Harrison Craig awashangaza majaji kipaji chake cha kuimba
![](http://img.youtube.com/vi/kgflbGzlCeY/default.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboGRACE MAGORI MTOTO WA KITANZANIA MWENYE KIPAJI CHA KUIMBA AZIDI KUPAA DMV
10 years ago
Bongo506 Nov
Una kipaji cha kuimba? Airtel Trace Music Stars inaweza kubadilisha maisha yako!
9 years ago
Bongo530 Dec
Una kipaji cha kuimba? Unaweza kushinda zawadi kibao kutoka #TecnoOwnTheStage kwa kufanya hivi
![12356592_764354003692580_994120953_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12356592_764354003692580_994120953_n-300x194.jpg)
Je una kipaji cha kuimba? Unahisi unaweza kuwafunika washiriki wa shindano la Tecno Own The Stage?
Basi una nafasi ya kushinda zawadi kibao kutoka Tecno.
Unachotakiwa kufanya ni kuupload video ya sekunde 15 ya wimbo alioimba mshiriki yeyote na kuipost kwenye ukurasa wa Facebook wa TECNO Own The Stage.
Video yako ikipata likes nyingi utashinda zawadi kila wiki.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose...
9 years ago
Global Publishers23 Dec
11 years ago
Tanzania Daima24 Jan
Dullayo ajivunia kipaji chake
MKALI wa muziki wa kizazi kipya nchini, Abrahaman Kasembe ‘Dullayo’, amesema anajivunia kipaji alichonacho kwani hakiwezi kuchuja kama inavyokuwa kwa wasanii wengine. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Dullayo alisema,...
11 years ago
Tanzania Daima12 Feb
Meddy Slova ajivunia kipaji chake
MVUMILIVU hula mbivu. Huu ni msemo uliokuwepo toka enzi za mababu, ambao katika makala hii unajidhihirisha wazi kwa kinachofanywa katika jukwaa la muziki na chipukizi Ahmed Mgallusy ‘Meddy Slova’. Akiwa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-k1RvVw_LafE/U-jyq14mznI/AAAAAAAF-go/CgvP32GCVyM/s72-c/unnamed+(52).jpg)
mtoto mbunifu wa mirerani aonesha kipaji chake
![](http://3.bp.blogspot.com/-k1RvVw_LafE/U-jyq14mznI/AAAAAAAF-go/CgvP32GCVyM/s1600/unnamed+(52).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-SKGgggl3mRY/U-jyq0f-mwI/AAAAAAAF-gk/yfxHFLVJMfE/s1600/unnamed+(53).jpg)
10 years ago
Dewji Blog15 Jun
Mfahamu mpiga picha maarufu Albert Manifester anayetumia kipaji chake kusaidia jamii
Albert Manifeter katika pozi..
Na Andrew Chale, modewjiblog
Duniani, kila mwanadamu amejariwa uwezo na kipawa cha kufanya kitu ambacho mwingine hawezi kukifanya kwa upande wake, iwe kwa kufundishwa ama kuzaliwa nacho, Hii pia tunaweza kuona kwa Mpiga picha maarufu nchini, Albert Manifester, ambaye amekuwa na uwezo mkubwa wa kupiga picha kiasi cha kujenga jina lake katika ngazi mbalimbali ikiwemo ndani na nje ya nchi.
Hata hivyo, kupitia kipaji chake hicho, albert Manifester, Mei 24 mwaka...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ws8ZUKcMJII/U_9lIrjSr2I/AAAAAAABLxA/PuEl3wjc1g4/s72-c/IMG_2204.jpg)
OKWI AREJEA SIMBA SC KUCHEZA KWA MUDA KULINDA KIPAJI CHAKE WAKATI KESI YAKE NA YANGA IKIENDELEA
Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAMSTAILI ile ile waliyotumia Yanga SC kumpata mshambuliaji Emmanuel Arnold Okwi ndiyo ambayo klabu yake ya zamani, Simba SC inaitumia kumrejesha kundini Mganda huyo.
Akizungumza na Waandishi wa Habari jioni hii mjini Dar es Salaam, Okwi amesema kwamba amesaini Simba SC mkataba huru wa muda, baada ya Yanga SC kumpa barua ya kusitisha mkataba naye jana pamoja na kumshitaki Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).
Okwi amesema ameamua kuomba kuichezea Simba SC kipindi...