Meddy kurejesha fomu Simba leo
MGOMBEA wa nafasi ya ujumbe wa Klabu ya Simba, Ahmed Mlanzi ‘Meddy’, anatarajia kurejesha fomu yake leo katika kinyang’anyiro cha kuwania nafasi hiyo. Mchakato wa uchaguzi wa Simba, umeendelea kushika...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi01 Aug
MGOMBEA URAIS WA CHADEMA KUREJESHA FOMU LEO
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
KUHUSU MGOMBEA URAIS KUREJESHA FOMU
Taarifa inatolewa kwa vyombo vya habari kuwa baada ya hatua ya kuchukua fomu ya kuwania uteuzi wa ndani ya chama kugombea nafasi ya urais, Mheshimiwa Edward Ngoyai Lowassa kesho (LEO) Agosti 1, 2015 atarejesha fomu yake kwa ajili ya taratibu zingine za ndani ya chama.
Shughuli hiyo itafanyika kuanzia saa 9.00 jioni, ambapo mgombea atakabidhi fomu yake Ofisi ya Katibu Mkuu, Makao...
10 years ago
Tanzania Daima25 Aug
Peneza kurejesha fomu uenyekiti Bavicha leo
WAKATI homa ya uchaguzi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), ikizidi kupanda, Mwanaharakati Upendo Peneza anatarajiwa kurudisha fomu ya kugombea nafasi ya Uenyekiti wa Baraza la Vijana (Bavicha), huku...
11 years ago
Tanzania Daima15 May
Kigundula, Meddy, Lutiginda wang’ara Simba
WAGOMBEA nafasi ya ujumbe wa Klabu ya Simba, Asha Kigundula, Ahmed Mlanzi ‘Meddy’ na Ramson Lutiginda, jana waliteka hisia za wanachama na mashabiki waliojitokeza makao makuu ya klabu hiyo kuwapa...
9 years ago
Mwananchi23 Aug
Aliyeshindwa kurejesha fomu abomolewa nyumba
10 years ago
Dewji Blog01 Oct
Washiriki Shindano la mashujaa wa kesho waanza kurejesha fomu
![Chumba cha kompyuta cha washiriki wa Shindano la Mashujaa wa Kesho.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/10/Chumba-cha-kompyuta-cha-washiriki-wa-Shindano-la-Mashujaa-wa-Kesho..jpg)
Chumba cha kompyuta cha washiriki wa Shindano la Mashujaa wa Kesho.
Baadhi ya washiriki wa Shindano la Mashujaa wa Kesho wakipitia fomu zao.
Na Mwandishi Wetu
ZOEZI la uchukuaji fomu kwa ajili ya vijana mbalimbali kushiriki katika Shindano la Mashujaa wa Kesho la Statoil limeendelea kushika kasi huku idadi kubwa ya vijana wakiendelea kurejesha fomu kwa lengo la kushiriki katika kinyang’anyiro hicho.
Akizungumza na mwandishi wa habari hizi, Ofisa Mawasiliano wa Statoil Tanzania, Erick...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8ynRIuA4csk/XuOCr6naCFI/AAAAAAALtmQ/sfAGK_DZFUciYtfyzh-UFU0ZAYQeBYM4ACLcBGAsYHQ/s72-c/8ba33e0df5ac386a189da9bf95a9c373.jpg)
MAMBO YAMEIVA CCM...WANAOTAKA KUGOMBEA URAIS WAPEWA RATIBA YA KUCHUKUA NA KUREJESHA FOMU
![](https://1.bp.blogspot.com/-8ynRIuA4csk/XuOCr6naCFI/AAAAAAALtmQ/sfAGK_DZFUciYtfyzh-UFU0ZAYQeBYM4ACLcBGAsYHQ/s400/8ba33e0df5ac386a189da9bf95a9c373.jpg)
CHAMA Cha Mapinduzi(CCM) kimetengaza rasmi ratiba ya uchukuaji na urejeshaji wa fomu ya kugombea nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tekiti cha Chama hicho katika Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 25,2020.
Akitangaza ratiba hiyo leo Juni 12,2020 jijini Dar es Salaa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Humphrey Polepole amesema ratiba ya kumpata mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaanza Juni 15 mpaka...
10 years ago
MichuziPolisi: Wagombea Urais marufuku kuambatana na wapambe waati wa kuchukua, kutafuta wadhamini na kurejesha fomu
Jeshi la Polisi nchini limesitisha maandamano ya wafuasi wa vyama vya siasa wakati wa kuchukua ,kutafuta wadhamini, na kurejesha fomu za kugombea nafasi ya Urais katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba mwaka huu.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Naibu Inspekta Jenerali wa jeshi la Polisi Abdulrahman Kaniki (pichani) amesema kuwa jeshi limechukua hatua hiyo kutokana na ukiaukwaji wa sheria za usalama barabarani...
10 years ago
Vijimambo01 Jul
TASWIRA,MWIGULU NCHEMBA ATUA DODOMA KUREJESHA FOMU YA URAIS,KAULI MBIU YAKE YAENDELEA KUWIKA
![](https://scontent-cdg2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/11659283_940261159369289_5961995515945303518_n.jpg?oh=d80aee22e1b16fae1248e92a0b99cac7&oe=563324A8)
![](https://scontent-cdg2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/11012349_940258682702870_4775355713855013472_n.jpg?oh=1ca50b169b773361d84774d88131dd25&oe=56263509)
![](https://scontent-cdg2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/11012349_940258382702900_5674025754231206561_n.jpg?oh=5a4ba6cd2e95d9f875557185dd1b9453&oe=5629E35A)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cDEmeB8bWGQFINtdGw1Os4bJhJODE1edbr5P6K*awxF3dJ-mm549fv0JD1V4Ki3xicR6LDN6JlEJ5tzw2ul6uSMp02uFW8HQ/baloziSefue12.jpg?width=600)
MAWAZIRI WAAGIZWA KUREJESHA IKULU MAGARI YA SERIKALI LEO