Una kipaji cha kuimba? Unaweza kushinda zawadi kibao kutoka #TecnoOwnTheStage kwa kufanya hivi
Je una kipaji cha kuimba? Unahisi unaweza kuwafunika washiriki wa shindano la Tecno Own The Stage?
Basi una nafasi ya kushinda zawadi kibao kutoka Tecno.
Unachotakiwa kufanya ni kuupload video ya sekunde 15 ya wimbo alioimba mshiriki yeyote na kuipost kwenye ukurasa wa Facebook wa TECNO Own The Stage.
Video yako ikipata likes nyingi utashinda zawadi kila wiki.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo506 Nov
Una kipaji cha kuimba? Airtel Trace Music Stars inaweza kubadilisha maisha yako!
9 years ago
Bongo511 Dec
Mshindi wa #TecnoOwntheStage kujishindia shilingi milioni 55 na zawadi zingine kibao
![Tcno](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Tcno-300x194.jpg)
Mshindi wa shindano la kusaka vipaji kwa kuimba nyimbo za karaoke, Tecno Own The Stage Show ataenda nyumbani na kitita cha $25,000 ambacho ni zaidi ya shilingi milioni 55.
Shindano hilo linaloendelea, linahusisha washiriki kutoka Tanzania, Kenya na Nigeria.
Pamoja na kiasi hicho cha fedha, mshindi atarekodi wimbo na jaji/mwalimu wake pamoja na kufanyika video kubwa.
Pia ataungana na msanii maarufu miongoni maw majaji wa shindano hilo kwenye show zake. Atazawadiwa pia simu mpya ya Tecno...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/kgflbGzlCeY/default.jpg)
10 years ago
Bongo Movies28 May
Una Kipaji cha Kuigiza?! Kampuni ya Eagles Inakuhitaji
Kampuni ya Eagles Entertainment inayojishughulisha na utengenezaji wa muziki na filamu ipo katika mikakati ya kufanya usaili kwa ajili ya maandalizi ya kurekodi tamthilia kali na ya kipekee hapa Bongo, mkurugenzi wa kampuni hiyo Yuster Nyakachara anafafanua.
Tutakuwa na zoezi la kutafuta wasanii wenye vipaji kwa ajili ya tamthilia yetu ambayo ni ya kipekee kabisa kutengenezwa na ratiba yetu ni kuanza kushuti mwezi wa saba,”anasema Mghesi.
Kampuni inatarajia kuanza kufanya usaili mapema...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-J_Rv17MhYOQ/VbNqZrWajAI/AAAAAAAAxKE/rJqDXf0DzYk/s72-c/1.jpg)
MTOTO MWENYE KIPAJI CHA AJABU KUTOKA MAREKANI ATUA NCHINI LEO, KUFANYA KONGAMANO LA WATOTO NA WAZAZI KESHO JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://1.bp.blogspot.com/-J_Rv17MhYOQ/VbNqZrWajAI/AAAAAAAAxKE/rJqDXf0DzYk/s640/1.jpg)
MTOTO mwenye kipawa cha ajabu katika kutoa ushauri wa kujijengea uwezo wa kujiamini anayezidi kujipatia umaarufu mkubwa duniani, Lonnie Hudson maarufu kama ‘King Nahh’(Pichani), ametua jijini Dar es Salaam , leo.
King Nahh aliambatana na baba yake mzazi , Nyeeam Hudson ambapo wapo nchini kwa mwaliko wa taasisi isiyo ya kiserikali ya Wisdom Partners.
Kesho mtoto huyo atafanya kongamano kubwa la watoto na wazazi katika Ukumbi wa Urafiki ambapo nia na madhumuni ni...
10 years ago
VijimamboGRACE MAGORI MTOTO WA KITANZANIA MWENYE KIPAJI CHA KUIMBA AZIDI KUPAA DMV
10 years ago
Mwananchi12 Oct
Je, unaweza kushinda tabia ya wivu?
11 years ago
GPL‘UWAZI’ LAGAWA ZAWADI KIBAO KWA WASOMAJI GONGO LA MBOTO!