Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uvamizi katika chumba cha habari Ufaransa

Takriban Watu 12 wameuawa na watano kujeruhiwa katika shambulio lililotekelezwa na watu wasiojulikana nchini Ufaransa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

CHUMBA CHA HABARI CHA GAZETI LA JAMBO LEO NA STAA SPOTI CHAZIZIMA KWA HUZUNI BAADA YA KUFIWA NA MENEJA WAO MZEE RAMADHANI KIBANIKE

 Marehemu  Ramadhani Kibanike enzi za uhai wake. Mhariri Mkuu wa Gazeti la Jambo Leo, Julian Msacky na Mwandishi wa Habari, Stela Kessy (kulia), wakiendelea na kazi huku wakiwa na hudhuni baada ya kupokea taarifa ya kifo cha Kibanike leo jioni. Mwanahabari Celina Mathew akilia kwa uchungu baada ya kupokea taarifa hiyo.
 Ofisa Matangazo, Kinai akiwa amepigwa butwaa kutokana na  kifo hicho. Wanahabari Nyendo Mohamed (katikati), Edith Msuya (kulia) na  Magendela Hamisi wakiwa katika hali ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Uvamizi ufaransa, 12 wauawa

Watu waliokuwa wamejifunika nyuso zao wamewau takriban watu 12 katika ofisi za gazeti moja la vibonzo la Charlie Hebdo nchini Ufaransa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Waziri Mkuu Boris Johnson apelekwa katika chumba cha wagonjwa mahututi

Boris Johnson ahamishiwa chumba cha wagonjwa mahututi baada ya hali yake kiafya kuzorota zaidi .

 

5 years ago

BBCSwahili

Shambulio Afghanistan: Vifo katika chumba cha kujifungua kina mama vyafikia 24

Idadi ya waliouawa katika shambulio lililotekelezwa na wanamgambo dhidi ya chumba cha kujifungua kina mama nchini Afghanistan imeongezeka na kufikia 24.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Waziri mkuu wa Uingereza Boris Johnson yuko katika chumba cha wagonjwa mahututi.

Coronavirus: Waziri Mkuu wa Uingereza yuko katika chumba cha wagonjwa mahututi.

 

10 years ago

Vijimambo

Manispaa ya Temeke imeteketeza kinyesi kilichokutwa katika chumba cha mwalimu wa Shule ya Sekondari ya Kibasila

Manispaa ya Temeke imeteketeza kinyesi kilichokutwa katika chumba cha mwalimu wa Shule ya Sekondari ya Kibasila Gaudensia Albert baada ya maofisa wa afya wa manispaa hiyo kuchukua hatua hiyo ili kunusuru afya za wakazi wa eneo hilo.
Ama kweli ukistaajabu ya musa hakika utayaona ya firauni...na kuishi kwingi ni kuona mengi..hali kadhalika wahenga wanasema Tembea uyaone...Misemo hiyo mitatu inaweza kujidhihirisha kwa namna tofauti tofauti kupitia tukio la mkazi wa Jiji la Dar es salaam ambaye...

 

5 years ago

Michuzi

Virusi vya corona: Waziri Mkuu Boris Johnson apelekwa katika chumba cha wagonjwa mahututi

Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson amepelekwa katika chumba cha kuhudumia wagonjwa mahututi baada ya hali yake kiafya kuwa mbaya kwa siku kumi zaidi kwasababu ya ugonjwa wa virusi vya Corona, kwa mujibu wa msemaji katika makazi ya Waziri Mkuu.

Bwana Johnson amemuambia Waziri wa mambo ya nje Dominic Raab kuchukua usukani "pale ambapo kutakuwa na ulazima wa kufanya hivyo", msemaji ameongeza.

Waziri Boris ,mwenye umri wa miaka 55, alilazwa katika hospitali ya St Thomas mjini London wakati...

 

10 years ago

Vijimambo

WAHARIRI KATIKA VYOMBO MBALIMBALI YA HABARI WAFURAHIA ZIARA KATIKA HIFADHI YA TAIFA YA KISIWA CHA SAANANE.

Baada ya safafri ya takribani dakika 10 hatimaye Wahariri na Wanahabari wakawasili hifadhi ya Taifa ya Saaanane.Safari ya kutembelea maeneo mbalimbali katika hifadhi hiyo ilianza.Wahariri walipata maelezo katika maeneo tofauti tofauti.
Wakati mwingine katika mapitio ndani ya Hifadhi hiyo,wahariri na wanahabari walilazimika kupita kwa staili ya kutambaa.Wengine walihitaji pia msaada ili waweze kuvuka kwa baadhi ya  maeneo .Baada ya safari ya muda mrefu ,ndipo wakafika katika jiwe la kuruka na...

 

11 years ago

Habarileo

‘Kila kituo cha afya kiwe na chumba cha upasuaji’

MGANGA Mkuu wa Serikali, Dk Donan Mbando, amesema kila halmashauri nchini inapaswa kujenga vyumba vya upasuaji katika vituo vyote vya afya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani