Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Meddy Slova ajivunia kipaji chake

MVUMILIVU hula mbivu. Huu ni msemo uliokuwepo toka enzi za mababu, ambao katika makala hii unajidhihirisha wazi kwa kinachofanywa katika jukwaa la muziki na chipukizi Ahmed Mgallusy ‘Meddy Slova’. Akiwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Dullayo ajivunia kipaji chake

MKALI wa muziki wa kizazi kipya nchini, Abrahaman Kasembe ‘Dullayo’, amesema anajivunia kipaji alichonacho kwani hakiwezi kuchuja kama inavyokuwa kwa wasanii wengine. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Dullayo alisema,...

 

11 years ago

Michuzi

mtoto mbunifu wa mirerani aonesha kipaji chake

 Mwanafunzi wa darasa la saba shule ya msingi Mirerani, Kata ya Endiamtu Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, Amani Augostino (14) akiwaonyesha wakaazi wa kata hiyo mfano wa nyumba ya ghorofa aliyoitengeneza kwa maboksi ya karatasi na ambayo anaiuza kwa shilingi 10,000. Alipohojiwa amesema nyumba hiyo ameitengeneza yeye mwenyewe na kwamba yeye ndoto yake ni kuwa msanifu wa majengo awapo mkubwa. Picha na Joseph Lyimo

 

10 years ago

Dewji Blog

Mfahamu mpiga picha maarufu Albert Manifester anayetumia kipaji chake kusaidia jamii

258270_465050636851038_395823295_oAlbert Manifeter katika pozi..

Na Andrew Chale, modewjiblog

Duniani, kila mwanadamu amejariwa uwezo na kipawa cha kufanya kitu ambacho mwingine hawezi kukifanya kwa  upande wake, iwe kwa kufundishwa ama kuzaliwa nacho, Hii pia tunaweza kuona kwa Mpiga picha maarufu nchini, Albert Manifester, ambaye amekuwa na uwezo mkubwa wa kupiga picha kiasi cha kujenga jina lake katika  ngazi mbalimbali ikiwemo ndani na nje ya nchi.

Hata hivyo, kupitia kipaji chake hicho, albert Manifester, Mei 24 mwaka...

 

10 years ago

Michuzi

OKWI AREJEA SIMBA SC KUCHEZA KWA MUDA KULINDA KIPAJI CHAKE WAKATI KESI YAKE NA YANGA IKIENDELEA


Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAMSTAILI ile ile waliyotumia Yanga SC kumpata mshambuliaji Emmanuel Arnold Okwi ndiyo ambayo klabu yake ya zamani, Simba SC inaitumia kumrejesha kundini Mganda huyo.
Akizungumza na Waandishi wa Habari jioni hii mjini Dar es Salaam, Okwi amesema kwamba amesaini Simba SC mkataba huru wa muda, baada ya Yanga SC kumpa barua ya kusitisha mkataba naye jana pamoja na kumshitaki Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).


Okwi amesema ameamua kuomba kuichezea Simba SC kipindi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Meddy kurejesha fomu Simba leo

MGOMBEA wa nafasi ya ujumbe wa Klabu ya Simba, Ahmed Mlanzi ‘Meddy’, anatarajia kurejesha fomu yake leo katika kinyang’anyiro cha kuwania nafasi hiyo. Mchakato wa uchaguzi wa Simba, umeendelea kushika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kigundula, Meddy, Lutiginda wang’ara Simba

WAGOMBEA nafasi ya ujumbe wa Klabu ya Simba, Asha Kigundula, Ahmed Mlanzi ‘Meddy’ na Ramson Lutiginda, jana waliteka hisia za wanachama na mashabiki waliojitokeza makao makuu ya klabu hiyo kuwapa...

 

10 years ago

Vijimambo

JENGO SKULI MPYA YA MICHAKAINI WILAYA YA CHAKE CHAKE YAFUNGULIWA RASMI


JENGO la ghorofa moja la skuli mpya ya Michakaini wilaya ya Chake Chake Pemba, ambalo lilijengwa kwa ufadhili wa serikali ya watu wa Japan, kabla ya balozi wa nchi hiyo, nchini Tanzania Masaharu Yoshida kulifungua rasmi. BALOZI wa Japan nchini Tanzania Masaharu Yoshida akiwa na mwenyeji wake, Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Mwanajuma Majid Abdalla, wakikata utepe kuashiria kulifungua jengo jipya la ghorofa moja la skuli ya Michakaini lililojengwa na serikali ya watu wa Japan. MWENYEKITI wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani