamu mpiga picha maarufu Albert Manifester anayetumia kipaji chake kusaidia jamii
Albert Manifeter katika pozi..
Na Andrew Chale, modewjiblog
Duniani, kila mwanadamu amejariwa uwezo na kipawa cha kufanya kitu ambacho mwingine hawezi kukifanya kwa upande wake, iwe kwa kufundishwa ama kuzaliwa nacho, Hii pia tunaweza kuona kwa Mpiga picha maarufu nchini, Albert Manifester, ambaye amekuwa na uwezo mkubwa wa kupiga picha kiasi cha kujenga jina lake katika ngazi mbalimbali ikiwemo ndani na nje ya nchi.
Hata hivyo, kupitia kipaji chake hicho, albert Manifester, Mei 24 mwaka...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ws8ZUKcMJII/U_9lIrjSr2I/AAAAAAABLxA/PuEl3wjc1g4/s72-c/IMG_2204.jpg)
OKWI AREJEA SIMBA SC KUCHEZA KWA MUDA KULINDA KIPAJI CHAKE WAKATI KESI YAKE NA YANGA IKIENDELEA
Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAMSTAILI ile ile waliyotumia Yanga SC kumpata mshambuliaji Emmanuel Arnold Okwi ndiyo ambayo klabu yake ya zamani, Simba SC inaitumia kumrejesha kundini Mganda huyo.
Akizungumza na Waandishi wa Habari jioni hii mjini Dar es Salaam, Okwi amesema kwamba amesaini Simba SC mkataba huru wa muda, baada ya Yanga SC kumpa barua ya kusitisha mkataba naye jana pamoja na kumshitaki Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).
Okwi amesema ameamua kuomba kuichezea Simba SC kipindi...
9 years ago
StarTV03 Nov
Binti wa miaka 15 ahukumiwa jela miaka 8 kwa kuuwa bila kukusudia.
Mahakama kuu ya Tanzania kanda ya Dar es salaam iliyoketi mkoani Morogoro, imemuhukumu kwenda jela miaka nane, Judith Chomile binti mwenye umri wa miaka 15 mwananfunzi wa kidato cha kwanza mara baaada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kuua bila ya kukusudia mtoto mwenzake Andrine Mafwere (9)
Akisoma hukumu hiyo jaji Eliezer Fereshi, amesema mahakama imemtia hatiani mshitakiwa huyo kutokana na upelelezi wa kesi hiyo kukamilika na maelezo ya maafisa ustawi wa jamii na maafisa wa huduma za...
9 years ago
Bongo501 Dec
Joh Makini aliamini kipaji changu nilipokuwa na miaka 14 – Nahreel
![761122d130c0d8ac30cf994bc2dc7576](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/761122d130c0d8ac30cf994bc2dc7576-300x194.jpg)
Joh Makini na Nahreel hawajafahamiana jana au juzi – kitambo.
Producer huyo amedai kuwa Joh alikikubali kipaji chake katika utengenezaji wa midundo tangu akiwa na umri wa miaka 14.
“Mtu wa kwanza aliyeniamini ni Joh Makini nilipokuwa na miaka 14. Alipokuja kusikia kazi zangu aliniambia kuwapa watu wanaostahili tu muziki wangu. Aliona kitu ndani yangu tangu mwanzo. Ni mwana familia,” Nahreel ameiambia Blog ya Coke Studio.
Hadi sasa ni Nahreel ndiye aliyetayarisha ngoma nyingi na zilizofanya...