Virusi vya corona: Waziri Mkuu Boris Johnson apelekwa katika chumba cha wagonjwa mahututi
![](https://1.bp.blogspot.com/-BlnJTclJ1zo/XowU7EkS_jI/AAAAAAALmVU/Zq3aUoc8qSw7wlI_ssXuUQTZFvkzKh6-wCLcBGAsYHQ/s72-c/we.jpg)
Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson amepelekwa katika chumba cha kuhudumia wagonjwa mahututi baada ya hali yake kiafya kuwa mbaya kwa siku kumi zaidi kwasababu ya ugonjwa wa virusi vya Corona, kwa mujibu wa msemaji katika makazi ya Waziri Mkuu.
Bwana Johnson amemuambia Waziri wa mambo ya nje Dominic Raab kuchukua usukani "pale ambapo kutakuwa na ulazima wa kufanya hivyo", msemaji ameongeza.
Waziri Boris ,mwenye umri wa miaka 55, alilazwa katika hospitali ya St Thomas mjini London wakati...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili07 Apr
Waziri Mkuu Boris Johnson apelekwa katika chumba cha wagonjwa mahututi
5 years ago
BBCSwahili08 Apr
Coronavirus: Waziri mkuu wa Uingereza Boris Johnson yuko katika chumba cha wagonjwa mahututi.
5 years ago
BBCSwahili10 Apr
Virusi vya corona: Waziri mkuu wa Uingereza Boris Johnson ni lazima apumzike, asema baba yake
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-vuu08e6HQrY/Xowj2oZXexI/AAAAAAAC2mY/bh4xca_72u8BToVE3vxaJWZq5fZ6R86ugCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200407_094558.jpg)
WAZIRI MKUU BORIS JOHNSON APELEKWA ICU
![](https://1.bp.blogspot.com/-vuu08e6HQrY/Xowj2oZXexI/AAAAAAAC2mY/bh4xca_72u8BToVE3vxaJWZq5fZ6R86ugCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200407_094558.jpg)
Johnson amemuambia Waziri wa mambo ya nje Dominic Raab kuchukua usukani pale ambapo kutakuwa na ulazima wa kufanya hivyo.
Waziri Boris ,mwenye umri wa miaka 55, alilazwa katika hospitali ya St Thomas mjini London wakati hali yake ya kiafya...
5 years ago
BBCSwahili12 Apr
Virusi vya Corona: Boris Johnson amesema 'hali ingeweza kwenda mrama'
5 years ago
BBCSwahili07 May
Virusi vya Corona: Kuganda kwa damu, tatizo linalowakumba wagonjwa wengi walio katika hali mahututi lazua hofu
5 years ago
BBCSwahili09 Apr
Coronavirus: Chumba cha wagonjwa mahututi ni nini na ni wagonjwa gani wanastahili kukitumia?
5 years ago
BBCSwahili06 Apr
Virusi vya Corona: Boris Jonhson alazwa hospitali akionyesha dalili za virusi vya corona
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-vboaxf8WFg0/VHdSEJ4JOJI/AAAAAAAC-Mw/fAqroWb3RZA/s72-c/Screen%2BShot%2B2014-11-27%2Bat%2B4.31.55%2BPM.png)
MCHEZAJI NGULI WA BRAZIL PELE AMELAZWA HOSPITAL KWENYE CHUMBA CHA WAGONJWA MAHUTUTI (ICU)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vboaxf8WFg0/VHdSEJ4JOJI/AAAAAAAC-Mw/fAqroWb3RZA/s1600/Screen%2BShot%2B2014-11-27%2Bat%2B4.31.55%2BPM.png)
Pele mwenye miaka 74 alilazwa kwenye hospitali hiyo jumanne wiki hii baada ya kupata maambukizi kutokana na kufanyiwa upasuaji kuondoa mawe kwenye figo mwezi uliopita.
Madaktari wa hospitali ya Albert Einstein ya mjini Sao Paulo wamesema hali ya mchezaji huyo inaendelea...